itakuwa kapewa ndogoSijui alipewa nini huyo fala
We HP upo Sumbawanga huko halafu unataka uwekewe bei za massage Dar, za nini?Weka bei za Huduma zote
We HP upo Sumbawanga huko halafu unataka uwekewe bei za massage Dar, za nini?
[emoji23][emoji124]
Mkuu haya mambo achana nayo mkuu.Weka bei za Huduma zote
Sumbawanga massage utafanyiwa na wachawi tu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nipo Dar. Sumbawanga nilienda kuweka ulinzi sawa
Na kajua haka mkuu napigwa full body na mtoto mkalii wa kisomali. Ivi bongo kama Ulaya tu.Jazia jazia nyama mkuu
HONGERA MKUUNa kajua haka mkuu napigwa full body na mtoto mkalii wa kisomali. Ivi bongo kama Ulaya tu.
Asante bro. Karibu biriani mida mida hapa Dar free market.HONGERA MKUU
Salamu kwa jina la Bwana,
Mabaharia nimehama chimbo lile la zamani la Msasani, now nimegundua chaka Masaki hapo dadeki Body to Body massage tu this day.
Life is short yooh
DAH ASANTE SEMA NIKO MKOANI KWA SASAAsante bro. Karibu biriani mida mida hapa Dar free market.
Poa kamanda, ukija town ni PM nikushow mji siku kama ya leo huu mji unakuwa kama Paris.DAH ASANTE SEMA NIKO MKOANI KWA SASA
HahaaaWe HP upo Sumbawanga huko halafu unataka uwekewe bei za massage Dar, za nini?
[emoji23][emoji124]
Kwa ajili ya kugombea lile jimbo lako sio?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nipo Dar. Sumbawanga nilienda kuweka ulinzi sawa
Ndio Mangi, vipi Kishimundu wapo?Hivi Dar kuna mabaharia kweli?
Mkuu pambana kupalilia maharagwe huko achana na hizi stori za body to body massage za hapa mjini daslamu..DAH ASANTE SEMA NIKO MKOANI KWA SASA
Kwa ajili ya kugombea lile jimbo lako sio?