Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #21
Mkapa alikuwa karibu na Magufuli hivyo Kikwete aliamua kukubali maana Mkapa hakuwa wa mchezo chochote kingetokea.Ila mbona hakukata jina lake? Kwani wakati huo ndio alikuwa Rais na angeweza kufanya hivyo, hebu jibu hili swali basi!
Hivyo ndio maana kwenye kampeni kama alisusa.