Hivi ACACIA /BARRICK wanatulipa hela yetu lini!?

Hivi ACACIA /BARRICK wanatulipa hela yetu lini!?

Tushalipiwa vingi mkuu, Sasa hivi ni kuliwa tu kwa kwenda mbele
 
Walipe hela ya nini! Hamna kitu hapo. It was just a political milage designed to hoodwink the unsuspecting people.
 
Hakuna hela yo yote hapo, ni kanyaboya tu. Wale ndo wanaume bhana mbwembwe zote za profeseri kwisheney!!!
 
Usituvunje mbavu!! Hivi kuna watu waliamini eh??
Hivi wewe Baba mwenye nyumba akisema kitu unaweza kutilia mashaka!? Fikiria Baba anawaahidi watoto wake kuwanunulia kitu fulani, unategemea watoto wasiamini kweli!?!
 
Nauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!

Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
Watu wengine bwana! Mkitekwa muanze kulalamikia tiss, unamkumbusha jeipiem machungu ya kuingizwa choo cha kike?
Mimi bado ntaenndelea kumwamini Lissu milele yote kwani anayosema huwa ndivyo yankuwa.
 
Nauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!

Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
RUUUUUUUUUUUUUN!!!!!! THE white car is behind you! Run run fast! Usikimbilie uelekeo wa koko kwani hutarudi ukihema!
Uliza swali hili instead ili kunyutrolaizi mambo. Ushindi wa mtulia na mollel tutaupokeaje watz?
 
Hivi wewe Baba mwenye nyumba akisema kitu unaweza kutilia mashaka!? Fikiria Baba anawaahidi watoto wake kuwanunulia kitu fulani, unategemea watoto wasiamini kweli!?!
Inategemea na baba mwenyewe, kama ni 'mwongo mwandamizi' kumwamini ni sawa na kujilisha upepo.
 
Nauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!

Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
[emoji604] [emoji604] [emoji604] [emoji604] [emoji604] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482]
 
Back
Top Bottom