johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Tunafunga Ili kufanya Toba kwa Mungu wa mbinguni tuweze kusamehewa Dhambi zetu
Tunafunga Ili kufanya miili yetu ichuje Sumu ambazo ndio Dhambi za mwilini hivyo hatutakiwi kula sana wala kubadili usiku kuwa mchana
Tunafunga Ili kuponya roho zetu baada ya kupokea msamaha kutoka kwa Mungu wa mbinguni
Funga ya kweli ni Lazima Shetani akutembelee ili akujaribu kama kweli umefunga au umeshinda tu bila kula
Kwaresma Njema
Ramadan Kareem 😄
Tunafunga Ili kufanya miili yetu ichuje Sumu ambazo ndio Dhambi za mwilini hivyo hatutakiwi kula sana wala kubadili usiku kuwa mchana
Tunafunga Ili kuponya roho zetu baada ya kupokea msamaha kutoka kwa Mungu wa mbinguni
Funga ya kweli ni Lazima Shetani akutembelee ili akujaribu kama kweli umefunga au umeshinda tu bila kula
Kwaresma Njema
Ramadan Kareem 😄