Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Lyn +255742997447

15658697729703-400x416.png
 
Alishindwa kukimbia enzi ya sodoma tena kipindi ambacho dhambi ipo katika kilele cha ubora wake ndio aje akimbie leo kwa wanaoiga vya zamani na bado hawajavifikia na hawatoweza kufikia......
Watu wanatamka wazi wazi, duuh! [emoji2817][emoji2817][emoji2817] hata shetani mwenyewe akisikia hivi anakimbia[emoji44][emoji44][emoji44]
 
HABARI WANA MMU,

Ni baada ya changamoto nilizokutana nazo katika shughuli yangu ya ubaharia.Kwanza zifuatazo ni changamoto ninazokutana nazo mimi baharia:-

1:Tangu day one nimejiunga jf yani sijawahi pata PM hata moja kutoka kwa mwana jf wa kike!

2:Mimi kama mtanzania na baharia mwenye upendo nikiwafuata PM hawa ladies wa Jf natolewa nduki!💃

3:Kwa nini nyie wanawake wa jf hata kunitag kwenye threads hamuwezi ? !

4:Sijaweza kutafuna papuchi ya kicheche yeyote kutoka jf!



Kutoa BAN ya maisha ni upotezaji wa mapato kwa sisi watu wa kaskazini.
Kumbe ubaharia nayo ni shughuli😀
 
Mabaharia mpoo?
Tuone kwanza Kanuni chache za mabaharia

1.Baharia haogi ovyo.

2.Boksa 2 zinamtosha sana baharia

3.Baharia hatufanyi usafi ghetto kizembe labda kama demu anakuja 100%
.
.
.
4.Mabaharia hatuhongi kizembe

5.Demu akiomba hela aje kuchukulia geto

6.Tukituma hela hatutumi na ya kutolea

7.Demu mmoja hamtoshi Baharia

8.Baharia ukishapiga tembea zako na ikiwezekana ugawe namba kabisa kwa maharia wenzako kama mzigo unaridhisha 😂

9.Mabaharia hatumwagi nje kizembe na hatukubali Mimba za kubambikizwa

10.Mabaharia hatuli Chipsi kizembe,ubaharia ni kule mihogo na magimbi

11.BAHARIA HASOMESHI MCHUMBA

12.Mabaharia hatujibu message ya "baby nikwambie kitu?"

Mabaharia tirisheni sheria za mabaria😁
Screenshot_20190906-221303.png


Screenshot_20190906-220423.png
 
Back
Top Bottom