Historia ya Jakaya Kikwete

Kasomi,

..JK ali-graduate Udsm mwaka 1975.

..taarifa kwamba amehitimu mwaka 1978 umezitoa wapi?

..waandishi wa Tz sijui mna matatizo gani.

..kwanini mko hivyo? kwanini hamfanyi uchunguzi wa kutosha kuhusu mambo mnayoandika?
 
Raisi pekee mwanajeshi kamili tena graduate wa kijitonyama pale enzo zile!!!hatari Sana!!alikua anajiamini Sana hakuwatumia polisi kuzuia mikutano ya siasa!!!
Siasa zake hazikubana sana kwa wapinzani walikuwa na uhuru.
 
Kasomi,

..JK ali-graduate Udsm mwaka 1975.

..taarifa kwamba amehitimu mwaka 1978 umezitoa wapi?

..waandishi wa Tz sijui mna matatizo gani.

..kwanini mko hivyo? kwanini hamfanyi uchunguzi wa kutosha kuhusu mambo mnayoandika?
Mkuu pengine umeonyesha JK kuhitimu mwaka 1975 kwa kuchukua kwamba alijiunga na chuo mwaka 1972.
Lakini kumbuka wapo wengine hapo katikati hutokea vitu vinavyoweza kuwafanya wasimalize kwa Muda husika hivyo hivyo kwa JK.
 
Mkuu pengine umeonyesha JK kuhitimu mwaka 1975 kwa kuchukua kwamba alijiunga na chuo mwaka 1972.
Lakini kumbuka wapo wengine hapo katikati hutokea vitu vinavyoweza kuwafanya wasimalize kwa Muda husika hivyo hivyo kwa JK.

..mbona kuna taarifa mahali pengi kwamba amemaliza Udsm mwaka 1975?

..inaelekea hauko makini ktk uandishi wako.

..mwaka 1978 JK alikuwa makao makuu madogo ya CCM Zanzibar. Na kabla ya hapo alikuwa Singida, na alipata mafunzo ya ufisadi wa Jwtz.
 
..mbona kuna taarifa mahali pengi kwamba amemaliza Udsm mwaka 1975?

..inaelekea hauko makini ktk uandishi wako.

..mwaka 1978 JK alikuwa makao makuu madogo ya CCM Zanzibar. Na kabla ya hapo alikuwa Singida, na alipata mafunzo ya ufisadi wa Jwtz.
Ngoja nijipe muda ili kujilizisha zaidi karibuni nitaweka bayana uhalisia kama si huu au ni huu.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom