Historia fupi ya jina la slaa katibu mkuu wa chadema.

Status
Not open for further replies.
Nadhani wewe ni Kibwetere (yule wakala wa shetani kule Uganda) na si Kibwete kama Id yako inavyoonyesha. Nimegundua baada ya Katibu mkuu wa CCM, Kinana kuhusishwa na tembo mnakuja na threads za ajabuajabu ili kuhamisha watu kwenye mijadala ya maana. Leo tembo wanaangamia, CCM inahonga wajumbe wa tume ya katiba mamilioni ili wajitibu UKIMWI, mnachakachua matokeo ya kidato cha nne, kila uvundo upo unatuletea kujadili jina la ukoo? una akili kweli. Ninaonya wenye akili zao kwenye huu uzi hawatapoteza muda kujadili upuuzi.
 
Jamani nashauri huu uzi tuuchukulie kwa tahadhari sana tunajua mengi sana mabaya ya hao watu wenu than you think......ni hatari kama tutaanzisha personal attacks. please please narudia ni hatari!!!!!!! Huu mchezo utahatarisha hata maisha ya wengine......
 
Hili walishakuja nalo wale wenzio! wakashindwa! Eti Dr aje kukujibu huu upuuzi?!
Hapa buku 7 hupewi mkuu! Kajipange!
 
Nitakuwa tayari kufunguka zaidi pale mzee slaa atakapo bisha au kukubari juu ya hili,pia kunasuala la mama mkwe wa slaa kupondwa na mabati yaliyoanguka usiku yakiwa juu ya dali ya hiyo nyumba baada ya kunyesha mvua,kama slaa akinibishia nitaeleza hizi bati slaa alizito wapi na kwa nini zilienda kukaa kwa yule mama,mods naomba msifunge huu uzi ili tuambizane ukweli zaidi.

Wewe sio saizi ya Dr Slaaa. Tafadhali jiheshimu......narudia tena kwamba kama ni personal attacks juu ya maisha binafsi ya watu basi be informed kwamba tutayaweka ya viongozi wenu hapa na mtaishia kuufyata mkia kama Mbwa.........
 
Unataka uende ukajisifu kuwa umeweka thread halafu Dokta akakujibu? Unadhani posho yako ya 7000 itazidishwa?

pole mkuu mana chama la nyumbani limeguswa pabaya, mwambie babu yetu mzee mtei haya mambo ya ubabaishaji yanajadiliwa sana huku
 
Nilikuwa naongea na Mzee mmoja kutoka Karatu tuliongea mambo mengi kuhusu katibu mkuu wa CHADEMA taifa japo mengine kuyaweka wazi humu itakuwa ni kama kumvua nguo naona siyo vema lakini niongelee hili moja tu. Slaa maana yake ni wa porini kwa hiyo jina la Slaa maana yake ni waporini, nikapata swali kwa nini Dr awe wa porini Mzee akasema hivi, siyo vizuri kutaja humu.

Lakini pia nikaambiwa Slaa siyo jina la baba yake na Dr na baba yake Dr siyo Slaa. Sitaki kwanza kuweka wazi mambo yote namuomba Dr aigie JF aweke wazi maana ya jina lake na vitu nilivyogusia ndani yake halafu majibu yake yataamua ama nifuguke zaidi au mjadala uishe.

Mkuu katika wajinga niliowahi kuwapata wewe umshikilia bendera unawaongoz yaani wewe ni # 1.
yaani umekuja na pumba ambazo haziwezi kutusaidia lolote we jina lak linakuhusu
bila hata aibu unamwambia aje ajibu!
ajib lipi huu utumbo wako?
aache kuelekeza nguvu kwenye mambo ya aje ajibu ujinga wa mtu mwenye jkuhangaigia 7000
anaewatuma hana akili.
 
We una akili timamu kweli? Au umevurugwa? Yaani Dokta aje ajibu huu uharo ulioandika humu? aliyekuvuruga amekupatia

chadema bwana wewe kijana wa mtei mbona unaishia kutukana tu akili hiyo ni ya bavicha hiyo hebu kuwa mtu mzima,mjengee hoja tu ili umweleweshe matusi na maneno ya ajabu unashusha heshima yako.
 
Nitakuwa tayari kufunguka zaidi pale mzee slaa atakapo bisha au kukubari juu ya hili,pia kunasuala la mama mkwe wa slaa kupondwa na mabati yaliyoanguka usiku yakiwa juu ya dali ya hiyo nyumba baada ya kunyesha mvua,kama slaa akinibishia nitaeleza hizi bati slaa alizito wapi na kwa nini zilienda kukaa kwa yule mama,mods naomba msifunge huu uzi ili tuambizane ukweli zaidi.

Naona unazidi kuthibitisha uboya wako. Kama Vipi mwambie bosi wako Mwigulu au Nape wakusaidie
 
Nilikuwa naongea na Mzee mmoja kutoka Karatu tuliongea mambo mengi kuhusu katibu mkuu wa CHADEMA taifa japo mengine kuyaweka wazi humu itakuwa ni kama kumvua nguo naona siyo vema lakini niongelee hili moja tu. Slaa maana yake ni wa porini kwa hiyo jina la Slaa maana yake ni waporini, nikapata swali kwa nini Dr awe wa porini Mzee akasema hivi, siyo vizuri kutaja humu.

Lakini pia nikaambiwa Slaa siyo jina la baba yake na Dr na baba yake Dr siyo Slaa. Sitaki kwanza kuweka wazi mambo yote namuomba Dr aigie JF aweke wazi maana ya jina lake na vitu nilivyogusia ndani yake halafu majibu yake yataamua ama nifuguke zaidi au mjadala uishe.

Mtu wa porini sio raia wa Tanzania? Au mtu mtu wa porini (pori la Tanzania) hana haki Tanzania? Na kwanini hukutafuta maana ya Slaa miaka yote 15 aliyokuwa bungeni?

Watanzania ni lini tutaachana na akili za panzi, na kujadili mambo ya maana? Wewe unahaangika kutafuta baba wa mtu mwingine, wa kwako unamjua?
 
Maisha binafsi hayana ba wala hayasaidiiii kuondoa umaskini wa Watanzania......tujadilini hoja nawasihi.

Mbona tunajua kuwa fulani sio mtoto wa familia hio? Narudia hii thread ni ya hatari Mpwa.....
 
chadema bwana wewe kijana wa mtei mbona unaishia kutukana tu akili hiyo ni ya bavicha hiyo hebu kuwa mtu mzima,mjengee hoja tu ili umweleweshe matusi na maneno ya ajabu unashusha heshima yako.

Kumbe mliovurugwa mpo wengi? Poleni sana.. Nani amewavuruga?
 
Nilikuwa naongea na Mzee mmoja kutoka Karatu tuliongea mambo mengi kuhusu katibu mkuu wa CHADEMA taifa japo mengine kuyaweka wazi humu itakuwa ni kama kumvua nguo naona siyo vema lakini niongelee hili moja tu. Slaa maana yake ni wa porini kwa hiyo jina la Slaa maana yake ni waporini, nikapata swali kwa nini Dr awe wa porini Mzee akasema hivi, siyo vizuri kutaja humu.

Lakini pia nikaambiwa Slaa siyo jina la baba yake na Dr na baba yake Dr siyo Slaa. Sitaki kwanza kuweka wazi mambo yote namuomba Dr aigie JF aweke wazi maana ya jina lake na vitu nilivyogusia ndani yake halafu majibu yake yataamua ama nifuguke zaidi au mjadala uishe.

We wala usikaushe damu namna hiyo,Slaa maana yake ni PORI n not porini,so hilo jina ni kama lilivyo la gamba mwenzako H. Ghasia,Manyanya, Simba na magamba wenzio,kudai kuwa hiyo jina la babake ni kufilisika kimawazo,Nape hadi leo hii hamjui babake umsadie kwanza bt utakiwa ujue tunadeal na mtu mwenyewe n jina wala wazee wake.

Credibility,Realiabity na intergrity ya mtu haitokani na yeye kutumia au kumjua baba yake so Dr.Wilbroad Peter Slaa atabaki kuwa yeye na magamba mtaendelea kuhangaika,kafanye tena uchunguzi ujue kama kucha na meno ni yake ike mfanye yale mambo yenu.
 
Sasa sisi tujadili majina ya watu humu? Mimi ukoo wangu njoka maana yake nyoka haya jadili sasa. Wacheni hizo bana unatupoteza tujadili tembo wetu baada ya miaka5 kwisney. Toa hiyo kitu banaaaa
 
Mleta mada ungefunguka kidogo tafadhali kwa faida ya wanajukwaa, mbona hatuaminiani? Hebu tuambie baba yake babu ni nani hasa.yuko wapi na anafanya nn.
 
Wewe ni mama yake na Dr Slaa uwe unamjua babake, Hivi hakuna kingine mnachoweza kufanya zaidi kufuatilia maisha ya watu, au ndiyo vijana wa WEKA MBALI NA TEMBO aka buku 7 from lumumba?
Hayo unayajua wewe kama unalipwa kuingia jf kimpango wako,nimeacha mengi nimeandika mepesi kama nikiweka yote bayana mtakimbiana lakini kwa uzi ba upo akidumbukia tu mzee na kubisha nafunguka hapo ndipo nguo zitaanza kubana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom