Gharama yake ni kiasi gani (Mv Nyamasiti). Na vipi kuhusu bei katika nyumba za kupumzikia wageni? Na je, safari inaanzia Pwani au (kwa wale wasiotumia flight)?Panda Mv. Nyamisati uone raha zake
Huwenda ikawa kweli sababu watu wengi wa mafia ukiwauliza kabila lao watakuambia wao Washirazi na kuna baadhi ya watu wanapiga yakuwa ushirazi sio kabila bali ni race
Kwel kabisa hadi mombasa....lamu...malindi...mafia zote ilikua ni torritories za zanzibar lakin kutokana na colonial rule wakati wa wakolon kukabizi uhuru sultan wakat ule alitoa visiwa baadhi kenya na Tanganyika kwa wajerumani na sheria ilikua inatambua makoloni yalikabiziwa kwa wazawa ni sehemu za nchi iyo ndomana zanzibar hadi leo kapoteza haki ya kumiliki ivo visiwa hadi kesho na hio ilitoke kati ya hawai na U.S.AMali ya Zanzibar hio,hata wakazi wanalijua hilo ni suala la muda tu.
Inabidi uwe mchawi sanaJe, mtu ili aishi Mafia inabidi aweje?
Kawaida tu,ukifata dili zako utaishi vizuri tuInabidi uwe mchawi sana
Kwanin mkuu iwe kisanga kumpata mke wa kuoa?Kupata mke kisanga kule
Ni wagunya ndo maaruf, ila pia kuna wandengereko, wamwela, wamatumbi,wamakonde..na sasa kuna ongezeko kubwa la wasukuma na wanyamwez pia waha
Nitarudi tena Ibiza na ile gesti inayomilikiwa na mbunge. ...mmmh gesti ile!!!kweli tembea uone