Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 akila zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alitoa ahadi kwa Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa atahakikisha hamui bali atamkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.

Unajua ina uma sana,lakini hakuna jinsi. Huyu ni mmoja kati ya wa Tanzania halisi tunaowahitaji, SIYO majitu yanayobaka na kuiba mali za Taifa letu. Akiletwa nyumbani lazima nikamzike maskini mwenzangu, japo yeye ni SHUJAA.

RIP Silas
 
Wapendwa najiuliza kama nduli iddi amini alimkimbia huyu kupitia sudan kuokoa uhai wake sipati picha iddi amin akimwona huko leo jamaa karudi tena sijui atakimbilia wapi..maskini..
 
Nami nimemkumbuka jinsi viongozi wa majeshi yetu walivyokuwa na nidhamu na nidhamu hiyo kuisambaza hata kwa askari jambo lililopelekea kushinda vita. Pia pale mjini BKB kuna sanamu inayofanana na yeye ambayo wenyeji wanaita oluwanja lwa mayunga.
<br />
<br />
nashangaa wameiacha ikachakaa kiasi kile.kumbe mtu mwenyewe alikuwa bado yupo hai!!.duh! inabidi waikarabati aisee.
R.I.P.
 
unajua ina uma sana,lakini hakuna jinsi. Huyu ni mmoja kati ya wa tanzania halisi tunaowahitaji, siyo majitu yanayobaka na kuiba mali za taifa letu. Akiletwa nyumbani lazima nikamzike maskini mwenzangu, japo yeye ni shujaa.

Rip silas

mkuu binafsi lazima nimpe heshima akitua jamani huyu kama ni angekuwa fisadi angekuwa tajiri wa kupindukia huyu baba lakini amekufa na kauadilifu wake sio kama matapeli wakina shimbo wanakuja kujulikana mpaka rais aombe misaada ndio anajuzwa wewe unajua wizi huu shame president..big up mzee mayunga
 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 akila zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alitoa ahadi kwa Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa atahakikisha hamui bali atamkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.

Nasikia walisoma wote kule Cuba, na Nduli alikuwa anamhala sana. Aliwahi sema: "Tanzania wote ni wanawake kasoro Mayunga". .. Jumbe ukiwa, ANAMHARA ile mbaya. RIP Silas
 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 akila zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alitoa ahadi kwa Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa atahakikisha hamui bali atamkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.

Nasikia walisoma wote kule Cuba, na Nduli alikuwa anamhala sana. Aliwahi sema: "Tanzania wote ni wanawake kasoro Mayunga". .. Ujumbe ukiwa, ANAMHARA ile mbaya. RIP Silas
 
wakuu hapa jamvini na wengineo poleni kwa msiba wa Gen Mayunga.....,
pia ningependa kuipa pole family yake.
Mungu amleze peponi.

hawa ndiyo wanajeshi Generalz waliokuwa wamebaki hapa bongo wenye nidhamu ya kijeshi ya kulitumikia Taifa.
kuliko wa sasa hv kama tusomavyo ktk jukwaa letu khs UFISADI wao, wa kuzitumikia family zao na matumbo yao...!
 
R I P

Mtimkavu!!!!???.. You are my Hero ... The Real Tanzanian and true Citizen of This Nation!!

God bless you ... SIR!! You accomplished your CALL!!!!
 
Mi nafikiri wakati wa kuomba mungu awaache kwa muda wenye haki duniani nilidhani wakina fisadi kama mbma ,shimbo hawa tungewazika mapema la hasha kazi ya bwana aina makosa
 
Nasikia walisoma wote kule Cuba, na Nduli alikuwa anamhala sana. Aliwahi sema: "Tanzania wote ni wanawake kasoro Mayunga". .. Ujumbe ukiwa, ANAMHARA ile mbaya. RIP Silas
Mayunga Alisomea na Israel Pia Ndio Maana Aliogopwa Zaidi. R.I.P
 
RIP Major General Mayunga.Daima mchango wako utakumbukwa hasa vita vya Uganda.Naomba kuweka rekodi sawa nikotayari kusahihishwa Mayunga alikuwa na cheo cha Major General si Luten General.
Alikuwa Lieutnant General!


Kagera War heroes honoured
DailyNews Reporter
Daily News On Saturday; Saturday,August 11, 2007 @00:04

LIEUTENANT General Silas Mayunga (retired) was honoured with a medal in recognition of the heroism he showed in the war against the forces of aggression of Uganda's Iddi Amin Dada, the National Assembly heard yesterday.

The Deputy Minister for Defence and National Service, Mr Omar Yusuf Mzee, told the House that apart from the heroic medal, Mr Mayunga was also promoted to Major General -- on March 21, 1979. The war ended on April 11, 1979.

On June 21, 1995, the deputy minister said, Mr Mayunga was elevated again to the rank of Lieutenant General. He was later shown further government recognition and hounour when he was appointed ambassador to various African nations.

After retirement from active service, the government continued to offer him befitting upkeep and protection just like other former high-ranking military leaders. Mr Mzee said Lieutenant General Mayunga has the right to come and watch the National Assembly in session.

Mr Mzee said the war against Iddi Amin was supervised very well by the headquarters of Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) in Dar es Salaam. After the war, he said, all Tanzanian combatants, including Mr Mayunga, received medals for heroism.

The deputy minister was responding to a question paraded in the National Assembly by Mr Haroub Said Masoud (Koani - CCM), who desired to know what the government has done to honour Lieutenant General Mayunga who led Tanzanian soldiers in the Kagera War.

He also wanted to know if Lieutenant General Mayunga had the right to come to watch the National Assembly in progress. Mr Mzee also said Tanzanians from all walks of life were allowed to come to Dodoma and watch the National Assembly in session.
 
Wapendwa najiuliza kama nduli iddi amini alimkimbia huyu kupitia sudan kuokoa uhai wake sipati picha iddi amin akimwona huko leo jamaa karudi tena sijui atakimbilia wapi..maskini..
Pengine Wameshakutana huko Wote Wameshalazwa. Amani Iwe nanyi Kwenu.
 
Nasikia walisoma wote kule Cuba, na Nduli alikuwa anamhala sana. Aliwahi sema: "Tanzania wote ni wanawake kasoro Mayunga". .. Jumbe ukiwa, ANAMHARA ile mbaya. RIP Silas

Nimecheka hapo Idi Amini aliposema Tanzania wote wanawake kasoro Mayunga.Kama una picha yake iweke basi ili tumkumbuke vizuri
RIP kamanda Mayunga
 
RIP Mti Mkavu (Hauchimbwi dawa).

Kama Mwanajeshi alikuwa juu sana ila alipoingia kwenye Siasa na kuwa Mkuuwa Mkoa, nafikiri ilimshinda (nisahihisheni kama nimekosea).
RIP Kamanda Mti Mkavu
Alipendwa sana na vijana(wapiganaji) kwa kuwa alijitambulisha sana nao vijana wa low ranks, na alikuwa hamasa kubwa wakati wa vita ya Kagera.
Hakuwahi kuwa mwanasiasa wa maneno mneno bali kiongozi wa wapiganaji aikwa mbele katika medani ya vita.
 
nimecheka hapo idi amini aliposema tanzania wote wanawake kasoro mayunga.kama una picha yake iweke basi ili tumkumbuke vizuri
rip kamanda mayunga

nitakukumbuka daima babu
 

Attachments

  • GENERALI DAIMA.jpg
    GENERALI DAIMA.jpg
    44 KB · Views: 304
Profesa Mwandosya alipata nafasi kuwatembelea wa Tanzania waliolazwa katika hospitali ya Apollo, New Delhi. Hapa anasalimiana na Meja Generali (Msitaafu) Silas Mayunga View attachment 34942
 
kipindi chao ndo lilikuwa linaitwa jeshi la wananchi kweli,siyo hili la kina shimbo,puuuu!! shame to them,mungu ampumzishe kwa amani
 
Back
Top Bottom