Historia ya nchi yetu iliyofichwa

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Hakika historia ya Tanzania imefichwa na inahitaji magwiji wa historia kukaa, kufanya utafiti na kuiandika upya. Mfano, tunapoambiwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 9-12-1961 HII SI KWELI. Ni upotoshaji wa makusudi kabisa wa historia. Siku hiyo ilikuwa ni uhuru wa Tanganyika.

Pia historia ya uhuru wa Tanganyika inasisitizwa zaidi kuanzia mwaka 1954(ilipozaliwa TANU), nao ni upotoshaji wa makusudi. Nikiwa mzalendo na msomi wa kiwango cha kawaida kabisa, ningependa kujulishwa kwa nini historia haielezi nafasi ya dini zetu(UISLAM na UKRISTO) katika kupigania uhuru wa nchi yetu!!! Mfano, mchango wa UISLAMU na WAISLAMU ktk kupigania uhuru wa Tanzania ni zaidi ya 75%. Vita vya MAJIMAJI viliongozwa na WAISLAMU ambao ni Chifu SONGEA BIN RAUF na KINJEKITILE NGWARE. Pia wapo akina BWANA KHERI, ABUSHIRI BIN SALIM EL-HARITH kwa upande wa kaskazini. Katika mkoa wa Iringa yupo Chifu MKWAWA ambaye nae ni muislamu(mjukuu wake Adamu Sapi Mkwawa ni muislamu). MIRAMBO na ISIKE.

Katika zama za kati miaka ya 1940-1950s wapo akina MZEE BIN SUDI, ABDULWAHID SYKES, DOZA AZIZ, TEWA SAIDI TEWA, SULEIMAN TAKADIRI, AHMED RASHAD, MSHUME KIYATE, HAMIS DIWANI, SAADAN ABDU KANDORO, ALI MANENO, ZUBERI MTEMVU,IDDI FAIZ, RAJAB DIWANI, BIBI TITI MOHAMED, RAMADHAN CHAUREMBO, HAIDAR MWINYIMVUA etc


  • Mbona wamesahaulika? Wamesahaulika kwa makusudi au ni bahati mbaya?
  • Mchango wa makanisa ktk uhuru wa nchi yetu ni upi?
  • Mbona jamii ya kiislamu nchini ipo nyuma, nini kimesababisha hali hii?
 
Ingia katika archives za JAMII FORUM,hii kitu imejadiliwa inside out na kwa mapana na marefu mpaka hata thread nyingine kufungwa na mods.
 
Hakika historia ya Tanzania imefichwa na inahitaji magwiji wa historia kukaa, kufanya utafiti na kuiandika upya. Mfano, tunapoambiwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 9-12-1961 HII SI KWELI. Ni upotoshaji wa makusudi kabisa wa historia. Siku hiyo ilikuwa ni uhuru wa Tanganyika.

Pia historia ya uhuru wa Tanganyika inasisitizwa zaidi kuanzia mwaka 1954(ilipozaliwa TANU), nao ni upotoshaji wa makusudi. Nikiwa mzalendo na msomi wa kiwango cha kawaida kabisa, ningependa kujulishwa kwa nini historia haielezi nafasi ya dini zetu(UISLAM na UKRISTO) katika kupigania uhuru wa nchi yetu!!! Mfano, mchango wa UISLAMU na WAISLAMU ktk kupigania uhuru wa Tanzania ni zaidi ya 75%. Vita vya MAJIMAJI viliongozwa na WAISLAMU ambao ni Chifu SONGEA BIN RAUF na KINJEKITILE NGWARE. Pia wapo akina BWANA KHERI, ABUSHIRI BIN SALIM EL-HARITH kwa upande wa kaskazini. Katika mkoa wa Iringa yupo Chifu MKWAWA ambaye nae ni muislamu(mjukuu wake Adamu Sapi Mkwawa ni muislamu). MIRAMBO na ISIKE.

Katika zama za kati miaka ya 1940-1950s wapo akina MZEE BIN SUDI, ABDULWAHID SYKES, DOZA AZIZ, TEWA SAIDI TEWA, SULEIMAN TAKADIRI, AHMED RASHAD, MSHUME KIYATE, HAMIS DIWANI, SAADAN ABDU KANDORO, ALI MANENO, ZUBERI MTEMVU,IDDI FAIZ, RAJAB DIWANI, BIBI TITI MOHAMED, RAMADHAN CHAUREMBO, HAIDAR MWINYIMVUA etc
--------------


  • Mbona wamesahaulika? Wamesahaulika kwa makusudi au ni bahati mbaya?
  • Mchango wa makanisa ktk uhuru wa nchi yetu ni upi?
  • Mbona jamii ya kiislamu nchini ipo nyuma, nini kimesababisha hali hii?

-----------------------))))))


Wewe ni mdini naona, hii hoja haionyeshi kama unajua historia ya udini. Nimefatilia kwa makini post yako kumbe lengo lako lilikuwa kutetea waislamu hapo mwishoni. Sasa wakisema waislamu wameshiriki uhuru wewe itakusaidia nini kwa sasa ? mbona watu mmekuwa watumwa wa fikra sana nchi hii? Yani wewe mpk sasa hujui kwa nini waislamu wako nyuma kielimu? Then unaamua kutapa tapa kwamba mlipigania uuru? Ili ikusaidie nini?

Ndugu yangu maendeleo yanaanzia kwa kwenda kusoma shule, waislamu tangu mwanzo elimu yenu mliyosisitiza tangu mwanzo ilikuwa ni madrasa mkaacha elimu dunia. Sasa solution yenu ni kujitahidi kwenda shule tu hamna blablaa hapo utaishia tu maneno ya kwamba mlipiginia uhuru so what? Mna jitihada gani mpk sasa, ndo kwanza mnakazan kujenga misikiti katikati ya miji, wenzenu au wenzetu wanajenga makanisa na vyuo mabli na miji kwa kuona mbali, sasa muamke jamani acheni udini na hoja zisizo na mantiki mtaishia fujo tu.

Elimu kwanza acha hoja za udini!
 
aaaah kishaleta UDINI. wewe ni mTanzania bana udini wako ni pale ukienda msikitini lkn ukiingiza oooh mie mkristu sijui nabaguliwa nakushangaa sana wewe!!!
 
Naomba anzisha taasisi yako, tafuta fedha na waandishi akiwemo wewe mwenyewe andika hiyo historia "tengeneza kitabu chako" uko huru mkuu

Siyo lazima uandikiwe na watu wengine, hawawezi kuandika na hawataandika, kwasababu kwao wao inatosha kuandika historia ya nchi around one person Julius ok?
 
ningependa kujulishwa kwa nini historia haielezi nafasi ya dini zetu(UISLAM na UKRISTO) katika kupigania uhuru wa nchi yetu!!!


Ninajaribu kujibu hayo maandishi mekundu:


Historia ya uhuru wa nchi, ni historia ya nchi au Taifa na watu wake wote. Na si suala la makundi fulani ya kikabila au kidini.

Kwa kuongelea uhuru wa nchi yetu, nafikiri kwa watanzania wazalendo inatosha kuwaongelea watu waliohusika bila kujali dini zao au makabila yao. Ni imani yetu sisi wazalendo kuwa wananchi waliopigania uhuru HAWAKUPIGANIA UHURU WA WAKRISTO AU WA WAISLAM, AU WAPAGANI. WALIPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA. HII NI PAMOJA NA ASKARI WALIOPIGANA VITA YA 1978 DHIDI YA UGANDA, HAWAKUPIGANIA WAISLAM AU WAKRISTO. WALIPIGANIA NCHI. Hatuwezi tukaanza kunyumbulisha majina ya askari wa kiislam au kikristo walivyoshiriki eti kwa minajiri ya kuonyesha mchango wa dini fulani. Badala yake tunaonyesha kuwa Ni askari wa Tanzania ndio walioshiriki.

Kwa maana hiyo basi si lazima kila kitabu cha historia kiandike kuwa mpigania uhuru A na mpiganaji wa TPDF B aliyepigana uganda, alikuwa ni wa dini fulani. Kwenye historia inayojali utaifa, mambo kama hayo yanakuwa hayana tija.

Hata hivyo kwa uhuru walionao watu, hawakatazwi kwenye sehemu husika (kwenye mikutano yao ya dini) wakitaka kuwataja watu wote waliotoka kwenye dini zao.

Bottom line: Regardless ya dini na makabila ya waliopigania uhuru, wapiganaji hao walikuwa wanapigania uhuru kama WATANGANYIKA.
 
Una uhakika? hivi Ujiji Kigoma alipotokea Tip Tippu, Tabora, Mpwapwa, Bwagamoyo, Dar-Es-Salaam hadi Zanzibar ni miji iliyoanza na Dini gani? wewe ulitakaje? miaka ya Utumwa kulikuwa na Dini moja na upagani walioleta Ukristo ndio waliokomesha utumwa na waliingilia Pwani kuelekea Mlima Kilimanjaro hatimaye Dini ikasambaa. Nenda Zanzibar Mji Mkongwe kuna Kanisa ndipo soko la utumwa lilikuwepo ulipokoma. Ukifika Mpwapwa napo wamejenga kanisa na Mtumwa wa mwisho ni mama mzee tu kutoka Tabora yupo hapo hadi leo.
Labda sijakuelewa lengo lako kama ni mtu wa Historia ya darasani kweli au vijana wa leo (UPE / Elimu za Kata)
 
Mkuu unaweza ukawa na hoja ya msingi ila tafakari upya kabla ya kuiwasilisha
 
Una uhakika? hivi Ujiji Kigoma alipotokea Tip Tippu, Tabora, Mpwapwa, Bwagamoyo, Dar-Es-Salaam hadi Zanzibar ni miji iliyoanza na Dini gani? wewe ulitakaje? miaka ya Utumwa kulikuwa na Dini moja na upagani walioleta Ukristo ndio waliokomesha utumwa na waliingilia Pwani kuelekea Mlima Kilimanjaro hatimaye Dini ikasambaa. Nenda Zanzibar Mji Mkongwe kuna Kanisa ndipo soko la utumwa lilikuwepo ulipokoma. Ukifika Mpwapwa napo wamejenga kanisa na Mtumwa wa mwisho ni mama mzee tu kutoka Tabora yupo hapo hadi leo.
Labda sijakuelewa lengo lako kama ni mtu wa Historia ya darasani kweli au vijana wa leo (UPE / Elimu za Kata)

Tumekuwa tukiambiwa kuwa makanisa yamekuwa yakipinga dhulma na uovu. Mada yangu ni kutaka kujua mchango wa makanisa katika kudai uhuru wa Tanganyika.
 
Tumekuwa tukiambiwa kuwa makanisa yamekuwa yakipinga dhulma na uovu. Mada yangu ni kutaka kujua mchango wa makanisa katika kudai uhuru wa Tanganyika.

Ukishajua mchango wao what is next?? Wanawake na wanaume..? then wazee na vijana..? warefu na wafupi? wembamba wanene? kila la heri...
 
Una uhakika? hivi Ujiji Kigoma alipotokea Tip Tippu, Tabora, Mpwapwa, Bwagamoyo, Dar-Es-Salaam hadi Zanzibar ni miji iliyoanza na Dini gani? wewe ulitakaje? miaka ya Utumwa kulikuwa na Dini moja na upagani walioleta Ukristo ndio waliokomesha utumwa na waliingilia Pwani kuelekea Mlima Kilimanjaro hatimaye Dini ikasambaa. Nenda Zanzibar Mji Mkongwe kuna Kanisa ndipo soko la utumwa lilikuwepo ulipokoma. Ukifika Mpwapwa napo wamejenga kanisa na Mtumwa wa mwisho ni mama mzee tu kutoka Tabora yupo hapo hadi leo.
Labda sijakuelewa lengo lako kama ni mtu wa Historia ya darasani kweli au vijana wa leo (UPE / Elimu za Kata)

Hilo kanisa la unguja ulisemalo, lenyewe ndio lilikuwa likifanya biashara ya utumwa, huoni ajabu kuwa hivyo vyumba vya kuhifadhia watumwa vipo chini (underground) ya kanisa. Sasa hao walikuja kuuondoa utumwa au kuuendeleza?

Utumwa katika kanisa hadi leo unaendelea kwa sura nyingine, yale mabweni ya kulelea masista na ma-father, ule ni utumwa. Na vile vituo vya kulelea yatima kwenye makanisa, si kwa kuwa vipo kwa ajili ya kuwasaidia hao watoto, vipo katika kuendeleza biashara ya utumwa. Kubali au kataa!

Kuna sababu ipi ya kanisa kuweka watawa ambao wananyimwa haki zao zote za msingi, hata kuoa au kuolewa hawaruhusiwi, wanawa brainwash kuanzia wadogo na wengi wao kuishia kuwa watumwa maisha yao yote. Kisa? Watawa?

Hawa watumwa wa kanisa mwishowe ndio huishi kuingiliana wenyewe kwa wenyewe na mwishowe kuingilia watoto wanaokwenda Sunday School.

Hayo ndio matokeo ya kuwa mtumwa wa kanisa, na yapo na mpaka papa kaomba msamaha kwa hilo, si tu la kulawitiana na kuharibu watoto bali hata la utumwa kuna mkubwa wa kanisa kisha wahi kuomba msamaha kwa hayo.

Fungueni macho na msitake kupotosha historia iliyo wazi kabisa.
 
mkuu mleta hii maada, kama ulikuwa hujui, huyo ndo nyerere. ni zaidi ya umjuavyo. lakini ukweli utajulikana tu. this is just a matter of time. Everything will be out.
 
Hilo kanisa la unguja ulisemalo, lenyewe ndio lilikuwa likifanya biashara ya utumwa, huoni ajabu kuwa hivyo vyumba vya kuhifadhia watumwa vipo chini (underground) ya kanisa. Sasa hao walikuja kuuondoa utumwa au kuuendeleza?

Utumwa katika kanisa hadi leo unaendelea kwa sura nyingine, yale mabweni ya kulelea masista na ma-father, ule ni utumwa. Na vile vituo vya kulelea yatima kwenye makanisa, si kwa kuwa vipo kwa ajili ya kuwasaidia hao watoto, vipo katika kuendeleza biashara ya utumwa. Kubali au kataa!

Kuna sababu ipi ya kanisa kuweka watawa ambao wananyimwa haki zao zote za msingi, hata kuoa au kuolewa hawaruhusiwi, wanawa brainwash kuanzia wadogo na wengi wao kuishia kuwa watumwa maisha yao yote. Kisa? Watawa?

Hawa watumwa wa kanisa mwishowe ndio huishi kuingiliana wenyewe kwa wenyewe na mwishowe kuingilia watoto wanaokwenda Sunday School.

Hayo ndio matokeo ya kuwa mtumwa wa kanisa, na yapo na mpaka papa kaomba msamaha kwa hilo, si tu la kulawitiana na kuharibu watoto bali hata la utumwa kuna mkubwa wa kanisa kisha wahi kuomba msamaha kwa hayo.

Fungueni macho na msitake kupotosha historia iliyo wazi kabisa.
Mharibu watoto namba moja ni Muddy alipooa 9 yrs old girl
 
Bado naangalia umuhimu wa kuwepo modulator katika mada zinazorushwa..............alikuwa amesinzia au?mada kama hiyo ningekuwa mimi modulator nisingeipost na ningemtumia reply kwenye email yake akajadili na mkewe au mmewe ndan......na sio watoto...!tunataka mawazo yenye kulijenga taifa na kututoa kutoa sehemu moja kwenda nyingine kama wamoja....sio kujadili huo..........nyerere alikuwa anasema 'upuuzi tu"
 
Tuache unafiki!! Pamekuwa na maraisi wakiislam kama Mwinyi na Jay Key, Hawa inamaana hawaoni haya? au si waislamu? kwanini wakati wote mnalaumu kuonewa? basi na mkiri Adui ya Mwislamu ni Mwislamu mwenzie, maana mmejazana sehemu nyeti ambazo kama hayo madai ni ya msingi na halali kwa dini yenu wangesharekebisha, maana hakuna wakuwapinga viongozi hao wakiamua.
Maswala ya Imani ni mambo binafsi ya waumini wa imani hiyo, sasa unapoita ni utumwa nashindwa kukuelewa,maana wengi wa watawa niwasomi wazuri,inamaana hao hawatambui wafanyayo? Nyie mnaooa wanawake ishirini na bado kulawiti mabinti wajapo madrasa ni sawa?
Mbona watenda maovu waislamu wako pia? fatilia majina mashoga wanaojitambulisha utaona majina mengi niya kiarabuarabu.
 
hilo kanisa la unguja ulisemalo, lenyewe ndio lilikuwa likifanya biashara ya utumwa, huoni ajabu kuwa hivyo vyumba vya kuhifadhia watumwa vipo chini (underground) ya kanisa. Sasa hao walikuja kuuondoa utumwa au kuuendeleza?

Utumwa katika kanisa hadi leo unaendelea kwa sura nyingine, yale mabweni ya kulelea masista na ma-father, ule ni utumwa. Na vile vituo vya kulelea yatima kwenye makanisa, si kwa kuwa vipo kwa ajili ya kuwasaidia hao watoto, vipo katika kuendeleza biashara ya utumwa. Kubali au kataa!

Kuna sababu ipi ya kanisa kuweka watawa ambao wananyimwa haki zao zote za msingi, hata kuoa au kuolewa hawaruhusiwi, wanawa brainwash kuanzia wadogo na wengi wao kuishia kuwa watumwa maisha yao yote. Kisa? Watawa?

Hawa watumwa wa kanisa mwishowe ndio huishi kuingiliana wenyewe kwa wenyewe na mwishowe kuingilia watoto wanaokwenda sunday school.

Hayo ndio matokeo ya kuwa mtumwa wa kanisa, na yapo na mpaka papa kaomba msamaha kwa hilo, si tu la kulawitiana na kuharibu watoto bali hata la utumwa kuna mkubwa wa kanisa kisha wahi kuomba msamaha kwa hayo.

Fungueni macho na msitake kupotosha historia iliyo wazi kabisa.

huna kitu kinitwa hikma mwanangt.
 
Back
Top Bottom