mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,287
- 6,186
kwani kichwa cha treni kilichookotwa ulijua kimenunu
Uliahidiwa na nani?Hiyo kishika uchumba tuliyoahidiwa na WANAUME wa Barrick/Acacia tusahau.....
Kwa kuwa zile zilikuwa fix za kutusaahaulisha zile Noah zetu tulizoahidiwa hapo awali!
Walishalipa toka mwezi JanuaryNauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!
Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
tatizo account ya kulipia haikuwekwa wazi.Nauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!
Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
HahahahahaaNauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!
Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?