mdomo mpana wa chupa unakusaidia kunywa maji vizuri, yaani maji yakiwa yanatoka na hewa inaingia, hii inafanya chupa isibonyee wakati unakunywa maji. Lakini mdomo wa chupa ukiwa mdogo itakulazimu uwe unakunywa maji kwa kupumzika ili chupa isibonyee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.