Mabaharia mpoo?
Tuone kwanza Kanuni chache za mabaharia
1.Baharia haogi ovyo.
2.Boksa 2 zinamtosha sana baharia
3.Baharia hatufanyi usafi ghetto kizembe labda kama demu anakuja 100%
.
.
.
4.Mabaharia hatuhongi kizembe
5.Demu akiomba hela aje kuchukulia geto
6.Tukituma hela hatutumi na ya kutolea
7.Demu mmoja hamtoshi Baharia
8.Baharia ukishapiga tembea zako na ikiwezekana ugawe namba kabisa kwa maharia wenzako kama mzigo unaridhisha [emoji23]
9.Mabaharia hatumwagi nje kizembe na hatukubali Mimba za kubambikizwa
10.Mabaharia hatuli Chipsi kizembe,ubaharia ni kule mihogo na magimbi
11.BAHARIA HASOMESHI MCHUMBA
12.Mabaharia hatujibu message ya "baby nikwambie kitu?"
Mabaharia tirisheni sheria za mabaria[emoji16]
View attachment 1200321
View attachment 1200323