Historia ya kisiwa cha Mafia

Mali ya Zanzibar hio,hata wakazi wanalijua hilo ni suala la muda tu.
Kwel kabisa hadi mombasa....lamu...malindi...mafia zote ilikua ni torritories za zanzibar lakin kutokana na colonial rule wakati wa wakolon kukabizi uhuru sultan wakat ule alitoa visiwa baadhi kenya na Tanganyika kwa wajerumani na sheria ilikua inatambua makoloni yalikabiziwa kwa wazawa ni sehemu za nchi iyo ndomana zanzibar hadi leo kapoteza haki ya kumiliki ivo visiwa hadi kesho na hio ilitoke kati ya hawai na U.S.A
 
Ni wagunya ndo maaruf, ila pia kuna wandengereko, wamwela, wamatumbi,wamakonde..na sasa kuna ongezeko kubwa la wasukuma na wanyamwez pia waha

Wasukuma wamefika mafiakweli hawajamaa hamna sehemu wataacha
 
Back
Top Bottom