Historia ya nchi yetu iliyofichwa

Historia ya Tanganyika kwa kweli imefichwa vitu vingi atúambiwi, ebu tutumie akili zetu kujiulìza wakati NYERERE yuko Musoma, Dar-ès-salaam kulikuwa akuna harakati zozote za kutafuta Uhuru?na kina nani walimpokea Nyerere Dar-es-salaam na ilikuwa mwaka gani? kuna kitabu kimoja kina kurasa 416 kinaitwa 'Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes' (1924-1968) baadhi ya makala zake za utafiti ni: In Praise of Ancestors' (1988) Afrìca Events (London) 'Abdulwahid Sykes: Founder of a Polìtical Movement'
 
Hakika historia ya Tanzania imefichwa na inahitaji magwiji wa historia kukaa, kufanya utafiti na kuiandika upya. Mfano, tunapoambiwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 9-12-1961 HII SI KWELI. Ni upotoshaji wa makusudi kabisa wa historia. Siku hiyo ilikuwa ni uhuru wa Tanganyika.

Pia historia ya uhuru wa Tanganyika inasisitizwa zaidi kuanzia mwaka 1954(ilipozaliwa TANU), nao ni upotoshaji wa makusudi. Nikiwa mzalendo na msomi wa kiwango cha kawaida kabisa, ningependa kujulishwa kwa nini historia haielezi nafasi ya dini zetu(UISLAM na UKRISTO) katika kupigania uhuru wa nchi yetu!!! Mfano, mchango wa UISLAMU na WAISLAMU ktk kupigania uhuru wa Tanzania ni zaidi ya 75%. Vita vya MAJIMAJI viliongozwa na WAISLAMU ambao ni Chifu SONGEA BIN RAUF na KINJEKITILE NGWARE. Pia wapo akina BWANA KHERI, ABUSHIRI BIN SALIM EL-HARITH kwa upande wa kaskazini. Katika mkoa wa Iringa yupo Chifu MKWAWA ambaye nae ni muislamu(mjukuu wake Adamu Sapi Mkwawa ni muislamu). MIRAMBO na ISIKE.

Katika zama za kati miaka ya 1940-1950s wapo akina MZEE BIN SUDI, ABDULWAHID SYKES, DOZA AZIZ, TEWA SAIDI TEWA, SULEIMAN TAKADIRI, AHMED RASHAD, MSHUME KIYATE, HAMIS DIWANI, SAADAN ABDU KANDORO, ALI MANENO, ZUBERI MTEMVU,IDDI FAIZ, RAJAB DIWANI, BIBI TITI MOHAMED, RAMADHAN CHAUREMBO, HAIDAR MWINYIMVUA etc


  • Mbona wamesahaulika? Wamesahaulika kwa makusudi au ni bahati mbaya?
  • Mchango wa makanisa ktk uhuru wa nchi yetu ni upi?
  • Mbona jamii ya kiislamu nchini ipo nyuma, nini kimesababisha hali hii?

Acha upotoshaji Mkwawa hakuwa Muislam. Alikuwa akifuata dini za jadi za wazee wake. Hao wajukuu wake ndio waliokuja kuwa Waislam na wengine Wakristu. Au kwa aajili umesikia Adam Sapi ni Muislam uka-conclude Kizazi chote cha Mkwawa ni Waislam?

Halafu unataka historia ipi tena ya uhuru? Tayari hao wote uliowataja tumewasoma tangu primary kuwa walikuwa wapinga ukoloni? Au unataka akitajwa Kinjekitile iongezewe na dini yake? POOR YOU!
 
udini.
fikra nyeusi.
wivu wa nonsese.
fikra za kuchuchumaa,mgando,...ebu simamisha fikra na uyeyushe mawazo yako utakuwa huru na UTAONA VITU/MAMBO KWA MAPANA YAKE NA si kuwa inclosed as ur ryt nw.
mercy on u.
 
unajua ndugu zangu wana shida wakienda madrasa wakipewa mawaidha ma mashehe wanalibebakichwani................hata kama upotoshwaji umetokea walitajwa umeona mahali walipoandika udini wa mtu.../historia ;dini ya kislamu ilisambazwa na waarabu walifanya ufirahuni mkubwa kwa wazee wetu,biashara ya utumwa...na kuwadanganya machifu wetu waliokuwa na himaya zisiyopenyeka kirahisi kama hao uliowataja,..ukristo ulienezwa na wamisionary waliojenga shule makanisa ,hospitali...wakolon walikuwa wazungu/ama waingereza ama wajerumani...........wote wageni waliokuja hapa afrika/tanzania lalikuja kwa maslai yao binafsi....waarabu ,wazungu......swali kwamba ukristo una mchango gani ni kwamba,,,,,walielimisha watu kwa kujenga shule watu kujitambua na kufahamu kuwa wanatawaliwa......walifunzwa na wamisionari lugha ustaarabu na harakati.....
 
Uongo,kama vile nyasi juu ya majì huelea, atafutae lulu hana budi kupiga mbizi..data za humu bwana eti Wamisìönari ndio wamèleta ustaarabu Tanganyika..nadhanì ùpeo wako umeishia apo kingine awa jamaa uwa awana tabia ya kufata mawaidha wala awafati mtu wanaongozwa na kitabu chao..awafamfati baba askofu
 
Hivi tunaelekea wapi na huu uislam na ukristo?maisha bora kwa kila mtanzania yanakuja na kujua wakati wa mapambano dhidi ya uhuru nani wa dini gani alifanya nini?tena unasema historia iandikwe upya,ili iweje?vizazi vinavyokuja vitataka kujua kwa nini nchi yao yenye rasilimali zote hizi(kama bado zitakuwepo) ni maskini bado na mtu kama wewe ulifanya nini na si muislam ali play role gani kwenye uhuru?Tuandike vitabu kuhusu mapungufu ya kikatiba,kwanini ufisadi unaigharimu nchi hii mengi na kwanini nchi imilikiwe na wachache na watu wachache wawe na nguvu kubwa na maslahi kuliko walio wengi?huu udini tubaki nao kwenye mioyo,matendo yetu mema na kwenye kumtumikia Mungu as well as kwenye familia zetu.
 
Chuki binafsi uliyoiona hapo juu ni ipi? au si kweli kuwa papa aliomba msamaha kwa kanisa kujihusiha na vitendo vya kulawiti watoto? au si kweli kuna mkuu wa kanisa alieomba msamaha kwa kanisa kujihusisha na biashara ya utumwa? au si kweli kuwa mfumo wa utumwa upo mpaka leo makanisani, hususan kwa watawa na ma-father to be? au sio ukweli kuwa hawa watawa wananyimwa haki zao za msingi hata kuoa au kuolewa hawaruhusiwi?

Nambie wewe ni dini gani? na kama dini yako imekataza kuoa zaidi ya mke mmoja? nionyeshe ushahidi wa maandiko! ingawa hapa sio mjadala wa ndoa, najuwa unataka kupiga chenga lakini ntakujibu utapoleta ushahidi wako. Na hayo niliosema juu, naona hujapinga hata moja katika post yako, ina maana niliyoyasema ni ukweli mtupu na kama kuna moja si la kweli tafadhali nionyeshe.

Ni mtazamo wako, kwa hiyo usilazimishe kuwa mtazamo wako ni kweli!
 
  • Islam has been in existence in East Africa since the eighth century. With Islam, emerged the lingua franca, Kiswahili, spoken throughout East and Central Africa and the Swahili culture which is mostly associated with Muslims. About two-thirds of East Africa’s Muslims reside in Tanzania which is the most populous of the East African countries i.e. Kenya, Uganda and Tanzania. According to the 1957 population census, Muslims outnumbered Christians at a ratio of three to two. This means Tanzania is a leading Muslim nation in the region. But the 1967 census the total figures for Tanzania Mainland are 32% Christian, 30% Muslim and 37% local belief. This shows Pagans as a leading majority. The 1967 census has not been able to show the reasons for the sudden decrease of Muslim population nor the growth of Paganism. This was the last population census showing religious distribution. It is widely believed that the figures for the 1967 census were doctored for political reasons to show Muslims were trailing behind Christians in numerical strength. This paper "lnsha Allah", will try to show the reasons behind such a move and many others.

    Read more: ISLAM AND POLITICS IN TANZANIA
Kwa hiyo uislam ni dini au lugha? Ninachojua kiswahili ni mchanganyiko wa kiarabu, kibantu, kireno, kijerumani nk (Ni lugha inayoundwa na lugha mabalimbali) Haf naomba kukuuliza ina maana uislamu hauna tofauti na Uarabu? Ninachojua dini ya kiislamu ilikuja baadaye kabisa kwa hiyo iliwakuta waarabu wakiwa na lugha yao ya kiarabu na tamaduni zao. Kwa hiyo kiarabu na uislam ni vitu viwili tofauti! Unaposema kiswahili kimetokana na uislamu haileti mantiki.
Pia Huyo mtu aliyeandika hicho kitabu ni maoni yake na uelewa wake.
 
Una uhakika? hivi Ujiji Kigoma alipotokea Tip Tippu, Tabora, Mpwapwa, Bwagamoyo, Dar-Es-Salaam hadi Zanzibar ni miji iliyoanza na Dini gani? wewe ulitakaje? miaka ya Utumwa kulikuwa na Dini moja na upagani walioleta Ukristo ndio waliokomesha utumwa na waliingilia Pwani kuelekea Mlima Kilimanjaro hatimaye Dini ikasambaa. Nenda Zanzibar Mji Mkongwe kuna Kanisa ndipo soko la utumwa lilikuwepo ulipokoma. Ukifika Mpwapwa napo wamejenga kanisa na Mtumwa wa mwisho ni mama mzee tu kutoka Tabora yupo hapo hadi leo.
Labda sijakuelewa lengo lako kama ni mtu wa Historia ya darasani kweli au vijana wa leo (UPE / Elimu za Kata)


HAHAHA Hii nimeipenda, nakumbuka wakati tunasoma pale hamamni ( mji mkongwe ) nakumbuka tulikuwa tunapelekwa kanisa hilo unalosema kuoneshwa handaki(ghala) ambalo limo kanisani halafu lina njia mpaka pwani... na tulikuwa tukielezewa kuhusu utumwa ulivofanyika znz,nakumbuka tulipelekwa makanisa mawili na yote yana handaki za watumwa, hatukuwahi hata siku moja kupelekwa msikitini,na kwa maisha yangu yote nilokaa pale znz sikuona hata msikiti mmoja wenye ghala la wafungwa..
 
Historia haijafichwa kwani imeandikwa wapi, kitabu kipi kwamba hao watu wamesaulika kutajwa? kama mwalimu Nyerere angekuwa ameandika biography yake na kuwasahahu hao tungeona kuna hira lakini hakuna kitabu chochote cha Historia ya wapigania uhuru ambacho Mwalimu alihusishwa kuandika historia hiyo kisha kikasau majina ya wengine.

Utunzi wa vitabu ni huru, huyo mwenye historia ya kweli mbona anaweza kuandika na sisi tutasoma ili kuijua zaidi. Tena kipindi hiki mwalimu hayako hai ndio kizuri zaidi maanake angekuwa yupo yangesemwa hataki kusikia habari hiyo. Kama kuna mtu aliwahi kuandika historia hiyo na kukatazwa na mwalimu pia tungependa kujua.

Ni kazi ngumu sana kuipindisha historia kama ipo inaweza kuandikwa.
 



Tangu nchi hii ipate huru hainyeshi kama udini upo hebu fuatilia uongozi wetu tangu uhuru





HISTORIA YA BARAZA LA MAWAZIRI NCHINI TANZANIA



KILA wakati Baraza la Mawaziri linapotangazwa kunakuwa na sura mpya ambazo zinaingia na sura za zamani ambazo zinaondoka, lakini pia rekodi zikiwekwa kutokana na historia ya nchi, kuanzia nafasi ya rais hadi mawaziri wadogo.
Tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961, kumekuwepo na watu tofauti walioshika nafasi ya rais, makamu wa rais, waziri mkuu na nafasi nyingine za uwaziri.
Makala hii inajaribu kuangalia watu tofauti walioshika nyadhifa hizo tangu Tanganyika ilipopata uhuru na baadaye kuungana na Zanzibar mwaka 1964 ili msomaji aweze kupata picha ya nchi ilikotokea, ilipo na inakoelekea kila wakati baada ya uchaguzi.

A. Marais

1.Julius Kambarage Nyerere, muasisi wa taifa la Tanzania aliyeongoza nchi ya Tanganyika kuanzia mwaka 1961 hadi 1964 wakati ilipoungana na Zanzibar na kuongoza Serikali ya Muungano wa Tanzania hadi mwaka 1985.
2. Ali Hassan Mwinyi, rais wa serikali ya awamu ya pili aliyeongoza mwaka 1985 hadi 19895.
3. Benjamin Mkapa, rais wa serikali ya awamu ya tatu aliyeongoza nchi kuanzia mwaka 1995 hadi 2005.
4. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa serikali ya awamu ya nne aliyeingia madarakani mwaka 2005 na kuchaguliwa tena mwaka huu.

Nafasi ya Makamu wa Rais (wakiwemo makamu wa pili wa rais)
1. Sheikh Abeid Amani Karume, alikuwa makamu wa rais mwaka 1964-1972
2. Rashid Mfaume Kawawa, alikuwa makamu wa pili wa rais mwaka 1962-1965;
3. Aboud Jumbe alikuwa makamu wa rais kuanzia mwaka 1972 hadi 1984
4. Idris Abdul wakil alikuwa makamu wa Rais chini ya uongozi wa Mwalimu Nyerere
5. Ali Hassan mwinyi alikuwa makamu wa rais kuanzia mwaka 1984 hadi 1985
chini ya Mwalimu Nyerere)
6. Joseph Sinde Warioba alikuwa makamu wa rais 1985 hadi 1990
7. John Malecela alikuwa makamu wa rais 1990 hadi 1994
8. Cleopa Msuya alikuwa makamu wa rais kuanzia 1994 hadi 1995
9.Dk Omari Juma alikuwa makamu wa rais kuanzia 1995 hadi 2001
10. Dk. Ali Mohammed Shein alikuwa makamu wa rais kuanzia 2001 hadi 2010

C. Mawaziri Wakuu

1. Julius Kambarage Nyerere alikuwa waziri mkuu wa kwanza mzalendo wa Tanzania kuanzia mwaka 1960 hadi 1961 na baadaye mwaka 1961 hadi 1962 wakati huo ikiwa ni Tanganyika. Kwa mujibu wa katiba ya 1961, Waziri Mkuu ndiye alikuwa kiongozi mkuu wa serikali. Katiba ilipobadilishwa mwaka 1962, urais ndio ukawa cheo cha juu zaidi nchini, nyerere akishika nafasi hiyo.
2. Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu kwa mwaka mmoja 1962. Baada ya nafasi hiyo kufutwa na kurejeshwa mwaka 1972, Kawawa alikuwa tena waziri mkuu hadi 1977.
3. Edward Moringe Sokoine, alikuwa WM kuanzia 1977 hadi 1980
4. Cleopa David Msuya ambaye alikuwa WM kuanzia 1980 hadi 1983
5. Edward Sokoine alirejeshwa mwaka 1983 hadi 1984
6. Dk Salim Ahmed Salim alikuwa WM kuanzia 1984 hadi 1985
7. Joseph Sinde Warioba, 1985 hadi 1990
8. John Malecela alikuwa WM kuanzia 1990 hadi 1994
9. Cleopa David Msuya Msuya alikuwa WM kuanzia 1994 hadi 1995
6. Frederick Sumaye alikuwa WM kuanzia 1995 hadi 2005
7. Edward Ngoyai Lowassa alikuwa WM kuanzia 2005 hadi 2008
8. Mizengo Pinda alikuwa WM kuanzia 2008 hadi sasa.


D. Mawaziri-Ofisi ya Rais (Ikulu)

1. Ali Hassan Mwinyi alishikilia Ofisi ya Rais kuanzia 1970 hadi 1975
2. Profesa Kighoma Ali Malima, alishikilia ofisi hiyo hadi mwaka 1990
3. Amran Mayagila 1990 hadi 1995
4. Fatma Saidi Ali alishughulikia utumishi wa umma
5. Wilson Masilingi alishughulikia utawala bora 1995 hadi 2000
6. Sofia Simba alishughulikia utawala bora 2008 hadi 2010
7.Hawa Ghasia alishughulikia Menejimenti ya Utumishi wa umma kuanzia 2006-2010

E. MAWAZIRI-OFISI YA MAKAMU WA RAIS
1. Aboud Jumbe alikuwa waziri ofisi ya rais kuanzia 1970-1975
2. Edward Sokoine alikuwa Waziri wa Nchi kati ya 1970 na 1975
3. Muhammad Seif Khatibu alishikilia ofisi kuanzia 1988 kuchukua nafasi ya Salim Ahmed Salim.
4. Muhammad Seif Khatib alishughulikia Muungano mwaka 2008 hadi 2010
5. Dk. Batilda Burian (Masuala ya Mazingira)
7. Dk. Husesein Mwinyi (Masuala ya Muungano) (2006-Februari 2008)
8. Mark Mwandosya (Mazingira) (2006-Februari 2008)

MAWAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU
1. Peter Kisumo (Utawala wa Mikoa na Maendeleo ya Vijijini (1970-1975)
2. Robert Ng'itu alikuwa waziri mdogo kati ya 1977 na 1980)
3. Edward Lowassa alikuwa Ofisi ya Waziri Mkuu kuanzia 1990
4. Dk. Batilda Buriani alishughulikia Sera na Utaratibu wa Bunge 2006 hadi 2008
5. Philip Marmo (sera na Uratibu wa Bunge)
6. Aggrey Mwanri
7. Celina Kombani

C. Mawaziri
(a). Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
1. Dk. Stirling (Waziri)
2. Derek Bryceson alipewa wizara hiyo kabla ya uchaguzi wa mwaka 1965. Awali alikuwa Waziri wa Kilimo
3. Lawi Nangwanda Sijaona alishikilia wizara hiyo kati ya 1970 na 1975)
3. Dk Aaron Chiduo
4. Prof Philemon Sarungi
5. Prof David Mwakusya (2005-2010)

B. Wizara ya Ardhi

(i) Mawaziri wa Ardhi na Nyumba
1. Lawi Nangwanda Sijaona alikuwa waziri mwaka 1965
2. Austin K.E. Shaba (Mtwara), kati ya 1962 na 1965.
3. Musobi Mageni alishikilia wizara hiyo kuanzia mwaka 1963
4. John Mhaville, alikuwa kati ya 1970 na 1975
5. Thabita Siwale
6. Gideon Cheyo
7. Mercel Komanya, mwaka 1990
8. Edward Lowassa
9. John Pombe Magufuli kuanzia 2006 hadi 2008
10. John Chiligati, kuanzia 2008 hadi 2010


Wizara ya Elimu
1.Solomon Eliufoo, kuanzia 1962 hadi 1965
2. Chediel Mgonja, kuanzia 1970 hadi 1975
3. Abel K. Mwanga
4. Nicholaus Kuhanga, kuanzia 1977 hadi 1980
5. Padri Simon Chiwanga
6. Thabitha Siwale
7. Prof Philemon Sarungi, alikuwa Waziri wa Elimu na Utamaduni
8. Margareth Sitta, Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuanzia 2006 hadi 2008
5. Profesa Jumanne Maghembe, Elimu ya Juu kuanzia Februari 2008 hadi 2010

SAYANSI, TEKNOLOJIA, NA ELIMU YA JUU:
A. MAWAZIRI
1. Dk William Shija, alikuwa waziri wa kwanza wizara hiyo ilipoundwa
2. Professa Peter Msolla, alishikilia wizara hiyo kuanzia 2008 hadi 2010

Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi (sasa wizara ya Miundombinu)
1. Mustafa Nyang'anyi
2. William Kusila
3. Dk Shukuru Kawambwa

Wizara ya Fedha
1.Mark Bomani, alikuwa Waziri wa Fedha na Uchumi na Mipango
kati ya 1962 na 1965
2. Abdulrahman Mohamed Babu, kuanzia mwaka 1970 ambaye alikuwa waziri wa Biashara na Viwanda
3. Amir Jamal, kati ya 1970 na 1975
3. Abdulrahman Mohamed Babu, kati ya 1975 na 1975
4. Paul Bomani, kuanzia 1965)
5. Amir Habib Jamal
6. Edwin Mtei, kati ya 1977-1980
7. Profesa Kighoma Ali Malima
8. Cleopa David Msuya (Mwanga)
9. Profesa Simon Mbilinyi
10. Steven Kibona (1990)(Awamu ya Mwinyi)
11. Daniel Yona, kuanzia 1995 hadi 2000)
12. Basil Pesambili Mramba, kati ya 2000 na 2005
13. Zakhia Hamdani Meghji
14. Mustafa Mkulo, kati ya 2008 na sasa


Wizara ya Ulinzi
1. Abdallah Twalipo, kuanzia 1985
2. Philemon Sarungi
3. Profesa Juma Kapuya
4. Dk Hussein Mwinyi

(b) Manaibu waziri
1. Seif Bakari, kati ya 1977 na 1980, akiwa waziri mdogo
2. Abdallah Twalipo, kuanzia 1985
3. Edgar Maokola Majogo, kuanzia 1995 hadi 2000)
4. Emmanuel Nchimbi
Dk. Hussein Mwinyi

Wizara ya Mambo ya Ndani

1. Job M., Lusinde, alikuwa waziri kuanzia 1962 hadi 1965
2. Said Maswanya, kuanzia 1970 hadi 1975
3. Ali hassan Mwinyi, alijiuzulu kutokana na mauaji ya Shinyanga
4. Muhidin Kimario, kuanzia 1985
5. Augustino Lyatonga Mrema, hadi mwaka 1995 alipoihama CCM, pia alichukuliwa kama naibu waziri mkuu
6. Lawremce Masha


Wizara ya Nishati na Madini
1. Jeremiah S. Kasambala, alikuwa waziri kati ya 1962 hadi 1965 alipoangushwa kwenye uchaguzi
2. Wilbert Chagula, kuanzia 1970 hadi 1975. Wizara ya Maji na Niashati ilikuwa mpya kwenye baraza la 1970. Awali ilikuwa chini ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, wakati Nishati ilikuwa chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda.
3. Al-Noor Kassum, kati ya 1977 na 1980
4. John Malecela, hadi 1985
5. Jakaya Kikwete, kuanzia 1990
6. Daniel Yona, hadi mwaka 2005
7. Shamsa Selesia Mwangunga (2006-Feb 2008)
8. William Ngeleja
 
Watu wanaopenda kuleta udini kwenye maisha ya watu wamefilisika kimawazo!!!

Go to hell!!
 
Hilo kanisa la unguja ulisemalo, lenyewe ndio lilikuwa likifanya biashara ya utumwa, huoni ajabu kuwa hivyo vyumba vya kuhifadhia watumwa vipo chini (underground) ya kanisa. Sasa hao walikuja kuuondoa utumwa au kuuendeleza?

Utumwa katika kanisa hadi leo unaendelea kwa sura nyingine, yale mabweni ya kulelea masista na ma-father, ule ni utumwa. Na vile vituo vya kulelea yatima kwenye makanisa, si kwa kuwa vipo kwa ajili ya kuwasaidia hao watoto, vipo katika kuendeleza biashara ya utumwa. Kubali au kataa!

Kuna sababu ipi ya kanisa kuweka watawa ambao wananyimwa haki zao zote za msingi, hata kuoa au kuolewa hawaruhusiwi, wanawa brainwash kuanzia wadogo na wengi wao kuishia kuwa watumwa maisha yao yote. Kisa? Watawa?

Hawa watumwa wa kanisa mwishowe ndio huishi kuingiliana wenyewe kwa wenyewe na mwishowe kuingilia watoto wanaokwenda Sunday School.

Hayo ndio matokeo ya kuwa mtumwa wa kanisa, na yapo na mpaka papa kaomba msamaha kwa hilo, si tu la kulawitiana na kuharibu watoto bali hata la utumwa kuna mkubwa wa kanisa kisha wahi kuomba msamaha kwa hayo.

Fungueni macho na msitake kupotosha historia iliyo wazi kabisa.

Ok kumbe kanisa ni Catholic
Ok, Kumbe wadhungu ndio walitufanya watumwa ok lakini walitupa nafasi ya kuishi na kuzaliana ok halafu waarabu wao waliwaasi watumwa na ndio sababu ya watumwa waliokwenda uarabuni kutozaliana ok, na walikuwa na maisha duni baada ya biashara ya watumwa kukoma ok
Kumbe madrasa yule ustaadh alikuwaanawafanyia watoto kitu mbaya na kuwapa pipi kisha kuwatishia wasiseme ok, kumbe, kumbe kuwaruhusu watu kuoa wake wanne sio kumuweka mwanamke mtumwa na kutafasiri vibaya sura za quraan ndio mpango wenu ok,okokok
 

Kwa hiyo uislam ni dini au lugha? Ninachojua kiswahili ni mchanganyiko wa kiarabu, kibantu, kireno, kijerumani nk (Ni lugha inayoundwa na lugha mabalimbali) Haf naomba kukuuliza ina maana uislamu hauna tofauti na Uarabu? Ninachojua dini ya kiislamu ilikuja baadaye kabisa kwa hiyo iliwakuta waarabu wakiwa na lugha yao ya kiarabu na tamaduni zao. Kwa hiyo kiarabu na uislam ni vitu viwili tofauti! Unaposema kiswahili kimetokana na uislamu haileti mantiki.
Pia Huyo mtu aliyeandika hicho kitabu ni maoni yake na uelewa wake.

Yaani sensa ifanyike pwani wakristo wawe wengi kipindi hicho? kazi kwelikweli sasa sensa imefanyika Tz nzima wakashangaa jidanganyeni kuwa ni wengi mtaishia kulalama sasa hao wakina sykes mbona walimwachia Nyerere. wamepewa mali wakaa kimya kama ndugu yao John Rupia
 
Hivi kwa nini mwezi wa Ramadhani, uuzaji wa KITIMOTO huwa unashuka sana?

Ahhh, hivi hawa nao ni Waislaam kweli? Hawa wakifika Yemen kweli wataishi dakika ngapi?

Huko Iran sidhani hata kama VISA watapata.



Halafu jitu linakuja na kusema "Tanzania kuna idadi kadhaa ya Waislaam" na Waislaam wengine wanaohesabiwa ndiyo hao? Hapo ongeza Mzee wa Bling bling, aka Mzee Yusuf.

Unasema kuna idadi kadhaa ya Wakristo, na unahesabu hadi akina George Kahama wenye wake wawili?

PULIZIII!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

In the Maji Maji War of 1905 some Christians fought alongside the German army against the people

Huenda hii ni kwasababu wakristo walikuwa wameelimika wakajua kamwe risasi haiwezi kugeuka kuwa maji.
If u cant beat them join them yaani wakristo walikuwa akili mtu mkichwa
 
Ok kumbe kanisa ni Catholic
Ok, Kumbe wadhungu ndio walitufanya watumwa ok lakini walitupa nafasi ya kuishi na kuzaliana ok halafu waarabu wao waliwaasi watumwa na ndio sababu ya watumwa waliokwenda uarabuni kutozaliana ok, na walikuwa na maisha duni baada ya biashara ya watumwa kukoma ok
Kumbe madrasa yule ustaadh alikuwaanawafanyia watoto kitu mbaya na kuwapa pipi kisha kuwatishia wasiseme ok, kumbe, kumbe kuwaruhusu watu kuoa wake wanne sio kumuweka mwanamke mtumwa na kutafasiri vibaya sura za quraan ndio mpango wenu ok,okokok

we diehard hizo ok ok zako zinanichekesha!
Lol.
 
ukisema hivyo naona unakosea. Kwa nielewavyo
Uislamu na ukristo umefanywa kuingizwa. Uislam ulitangulia kwa hiyo katika harakati za uhuru wapiganiaji wengi walikuwa waislamu.
Uislam ni utamaduni wa waarabu na ukristo tamaduni ya wazungu. Hivi kwanini tz hatukubaki na utamaduni wetu hadi tumeadopt mambo yao huko.
Bora hindu wanajiabudia zao ng'ombe

Uhuru wa Tz hatukupigania tulipewa, Abbas Mtemvu na wenzake hawakujua kidhungu wakamkodi Nyerere akawazidi hesabu
 
Back
Top Bottom