PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
Kaka unasoma maandiko? Kila kitu nilazima ukipime kwenye neno la Mungu. Nje ya hapo nilazima upate ukakasi.
Na hapa nilazima tuwe na udadisi wa mambo. Siyo unaabudu kisa ulimkuta babu na baba wanafanya nawewe unafanya.
Kujua historia na kufatilia kwenye Biblia kwamba je ! Hili jambo linapingana na Neno la Mungu au Neno la Mungu linakubaliana na hicho unachokifanya?
Wakristo ni wanafunzi wa Yesu na Yesu Mwenyewe Alituagiza tufuate Yale aliyotuagiza kuyafanya na yote yapo kwenye Biblia.
Sasa kama wanatokea watu wanatuletea taratibu zao basi nivizuri tukazipima kwenye Neno la Mungu.
Huwezi kuniambia majivu nipakwe heti ndio identity ya ukristo siwezi kukubali maana majivu ni zao la Moto hapo lazima niombe kujua kwa undani nasio kukurupuka kupakwa kitu nisichojua kimetoka wapi.
Na hapa nilazima tuwe na udadisi wa mambo. Siyo unaabudu kisa ulimkuta babu na baba wanafanya nawewe unafanya.
Kujua historia na kufatilia kwenye Biblia kwamba je ! Hili jambo linapingana na Neno la Mungu au Neno la Mungu linakubaliana na hicho unachokifanya?
Wakristo ni wanafunzi wa Yesu na Yesu Mwenyewe Alituagiza tufuate Yale aliyotuagiza kuyafanya na yote yapo kwenye Biblia.
Sasa kama wanatokea watu wanatuletea taratibu zao basi nivizuri tukazipima kwenye Neno la Mungu.
Huwezi kuniambia majivu nipakwe heti ndio identity ya ukristo siwezi kukubali maana majivu ni zao la Moto hapo lazima niombe kujua kwa undani nasio kukurupuka kupakwa kitu nisichojua kimetoka wapi.
nafikiri ni alama tu kuashiria we ni mkristo km wagogo ukienda dodoma utawajua kwa ndonye la usoni