Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Baharia akiwa kazini haendi Lunch,
Baharia akienda lunch anakula kwa ma ntilie,
Baharia akienda kwa ma ntilie anakula ukoko
Baharia akikabwa na ukoko haombi maji anajipiga ngumi kifuani.
 
1.Marufuku baharia kuvaa shati la kitenge la kora ndogo afu unamechisha na la manzi yako.
2.baharia kila kitu cha ndani kwako ni wewe tu unajua jinsi ya kutumia yani hadi mlango unamwambia mgeni "acha nitakuja kuufunga mwenyewe"
3.baharia ukiingia kwenye daladala unasimama goms hadi tegeta
4.baharia hutumii umeme unawasha kibatari
5.baharia husikilizi nyimbo za kina kiba na wbc unasikiliza rege tu
2.baharia kila kitu cha ndani kwako ni wewe tu unajua jinsi ya kutumia yani hadi mlango unamwambia mgeni "acha nitakuja kuufunga mwenyewe"

point iko hapo
 
Kukuna naz ipi?

Hiv ushawah kukutana na mwanaume anakunia naz kwa ndan polepoleeee huku akimwaga sifa[emoji28]

Unaweza kuhonga urithi
 
1.Marufuku baharia kuvaa shati la kitenge la kora ndogo afu unamechisha na la manzi yako.
2.baharia kila kitu cha ndani kwako ni wewe tu unajua jinsi ya kutumia yani hadi mlango unamwambia mgeni "acha nitakuja kuufunga mwenyewe"
3.baharia ukiingia kwenye daladala unasimama goms hadi tegeta
4.baharia hutumii umeme unawasha kibatari
5.baharia husikilizi nyimbo za kina kiba na wbc unasikiliza rege tu
Nimeukubali sana mlango wa baharia huyo...
 
Back
Top Bottom