Historia ya ndoa yangu

yaambasa kwa asilimia 90 kama sio 100 wewe ndio chanzo kikubwa cha hio ndoa kuvunjika na huyo mwanaume ni mvumilivu sana na ana haki kuondoka. Kasoro yake ni kutohudumia watoto tu!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmnnnnhhhhh...kukuchiti akuchiti yeye..msamaha uombe wewe...hapana aisee...

Ukinichiti nikakununia kaogee maji ya bahari...timbwili lake kununa ni cha mtoto...ntakusimanga mpaka uone dunia chungu...
Mie naomba kufahamu, mwenzako umemkamata anachepuka ukamnyima si ndo unampa warrant ya kuimarisha penzi la kuchepuka? Hivi unadhani dawa ya moto ni moto (yaani unakula k ya mwenzangu, yangu nakunyima) au ni maji (kama una hamu ya k njoo upate na usaze)? Naamini mwanaume kumwacha mke wake na kuchepuka si jambo dogo na litakuwa lina mzizi ingawa yanayoonekana ni majani tu. Hivyo kutibu majani hakutaokoa mti bali kutibu mzizi. Karibu Njinjo
 
nuna mchepuko unazidisha manjonjo zaidi mafahari wawili hawakai zizi moja
Nimeipenda comment yako. Binadamu lazima tuache jino kwa jino katika mapenzi hata ndoa. Lazima ujiulize umuhimu wa mwenzako katika ustawi wa familia na wewe pia. Kushuka ingawa ni shubiri lakini ni muhimu. Hata mkikwaruzana mchana, baada ya taa kuzimwa acha wapenzi waendelee, hawa ninaoita wapenzi (wanaoitwa vikojoleo) ni wasuluhishi wazuri katika mapenzi ndugu yangu. Wao wakipatana hakuna linaloharibika. Kununa ni SUMU.
 
mwanume anayenuna aisee siwezi mnuno kwa kweli hapana duh..
 
Hivi nani atakubali kuoa mwanamke na watoto watatu? Je, kama na huyo mwanaume ana watoto si muungano tata kama muungano wa Tanzania siku za usoni?
 
pole sana.kuna wanaume ni wakatili sana hawajali kabisa maumivu wasababishayo kwa wake zao wala watoto.cha msingi umeshamjua ni mume wa aina gani
ushauri wangu kama anatoa matumizi kwa watoto wewe lea wanao.na jitahidi kutomfuatafuata.maana ukifanya hivyo anazidi kukudharau!na hata kama asipoleta pesa kama unajimudu lea tu wanao na kama hujimudu tafuta means ya kuweza kujiongezea kipato.kwa tabia ya mumeo wala usiwe na wasiwasi huko alikoenda kama kwa mwanamke basi nae atamshindwa!
 

Humu hakuna wanaonifahamu, ila yeye ndio sikutaka ajue id ninayotumia humu ndio sababu ya kutumia id nyingine
 
Hivi nani atakubali kuoa mwanamke na watoto watatu? Je, kama na huyo mwanaume ana watoto si muungano tata kama muungano wa Tanzania siku za usoni?

Mkuu labda huko kwenu... Huku kuna mwanaume alifunga ndoa na mwanamke ana watoto 6, tena wawili tu ndio wa baba mmoja na waliobaki kila.mtu na baba yake. Walipendezaje??
 
Mkuu labda huko kwenu... Huku kuna mwanaume alifunga ndoa na mwanamke ana watoto 6, tena wawili tu ndio wa baba mmoja na waliobaki kila.mtu na baba yake. Walipendezaje??

Me dada yangu aliachwa huku kashazaa watoto watatu...na kuna jamaa kashafika bei, soon tunakula mpunga
 
Hivi kwanini mnaleta matatizo yenu humi
 
Hivi nani atakubali kuoa mwanamke na watoto watatu? Je, kama na huyo mwanaume ana watoto si muungano tata kama muungano wa Tanzania siku za usoni?

wanaume wengi wanaotesa wake zao baada ya kuwazalisha watoto wengi hujidanganya kuwa mwanamke akishazalishwa watoto wengi hawezi kuolewa na mwanaume mwingine.dhana hii sio ya kweli kabisa.nina auntie yangu aliteswa ten yrs na ana watoto watano!mumewe kutwa anamsimango utaenda wapi wewe ushazeeka akutake nani? Mungu sio john wala alex bwana katokea mdingi anayeyajua mateso ya yule mwanamke mana mtaani kote wanaona vitimbwi vya mumewe!mzee wa watu kamchukua mazima mazima.sasa hivi anakula bata na mumewe netherland!jamaa kalia wee hadi kachoka!na yule mdingi anawasomesha watoto kams wake!nae ana wakwake watatu!hela anazo!mdada karudije kijana!mrembo haswa!cha msingi mdada asikurupuke kuchukuliwa na wanaume atulie kwanza ila pia usiwr unanuna .
 

We mama iko na tatiso aisee! Kama wakuwa muke yangu ntakunyoosha tu. Hivi wewe unadhani ukimnunia my husband wako ndo unamkomoa? Take it from me, unamwambia azidi kuisaliti ndoa!
 
yambasa pole sana dada yangu na hongera kwa kucheua lilolokuwa linakukera. Uwe na amani sasa. Kula vizuri, jipendezeshe ile mbaya tena kama kabinti ila chunga usile sana ukafutuka maana umeshaondoa stress. Sasa muda muafaka ukifika nawe pata hapo kipoozeo chako ila mpimane vvu kwanza na sharti condom kila wakati. Baada ya hapo maisha yako yatabadilika sana kwa pande zote yaani amani na kimaendeleo. Niliapa nilipoamua kuoa kuwa sitakaa nimkoseshe mke wangu raha. Kukosana madogo madogo kupo ila tunayamaliza and to be frank mimi ninajua kuomba msamaha direct and indirect by doing little extras. Wanaume wrngu tu vyanzo vya migogoro ya ndoa. Tukubali.
 
Last edited by a moderator:

Asante kwa ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…