Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
nitakukumbuka daima babu
kazi kweli kweli
nitakukumbuka daima babu
Mmh! 'Mti mkavu' jina hili lilikuwa na maana gani wakuu? Mi nlkuwa sijazaliwa enzi za huyu jemedar
Mkuu Sikonge nikusahihishe RIP Mti Kavu alikuwa mwasiasa mzuri tu kwani kabla ya kwenda kumuondoa Nduli alikuwa Mkuu wa mkoa wa Singida.Ila vita ilivyoanza akamwambi Nyerere kwamba lazima aende Front Line akapambane.Na kweli alifanya vitu vyake hata Waganda wenyewe wanakubali kwamba Jamaa alikuwa Moto wa kuotea mbali.RIP Mti Mkavu (Hauchimbwi dawa).
Kama Mwanajeshi alikuwa juu sana ila alipoingia kwenye Siasa na kuwa Mkuuwa Mkoa, nafikiri ilimshinda (nisahihisheni kama nimekosea).