Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Wale wazee wenzangu wa tungi,hii baa inatufaa sana,wakati wa kutoka ukiwa vyombo hutumii ngumu ni mwendo wa keseleleka tu!
FB_IMG_1567247019405.jpeg
 
kAMA UBAHARIA NDIO UKO HIVYO BASI MIMI NAJITOA AISEEE

Hivi kama uko hivyo baharia siku umeoa mkeo anaumwa ama ni mjamzito mtaishi kweli?

ubaharia huu wakingese kinoma
Baharia anakuwa na house girl anaefanana kabisa na sanchoka kwa ajili ya kazi za ndani....yani baharia unakosa house girl...?
 
Back
Top Bottom