[emoji23] [emoji23] [emoji23] sio vizuri kumsema marehemu hasa kwa ubaya ama madhaifu yakeKumbe alikuwa memba wa CHAWAPUTA bana sema hakushtuka kama kuna ya nzi wala ya kamba ikabidi apige tu ya jiwe, mbaya zaid baada ya kuendekeza hiyo tabia akajikuta jongoo wake kupanda mtungi ni mpaka apate buster na akaamua rasmi kujiita 'John delicious' dah! R.I.P[emoji22] [emoji22]
alikuwa anagegeda mawe baada ya kukosa papuchi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
aligeuka delicious?Mmesababisha nionekane chizi fuleshi hapa nilipo kwa kucheka peke yangu
john umeondoka kipindi tunakuhitaji!hakika kimwili hauko nasi ila kiroho pamoja sana!pengo lako halitazibika milele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiwa na nyuso za bashasha kabisa watu hawa wakiwa wamebeba masalia ya marehemu
makabidhiano ya ushahidi wa kifo cha marehemu mbele ya kiranja mkuu
Labda tabia zake zinafana na kina John (nawaza tu)Hivi walikosa majina mengine kweli hadi wamuite John!![emoji16] [emoji16]