Historia ya baada ya Uhuru Tanzania iko vipi?

Dude, mimi nilikuwa naongea casually tu hapa. Sikumaanisha na sikusema Tanzania nzima hakuna hata Exit sign hata moja. Ningekuwa nimesema hivyo na wewe au Vera kunionyesha hata moja tu, tayari mnge defeat nilichosema. Pointi yangu ilikuwa, Tanzania sehemu nyingi hazina hizo alama. Haina maana alama hazipo kabisa.

Babu, siyo kila lazima tukijadili kama tuko darasani tukizifukuzia A.Tunapiga stori tu hapa.

Is that so?
 
Yote mbaya tu.
Unajua kwa vile tunaongelea historia, tusisahau pia kuwa hili swala la insecurity nalo limechangia sana kuongeza ufisadi kwa maana mtu anajihami mpaka anapitiliza inakuwa siyo kujihami tena bali ulafi.
Nashukuru umeleta hii dimension maana huenda tunaweza kuichambua zaidi kama sehemu ya historia yetu.

Ni bora nipate msaada wa serikali kuliko wa mtu ambaye ataninyanyasa na kunisimanga.
 
Companero anaita kukimbilia kwa mjomba au shangazi ni Ujamaa.

Acha kuweka maneno mdomoni kwangu. Huo sio Ujamaa. Hata Muasisi wa Ujamaa alisema huo ni Ukupe. Ujamaa unapingana kabisa na Uvivu. Msingi Mkuu wa Ujamaa ni Kufanya Kazi - Kwa Pamoja! Watu waliosamehewa kufanya Kazi katika Ujamaa ni Vikongwe na Wagonjwa tu. Sio Wafuliaji!
 
Wewe hata kwenye relationship/ marriage unataka mikataba na stipulations. Go figure...

And then you have the audacity ya kusema "Ndivyo tulivyo"

Ndivyo tulivyo kwa sababu hatujali preciseness, kuanzia na kudefine argument za "exit" sign mpaka mikataba ya ndoa.

Wakati wenzetu tangu wadogo wanafundishwa pre-nup ni nini, mkigongana kwenye corridor protocol zinasema nani ana right of way, etc etc.
 
Yote mbaya tu.
Unajua kwa vile tunaongelea historia, tusisahau pia kuwa hili swala la insecurity nalo limechangia sana kuongeza ufisadi kwa maana mtu anajihami mpaka anapitiliza inakuwa siyo kujihami tena bali ulafi.
Nashukuru umeleta hii dimension maana huenda tunaweza kuichambua zaidi kama sehemu ya historia yetu.

VeraCity:

Ufisadi umechangiwa na greedy. Na njia ya kuepukana na haya matatizo ni kuwa transparent, kuwa na check and balance na watu kujenga tabia ya kukubali kushindwa.

Kama insecurity basi wangeenda kuiba kuku au mihogo kwa sababu hawana chakula.

Wanaofanya ufisadi ni watu wenye kipato kizuri tu na wengine kwa kipato wanachopata Tanzania wangeweza kuishi sehemu yoyote dunia mpaka kufa.
 
Ni bora nipate msaada wa serikali kuliko wa mtu ambaye ataninyanyasa na kunisimanga.

Naam huo ndio Ujamaa. Serikali kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake - Afya, Maji na Elimu n.k. Kwa Kizungu wanauiita Social Welfarism.
 
And then you have the audacity ya kusema "Ndivyo tulivyo"

Ndivyo tulivyo kwa sababu hatujali preciseness, kuanzia na kudefine argument za "exit" sign mpaka mikataba ya ndoa.

Wakati wenzetu tangu wadogo wanafundishwa pre-nup ni nini, mkigongana kwenye corridor protocol zinasema nani ana right of way, etc etc.

Okay, exactly ni nini hapa tunachobishania? Maana mimi sikusema bongo hakuna exit signs. Kama kuna sehemu initially nilisema hivyo naomba nioneshe.
 
Acha kuweka maneno mdomoni kwangu. Huo sio Ujamaa. Hata Muasisi wa Ujamaa alisema huo ni Ukupe. Ujamaa unapingana kabisa na Uvivu. Msingi Mkuu wa Ujamaa ni Kufanya Kazi - Kwa Pamoja! Watu waliosamehewa kufanya Kazi katika Ujamaa ni Vikongwe na Wagonjwa tu. Sio Wafuliaji!

Mbona ukawihi kuboronga. Sasa kama misingi ni kazi, kwanini bakuli nilikuwa litatembezwa nchi za wafadhili. Ina maana Tanzania ni nchi ya makupe basi.
 
Naam huo ndio Ujamaa. Serikali kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake - Afya, Maji na Elimu n.k. Kwa Kizungu wanauiita Social Welfarism.

Lakini lipa kodi kwanza au weka insurance. Kama hutafanya hivyo hiyo ni free lunch.
 
Zakumi,
Mkuu unakosea sana unaposema Corruption index inaonyesha zaidi ktk nchi zilizokuwa zijijenga Utopia society kwa sababu sii KWELI.. Bara lote la Africa linaonyesha kinara wa corruption, hivyo wakati kulikuwa na nchi sii zaidi ya 10 ambazo zlikuwa upande huo. Bara lote la South America linagubikwa na Corruption zikiongoza CHile na Peru wakati nao ni nchi chache zaidi ziolizokuwa upande unaozungumzia..Tena basi venezuela walmetoka ktk Ubapari kuingia Ujamaa ndio wanaongoza jahazi zima la Kina Kipasa!
Na Hata Ulaya ni nchi Moja tu USSR ambayo ndio imevunjika na kupitia mitihani kama hiyo wakati corruption imetapakaa hadi Italy, Greece, Serbia, Turkey na kashalika. Na Asia ukiangalia utakuta nchi yenye unafuu ni China wengine wote bado wanagawana Umaskini. Kwa hiyo Ikitkadi sii sababu ya Corruptions kuwepo isipokuwa tunaweza kujiuliza zaidi kwa nini corruption imekomaa baada ya kuvunjika kwa Berlin wall na sio kabla..

Mkuu utaupima Ujamaa na Corruption wakati Itikadi hiyo inafanya kazi na sio baada yake kwani Ujamaa ulikuwa ukipinga Corruption na matunda yake yalionekana. Ikiwa wewe ulikuwa mtu wa dini na ukaweza kufanya mema kisha ukaacha dini yako na kuwa mpotovu hatuwezi kusema sababu ya upotovu wako unatokana na imani ile ya dini ulokuwa ukiifuata..Upotovu wako unatokana na imani hiimmpya ulokuwa nayo na sii vinginevyo..Ulikatazwa sana ulipokuwa na mwongozo sasa umekuwa huru kujiachia (pinzani na dini) ni vipi lawama ziende kwenye mafundisho ya Dini yanayo kukataza kufanya mabaya.

Kama yalivyo maisha yetu ndivyo Ubepari unavyofanya kazi.. kuna vishawishi vingi pindi watu mnapokuwa hamna imani ya itikadi yoyote isipokuwa ile ya Kishetani..Ubepari ni ushetani unaotangaza zaidi utajiri (Rich) wa mali na sii Utajiri wa hali ama Wealth. Leo hii nchi zote unazoziona ktk fungu la Ufisadi ni nchi ambazo zimepoteza mwelekeo, hawana mwongo ama hawakuwa na mwongozo from day one. Wenzetu wazungu wali import culture zao ktk kila Utaifa wa nchi walizozijenga na Itikadi ilikubaliana na mafundisho ya utamaduni wo ktk mazingira waliyokuwemo. Ndio maana wakaweza kuweka vitu kaa Apartheid kuhakikisha malengo yao yanapewa kipaumbele kabla ya haki za mtu mwingine. Marekani wanafagia Wahindi wekundu wote, Ufalme wa Malkia na kutumia imani ya kumjenga Mtu mweupe bila kujali anatokea wapi kuwa mmiliki halali wa Taifa hilo. France, UK, germany na wengineo wote wametumia culture zao ktk ujenzi wa Utaifa wao na sii nchi zote za Kijamaa ambazo zilikuja gawanyika sii kwa sababu ya kisasa zaidi ya Ukabila wao.

USSR imevunjika sii kwa sababu ya Utopia zadi ya kuwepo tofauti za KIkabila baina ya mataifa hayo. Reagan alitumia weakness hizo kuweza kuwatenganisha na hata kubomoa ukuta wwa Berlin akisema hawa ni ndugu kwa nini wanatengana kwa sababu ya Siasa jambo ambalo Marekani leo hawataki kabisa kuona likitokea Korea isipokuwa kwa Korea Kasikazini kukubali kuwa chini ya South ambayo wao wana control.
 
And then you have the audacity ya kusema "Ndivyo tulivyo"

Ndivyo tulivyo kwa sababu hatujali preciseness, kuanzia na kudefine argument za "exit" sign mpaka mikataba ya ndoa.

Wakati wenzetu tangu wadogo wanafundishwa pre-nup ni nini, mkigongana kwenye corridor protocol zinasema nani ana right of way, etc etc.

Mkuu naam umenena. Falsafa na Logiki hii ni muhimu sana. Umenikumbusha uchambuzi huu wa Pius Adesanmi:

When you do something as mundane as stopping when the traffic light goes red, you may not know it but that reflex action of yours is rooted in a long history of philosophizing about the interface between individual agency, civic belonging and the responsibilities therefrom, submission of the self to the hegemony of rules and regulations collectively agreed upon – deviation from which eventuates in established protocols of discipline and punish. In essence, you stopped at that red light because names as disparate as Michel Foucault, Rousseau, Voltaire, Montesquieu and so many others philosophized. It is even possible to extend this filiation of thought all the way to the Greeks, showing how a concatenation of philosophical thought you may not even care about made you apply the brakes at the red light but that is beyond the purview of this treatise.
 
Contemporary History:

1991: Kupitishwa kwa Azimio la Zanzibar
Na Mwanzo wa huduma za kulipia
choo%20misungwi.jpg

 
Mbona ukawihi kuboronga. Sasa kama misingi ni kazi, kwanini bakuli nilikuwa litatembezwa nchi za wafadhili. Ina maana Tanzania ni nchi ya makupe basi.


Mkuu..kutembeza bakuli siyo tatizo la tz tu. Kama alivyosema Richard Dowden ( Kitabu chake kiitwacho Africa - Altered States, Ordinary miracles) the parternal r/ship between African rulers and former colonial powers is one of the most poisonous legacies of colonialism.Hakuna former colony lisilotembeza kopo - may be some are more aggressive kuliko wengine.Kujifaragua na kujifanya tunaondokana na ukoloni mamboleo halafu hapohapo tunaendeleza kupokea misaada hatuwezi tutabaki appendages milele.
 
Kibunango,
Haya mambo tunayaona leo ktk Ubepari..imefikia hata watu kuuza vumbi unashangaa haya?
 
Mkuu..kutembeza bakuli siyo tatizo la tz tu. Kama alivyosema Richard Dowden ( Kitabu chake kiitwacho Africa - Altered States, Ordinary miracles) the parternal r/ship between African rulers and former colonial powers is one of the most poisonous legacies of colonialism.Hakuna former colony lisilotembeza kopo - may be some are more aggressive kuliko wengine.Kujifaragua na kujifanya tunaondokana na ukoloni mamboleo halafu hapohapo tunaendeleza kupokea misaada hatuwezi tutabaki appendages milele.

Kibaya zaidi hiyo misaada haisaidii chochote. Umaskini uko palepale.
 
Zakumi,
Mkuu unakosea sana unaposema Corruption index inaonyesha zaidi ktk nchi zilizokuwa zijijenga Utopia society kwa sababu sii KWELI.. Bara lote la Africa linaonyesha kinara wa corruption, hivyo wakati kulikuwa na nchi sii zaidi ya 10 ambazo zlikuwa upande huo. Bara lote la South America linagubikwa na Corruption zikiongoza CHile na Peru wakati nao ni nchi chache zaidi ziolizokuwa upande unaozungumzia..Tena basi venezuela walmetoka ktk Ubapari kuingia Ujamaa ndio wanaongoza jahazi zima la Kina Kipasa!
Na Hata Ulaya ni nchi Moja tu USSR ambayo ndio imevunjika na kupitia mitihani kama hiyo wakati corruption imetapakaa hadi Italy, Greece, Serbia, Turkey na kashalika. Na Asia ukiangalia utakuta nchi yenye unafuu ni China wengine wote bado wanagawana Umaskini. Kwa hiyo Ikitkadi sii sababu ya Corruptions kuwepo isipokuwa tunaweza kujiuliza zaidi kwa nini corruption imekomaa baada ya kuvunjika kwa Berlin wall na sio kabla..

Mkuu utaupima Ujamaa na Corruption wakati Itikadi hiyo inafanya kazi na sio baada yake kwani Ujamaa ulikuwa ukipinga Corruption na matunda yake yalionekana. Ikiwa wewe ulikuwa mtu wa dini na ukaweza kufanya mema kisha ukaacha dini yako na kuwa mpotovu hatuwezi kusema sababu ya upotovu wako unatokana na imani ile ya dini ulokuwa ukiifuata..Upotovu wako unatokana na imani hiimmpya ulokuwa nayo na sii vinginevyo..Ulikatazwa sana ulipokuwa na mwongozo sasa umekuwa huru kujiachia (pinzani na dini) ni vipi lawama ziende kwenye mafundisho ya Dini yanayo kukataza kufanya mabaya.

Kama yalivyo maisha yetu ndivyo Ubepari unavyofanya kazi.. kuna vishawishi vingi pindi watu mnapokuwa hamna imani ya itikadi yoyote isipokuwa ile ya Kishetani..Ubepari ni ushetani unaotangaza zaidi utajiri (Rich) wa mali na sii Utajiri wa hali ama Wealth. Leo hii nchi zote unazoziona ktk fungu la Ufisadi ni nchi ambazo zimepoteza mwelekeo, hawana mwongo ama hawakuwa na mwongozo from day one. Wenzetu wazungu wali import culture zao ktk kila Utaifa wa nchi walizozijenga na Itikadi ilikubaliana na mafundisho ya utamaduni wo ktk mazingira waliyokuwemo. Ndio maana wakaweza kuweka vitu kaa Apartheid kuhakikisha malengo yao yanapewa kipaumbele kabla ya haki za mtu mwingine. Marekani wanafagia Wahindi wekundu wote, Ufalme wa Malkia na kutumia imani ya kumjenga Mtu mweupe bila kujali anatokea wapi kuwa mmiliki halali wa Taifa hilo. France, UK, germany na wengineo wote wametumia culture zao ktk ujenzi wa Utaifa wao na sii nchi zote za Kijamaa ambazo zilikuja gawanyika sii kwa sababu ya kisasa zaidi ya Ukabila wao.

USSR imevunjika sii kwa sababu ya Utopia zadi ya kuwepo tofauti za KIkabila baina ya mataifa hayo. Reagan alitumia weakness hizo kuweza kuwatenganisha na hata kubomoa ukuta wwa Berlin akisema hawa ni ndugu kwa nini wanatengana kwa sababu ya Siasa jambo ambalo Marekani leo hawataki kabisa kuona likitokea Korea isipokuwa kwa Korea Kasikazini kukubali kuwa chini ya South ambayo wao wana control.

Mkandara:

Ukisoma posti yangu vizuri utaona nimechapia na kuwepo kwa taasisi zilizo transparent katika matumizi na uongozi. Vilevile nimezungumzia check and balance.

Hivyo basi nchi yoyote ikikosa kuwa na transparent na check and balance wataangukia kwenye ufisadi bila kujali political creed gani wanafuata.

Kinachosaidia ubepari wa Marekani katika masuala ya ufisadi sio ubepari, bali taasisi zilizo transparency na zenye utamaduni wa check and balance.

Similary kinachosaidia Sweden sio siasa zao bali ni transparency na check and balance walizokuwa nazo.

Tanzania na nchi zingine za kijamaa hazikujenga taasisi zilizo transparent na zenye utamaduni wa check and balance wakati wa Ujamaa. Hivyo transition ya kwenda kwenye ubepari is a deadly process.

Hivyo basi kama tuliukana Ujamaa na kuingia kwenye ubepari, tulifanya hivyo kwa kuangalia mazuri ya ubepari tu. Lakini hatukufanya juhudi zozote za kuangalia taasisi za kiutawala zinavyofanya kazi.

Kwa mfano kuongopea kamati ya bunge la Marekani ni kosa linalompeleka mtu jela. Hivyo kama Lowassa angekuwa Marekani kwa kashfa za Richmond angekuwa anazungumza kutokea lupango.
 
Nikirudi kwenye kujibu swali la msingi la thread,

Hiki kitabu kina michongo mingi sana ya hii nchi kuanzia ukoloni mpaka mara baada ya uhuru.

A Modern history of Tanganyika By John Iliffe

9780521296113.gif
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom