Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,178
- 661
naam nimekisoma hiki kitabu kilichoandikwa na Dr Ghassan kwa kweli kina mengi ya kustaajabisha na ambayo yalikua hayajulikani na pia kuna migongano ya historia tuijuayo na hii
tukisomeni na kuchangia juu ya historia hii mpya kama ilivyoandikwa na mzanzibari huyu
tukisomeni na kuchangia juu ya historia hii mpya kama ilivyoandikwa na mzanzibari huyu