Hisabati iwe lazima kwa Wanasheria!

Hisabati iwe lazima kwa Wanasheria!

Kuvunja sheria na kuwepo sheria ya kumshtaki ni vitu viwili tofauti. Watu wanapotaka mabadiliko ya katiba hiyo ni moja ya sababu, tatizo ccm haitaki mabadiliko, wananchi wafanye nini?


Hapana siyo vitu tofauti, mtu yoyote anayevunja Sheria ina maana kuna Sheria iliyo juu yake na ndiyo maana kaivunja sasa kama hakuna Sheria ya kumshitaki iweje useme kavunja Sheria? Logic iko wapi hapo?
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Kwa akili hii inayomshauri Rais na wateule wake, hata tanzania ya vibanda hatuwezi pata
 
Hapana siyo vitu tofauti, mtu yoyote anayevunja Sheria ina maana kuna Sheria iliyo juu yake na ndiyo maana kaivunja sasa kama hakuna Sheria ya kumshitaki iweje useme kavunja Sheria? Logic iko wapi hapo?
Subiri utapata majibu kwa wengine wenye muda wa kukujibu.
 
Wapi ulisikia rais aliye madarakani hapa tz anaweza shitakiwa mahakamani!? Mahali pa kumshitaki rais ni bungeni lakini bunge lenyewe ndio hilo la tulia!!
 
Seriously Maths!!!!!????
Logic na Knowledge
Ukiweka mahaba pembeni, utaweza kuelewa na kutofautisha hivi viwili
 
Ndugu,, mimi nadhani katiba haichambuliwi namna hiyo in such a mathematical formulas zenu to get the right answer, huu ukakasi unahitaji KATIBA MPYA itakayoendana na wakati wa sasa
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Ulivyosema wanasheria wasome hesabu niliona Una point kwa hesabu kwa wanasheria wengi Ni tatizo.

Lakini ulivyosema wasome hesabu Ili wawe Na uwezo wa Ku reason ndo ukawa umeharibu kabisa kwani reasoning ya kisheria haihitaji ujue hesabu Na hakuna tathnia inayofundisha au kujua namna ya kufanya reasoning Kama ya sheria.

Yaani hapa umechanganya mlenda Na pilau, suala la kumshitaki rais linahusianaje Na hesabu, kimsingi wewe ndo unahitaji kusoma hesabu aisee.

Na kwa wengine Kama wewe, wanasheria huwa hawakariri Kama mfikiriavyo, coz huwezi kariri then ukatengeneza kesi au ukafanya reasoning.

Think again
 
Duuuh..! mimi zamani nilifikri wote humu jf wanakuwa na akili timamu kumbe kuna mbwiga pia kama huyu anae fikri kama kakatika kichwa ghafla, hesabu na sheria vinahusianaje.. ?
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Wewe umesoma hesabu?
Mbona ulichoandika hapa siyo hakina logic meaning!...
Neither valid nor invalid...
 
Vitu vingine haviitaji hisabati sasa..
Mtoa post umekula maharagwe ya wapi??
 
Wewe umesoma hesabu?
Mbona ulichoandika hapa siyo hakina logic meaning!...
Neither valid nor invalid...


Sijasoma Hesabu bali nimefanya na ninaendelea kufanya Hisabati!
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Hivi ndugu yangu wewe una upeo mzuri wakufikiri kweli??? Hebu pumzika
 
Kama unaelewa juu ya kiapo cha Raisi utaona kwa nn wanasema hvyo, pia jitahidi kuisoma katiba iliyoko sasa vzr itaelewa ila kama unapenda kuelewa.
 
Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!

Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?

Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Unafahamu nguvu za kisheria za urais, mipaka yake na usimamiaji w milinganyo ya Executive, Legislature na Judiciary?

Unafahamu practical challenges za kumshitaki rais katika mfumo wa sharia ambao unapata kuteuliwa na rais?

Umesikiliza hotuba ya Magufuli kwa vyombo vya sharia na maneno aliyosema?

Unafahamu kwamba strategy inaweza kufanya mtu arudi nyuma katika sehemu ambayo wengin wanaona ni pa kwenda mbele?
 
Unafahamu nguvu za kisheria za urais, mipaka yake na usimamiaji w milinganyo ya Executive, Legislature na Judiciary?

Unafahamu practical challenges za kumshitaki rais katika mfumo wa sharia ambao unapata kuteuliwa na rais?

Umesikiliza hotuba ya Magufuli kwa vyombo vya sharia na maneno aliyosema?

Unafahamu kwamba strategy inaweza kufanya mtu arudi nyuma katika sehemu ambayo wengin wanaona ni pa kwenda mbele?


Hoja hapa ni kwa nini hamumshitaki kama amevunja Sheria?
 
Back
Top Bottom