Hisabati iwe lazima kwa Wanasheria!

Hisabati iwe lazima kwa Wanasheria!

Mtoa mada na wewe mbona hujatumia logic unajua kabisa watumishi wa mahakama wanachaguliwa na mkuu logically case itakua fair!????


Mmeshajaribu kumshitaki halafu Mahakama ikashindwa kutoa haki? Mbona Wabunge wengi wa Upinzani wanashinda kesi kila siku dhidi ya JMTZ?
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Raisi hawezi kushtakiwa akiwa Madarakani, Katiba inamlinda mpaka amalize Muda wake kwa Mujibu wa Katiba iliyopo
 
Raisi hawezi kushtakiwa akiwa Madarakani, Katiba inamlinda mpaka amalize Muda wake kwa Mujibu wa Katiba iliyopo


Sasa kama hawezi kushitakiwa ina maana hashitakiki sasa kwa nini mnasema kavunja Sheria?
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Hakuna mwana hisabati yeyote ambaye huwa ana reason, wote huwa wanakariri! 1+1=2. Kuna reason gani hapo?! Achana kabisa na wanasheria wewe! Otea mbali kabisa huo moto.!
 
Sasa kama hawezi kushitakiwa ina maana hashitakiki sasa kwa nini mnasema kavunja Sheria?

I see! Wewe jamaa, ndio unayetutaka sisi Wana SHERIA tusome Mathe kwa ajili ya kufanya Reasoning!? Hapo umepotea mbaya.

Swali lako hapo juu, Ushaambiwa kuwa Katiba iliyopoa haitoi Mwanya kwa Raisi aliyepo madarakani kushtakiwa kwa Makosa aliyowahi kufanya kabla ya kuwa Rais na hata kwa Makosa ambayo yametokea huku akiwa anatimiza Majukumu yake ya Kila siku.

Sasa wewe unalazimishA kwa nini wasimshtaki kama anavunja SHERIA. Please, Chukua Katiba yako na isome Article 46 Kisha urudi tena hapa jukwaani ukiwa na akili timamu za ufaham juu ya Katiba.
 
kwa wanasheria mathematics haina umuhimu sababu mathematically speaking 1+1= 2 wakati kwa mwanasheria 1+1=11 logic za mathematics nini na nini hapo hazihusiki wanasheria wana legal reasoning na logic kitu ambacho layman hawezi jua...hili wimbi la hawa mbumbumbu wa sheria kuja JF kyjifanya wanaweza kuchambua katiba limekua kubwa sana, ona kama huyu analeta hoja za kilooser kwamba kama hashitakiki basi yupo juu ya sheria ....insanity of the highest order...
 
Sasa kama hawezi kushitakiwa ina maana hashitakiki sasa kwa nini mnasema kavunja Sheria?

46.-(1) Wakati wote Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, itakuwa ni marufuku kumshitaki au kuendesha mashataka ya aina yoyote juu yake mahakamani kwa ajili ya kosa lolote la jinai.

(2) Wakati wote Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, haitaruhusiwa kufungua mahakamani shauri kuhusu jambo lolote alilolitenda au alilokosa kulitenda yeye binafsi kama raia wa kawaida ama kabla au baada ya kushika madaraka ya Rais, ila tu kama angalau siku thelathini kabla ya shauri kufunguliwa mahakamani, Rais atapewa au ametumiwa kwamba taarifa ya madai kwa maandishi kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, na taarifa hiyo ikiwa inatoa maelezo kuhusu chanzo cha shauri hilo, kiini cha madai yenyewe, jina lake na anwani ya mahali anapoishi huyo mdai na jambo hasa analodai
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Kuna watu sijui husoma Madudu gani vyuoni? Katiba hajui , afu anaropoka KATIBA!
Hujui Rais wa Tz ni Mungu kwa Katiba YETU?
 
Eti ndo wanasheria, zaidi ya kelele hakuna kingine
 
naona mkuu unamfundisha dinho gaucho kupiga chenga. hahahha unazungumzia sheria halafu unasema Lissu hajui sheria???????
 
Wameshajaribu?
Mbona Le Lumumbaz mnatoa Povu sana?,kama Tundu lisu hana logical reason,embu nambie ni kesi gani mlishawahui kumshinda..Tulieni nyie Le lumumbaz & co,huu mchezo hauhitaji hasira..Cheza kwa stape utakuja kuaibika mkuu.
 
Na hapo ndipo hoja yangu ilipo, kama Raisi hashitakiki iweje mseme yuko chini ya Sheria? Kwa logic ya kawaida ni kwamba yoyote aliye chini ya Sheria anashitakika!
Unafahamu sheria,au ulishawahia hata kupitia Katiba ya JMT.Au unafoka tuu kijuha?
 
We unajua hesabu.? Unafahamu kuhusu conjunction statements na truth table yake? Ndo hyo sasa cdm wanatmia
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
 
Zee la logic na mahesabu....
Eeh, kwahiyo hapo unashauri kimahesabu na kilogic watumie formula gani?!?!
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Hujui sheria, kapike vitumbua na kusafisha choo hapo Lumumba. Katiba inasemaje kuhusu kushtakiwa kwa rais kwa jinai na madai awapo madarakani?
Lumumba rudini shule!
 
Kuna watu sijui husoma Madudu gani vyuoni? Katiba hajui , afu anaropoka KATIBA!
Hujui Rais wa Tz ni Mungu kwa Katiba YETU?


Sasa kwa nini mnasema Raisi kavunja Sheria?
 
Hujui sheria, kapike vitumbua na kusafisha choo hapo Lumumba. Katiba inasemaje kuhusu kushtakiwa kwa rais kwa jinai na madai awapo madarakani?
Lumumba rudini shule!


Kwa nini basi mnasema kavunja Sheria kama hakuna Sheria ya kumshitaki?
 
Kwa hiyo maana yake ni kwamba hashitakiki kwa Sheria ya JMTZ au kwa maneno mengine hakuna Sheria ya kumshitaki Raisi wa JMTZ, Je mi sawa nikisema hivyo kulingana na maelezo yako?
Ndiyo upo sawa, sasa weka wazi unataka kuhalalisha nini kwa mfano?
 
Back
Top Bottom