Historia ya ndoa yangu

Historia ya ndoa yangu

hivi mtu akiuudhi kununa ndo suluhisho? Mume hanuniwi ulikosea tangu mwanzo kama kakosa kaa nae chini mwambie 1,2,,3 sijapenda baada ya hapo kama anajirekebisha maisha yanasonga kama kawa na mwanaume asiechepuka hapa duniani ni moja ya kumi baada ya kugundua anachepuka usingenuna ungesuluhisha sidhani kama mngefika mahakamani

Upo sahihi ila huyu Mwanaume mwenzangu kazidi aisee(kama haya yasemwayo kweli). Yani unafumaniwa halafu una nuna wewe,duh! Mbaya zaidi unanogewa mpaka hela ya matumizi ya watoto hutoi!!
 
bora mazimwi ya humu hata akitueleza hatuwezi kumsambaza kuliko ya uraiani

Lakini si umeona mwenyewe kasema "Usitukane wala usidharau maana ni dukuduku langu la muda sasa nitarudi kutumia id yangu ya siku zote .Asanten"

Kwa hiyo hata mazimwi ya humu nayo huwa yana mambo mpaka imembidi aje na alternate ID la sivyo angeweza kutangazwa huko kwenye PM.

Nadhani kotekote ni muhimu kutumia busara.
 
Pole dada!ndoa ni agano la milele kununa si suluhisho bali kukaa na kuyaongea huku ukimtegemea mungu yaani mtangulize mungu ktk kuomba.Inavyoonekana mume wako hana hofu ya mungu
 
Upo sahihi ila huyu Mwanaume mwenzangu kazidi aisee(kama haya yasemwayo kweli). Yani unafumaniwa halafu una nuna wewe,duh! Mbaya zaidi unanyogewa mpaka hela ya matumizi ya watoto hutoi!!

Ni kweli tena ni mzuri tu wa kuperuzi humu, anaweza akasema na yeye
 
Lakini si umeona mwenyewe kasema "Usitukane wala usidharau maana ni dukuduku langu la muda sasa nitarudi kutumia id yangu ya siku zote .Asanten"

Kwa hiyo hata mazimwi ya humu nayo huwa yana mambo mpaka imembidi aje na alternate ID la sivyo angeweza kutangazwa huko kwenye PM.

aiseeee nilikuwa sijasoma hapo chini afu mazimwi ya humu nayo mtu humjui hakujui kusambazana sijui inasaidia nini? ni kukosa kazi
 
nuna mchepuko unazidisha manjonjo zaidi mafahari wawili hawakai zizi moja

Haya mambo ni marahisi kwa kumshauri mwingine...
Unadhani likikukuta utakumbuka kuwa ukinuna ataenda kwa mwingine...akili hapo haifanyi kazi kabisa...
Kila siku unakuja na mkakati mpya wa kumtibua...

Ila ndio tujue kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanaume...
Mwanaume anayependa familia yake...yuko tayari kufanywa chochote na ahami...
Anakupa muda ili uponye maumivu...

Sasa wanaume jeuri; kosa kafanya afu anageuka mbogo...lazima ndoa ivunjike...

Na hata ningekuwa mimi wife wala sijutii kuvunja ndoa ya mume kama huyo...

Kuchiti ni kosa kuuubwa sana...mwache mkeo atoe hasira zake atakavyo...
 
Pole dada!ndoa ni agano la milele kununa si suluhisho bali kukaa na kuyaongea huku ukimtegemea mungu yaani mtangulize mungu ktk kuomba.Inavyoonekana mume wako hana hofu ya mungu

Asante,kwa upande wangu naona hakuna agano tena,kama tayari ameshaondoka ni kwamba agano keshalivunja yeye,tulivyoapa pale kanisani
 
Haya mambo ni marahisi kwa kumshauri mwingine...
Unadhani likikukuta utakumbuka kuwa ukinuna ataenda kwa mwingine...akili hapo haifanyi kazi kabisa...
Kila siku unakuja na mkakati mpya wa kumtibua...

Ila ndio tujue kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanaume...
Mwanaume anayependa familia yake...yuko tayari kufanywa chochote na ahami...
Anakupa muda ili uponye maumivu...

Sasa wanaume jeuri; kosa kafanya afu anageuka mbogo...lazima ndoa ivunjike...

Na hata ningekuwa mimi wife wala sijutii kuvunja ndoa ya mume kama huyo...

Kuchiti ni kosa kuuubwa sana...mwache mkeo atoe hasira zake atakavyo...

Asante mkuu kwa kunielewa
 
Ni kweli ukiongea mtu unajisikia umetua mzigo...hata ukiongelea kwenye chungu...

Ila sasa kama mmenuniana miaka 5 imekuwaje mna watoto 3?

Kingine ameondoka kuelekea wapi?

Kama ana tabia za hovyo huko alikoenda nako atatoka dima...atakuwa mtu wa kuhama hama...

Ila hapo mbona ndoa imeshakwisha...mtu kaondoka mwenyewe...hakuna ndoa hapo...lea wtoto..jipe raha kila upatapo nafasi...

Aaaaah NK vile havinuniani....nyie nuneniiii vyenyewe vinachekeana...ukute watoto wamepatikana katikati ya mnuno....
 
Back
Top Bottom