Ilikuwa protectorate kana TanzaniaBritain ilikuwa guardian wa Uganda
Ilikuwa protectorate kana TanzaniaBritain ilikuwa guardian wa Uganda
Kulikuwa na wafalme wengine pia, kama Basoga, Banyakole ama Bunyoro nkHakujawahi kuwa na King of Uganda. Labda kama walimaanisha King of Buganda. Kumbuka hivyo ni vitu viwili tofauti.
Basi hata Tz hatukutawaliwa na UingerezaBritain ilikuwa guardian wa Uganda
Kweli kabisa.Kulikuwa na wafalme wengine pia, kama Basoga, Banyakole ama Bunyoro nk
Haikuwai kuwa koloni kivipi? Unamaanisha haikutawaliwa au?
Kwamba nayo inaungana na Liberia na Ethiopia?
Mkuu nimecheka mnoSijawahi kuona mtu mpotoshaji km huyu jamii forum
Aliwahi kuleta uzi kumzushia Nyerere alikuwa msimamizi wa ndoa ya Kambona