Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,911
- 146,066
Unafahamu sheria inasemaje kuhusu kumshtaki rais kwa mambo ananyoyafanya kama rais?Hoja hapa ni kwa nini hamumshitaki kama amevunja Sheria?
Unafahamu sheria inasemaje kuhusu kumshtaki rais kwa mambo ananyoyafanya kama rais?Hoja hapa ni kwa nini hamumshitaki kama amevunja Sheria?
Reasoning!? From maths! No that's a joke. Siwaungi mkono hao unaowazungumzia ila nijuavyo wanasheria ndio mabingwa wa reasoning.Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!
Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?
Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Reasoning!? From maths! No that's a joke. Siwaungi mkono hao unaowazungumzia ila nijuavyo wanasheria ndio mangwa wa reasoning.
Soma hukumu na arguments zao. Tazama pia jinsi kila MTU anavyowategemea hawa jamaa kwa kumsaada wa reasoning na hoja. What do you reason when there are numbers and formulas that are not circumstantial?
Kinga ya kutoshtakiwa kwa rais haina maana kuwa yupo juu ya sheria katiba aloapa kuilinda huku ameshika bible tayari inamuweka chini ya sheria kama we ni mtu wa logic na reasoning ungekuwa unaelewa hiyo katiba ni sheria mama.Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!
Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?
Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
Kinga ya kutoshtakiwa kwa rais haina maana kuwa yupo juu ya sheria katiba aloapa kuilinda huku ameshika bible tayari inamuweka chini ya sheria kama we ni mtu wa logic na reasoning ungekuwa unaelewa hiyo katiba ni sheria mama.
Njia pekee ya kumwadhibu rais anapovunja katiba au kutenda jinai ni bunge kupiga kura ya kutokua na imani nae na kama rais mwingine akiingia madarakani akiruhusu katiba huru kinga ya rais inaeza kuondolewa na wataburuzwa mahakamani hawa marais.
Sababu katiba iliopo imemuwekew kinga ya kutoshtakiwa na wabunge wengi wa chama X ni vilaza wachumia mitumbo hawaezi thubutu kupiga kura kutokua na imani na rais sababu serikali itavunjwa na watakosa ugali na hawajui nani ataingia tenaKama yuko chini ya Sheria kwa nini hamumshitaki?
Nasikia tetesi kuwa mnalipwa mki-post chochote JF, lakini Kama Ni kweli basi nadhani mnamuibia bosi wenu, kushinda kwako mitandaoni kila siku hujajua hata kwa bahati mbaya kinga ya rais kutoshtakiwa mahakamani kwa kosa alilofanya akiwa madarakani?, halafu eti unamkosoa Tundu Lissu?, hii Ni aibu kubwa Na umedharirisha wote waliokuamini kwenye kitengo chenu cha uenezi/umbea. Kuanzia leo nitakuita "ZERO BRAIN!", Kama ni ban basi na iwe Tu!, Kha!.Nafikiri kama kuna kitu Wanasheria wanakosa ni logic ya kawaida na hapa naongelea Wanasheria wa chadema wanaongozwa na Tundu lisu hivyo sifahamu kama wanawawakilisha Wanasheria wote TZ!
Ndiyo maana nashauri pia wafundishwe somo la Hisabati ambalo litawasadia kureason zaidi klk kukariri!
Nitatoa mfano wa akina Tundu lisu & Co. unaonyesha kwamba wamekosa logic!
Wanasema Raisi wa JMTZ kavunja Sheria/Katiba ya JMTZ, sasa kama hilo ni kweli ni kwanini hawamshtaki Mahakamani kwa hilo kosa?
Dunia nzima mtu akivunja Sheria/Katiba hushitakiwa sasa kwa nini hawamshitaki Raisi wa JMTZ kwa hilo kosa?
Wanasema hakuna aliye juu ya Sheria JMTZ sasa ni kwa nini wasimshitaki Raisi wetu kama yuko chini ya Sheria kama wanavyodai
inayoitwa Babra Rose..., mna moyo sana ... !Nimemuelewa mtoa post,kama mtu hawezi kushitakiwa utasemaje kavunja sheria?Kuvunja sheria na kuwepo sheria ya kumshtaki ni vitu viwili tofauti. Watu wanapotaka mabadiliko ya katiba hiyo ni moja ya sababu, tatizo ccm haitaki mabadiliko, wananchi wafanye nini?
kama mtu anayesoma hiyo hisabati yako then anakuwa kama wewe, basi hilo somo lifutwe kabisa dunianiSijasoma Hesabu bali nimefanya na ninaendelea kufanya Hisabati!
....ww nawe utakuwa umesoma hisabati, kwani rais kuwa na kinga ndo anaruhusiwa kuvunja sheria?,Nimemuelewa mtoa post,kama mtu hawezi kushitakiwa utasemaje kavunja sheria?
Nasikia tetesi kuwa mnalipwa mki-post chochote JF, lakini Kama Ni kweli basi nadhani mnamuibia bosi wenu, kushinda kwako mitandaoni kila siku hujajua hata kwa bahati mbaya kinga ya rais kutoshtakiwa mahakamani kwa kosa alilofanya akiwa madarakani?, halafu eti unamkosoa Tundu Lissu?, hii Ni aibu kubwa Na umedharirisha wote waliokuamini kwenye kitengo chenu cha uenezi/umbea. Kuanzia leo nitakuita "ZERO BRAIN!", Kama ni ban basi na iwe Tu!, Kha!.
vyovyote, lakini si umeelewa?Mtu hasomi Hisabati bali anafanya Hisabati!
Sababu katiba iliopo imemuwekew kinga ya kutoshtakiwa na wabunge wengi wa chama X ni ****** wachumia mitumbo hawaezi thubutu kupiga kura kutokua na imani na rais sababu serikali itavunjwa na watakosa ugali na hawajui nani ataingia tena