Hill water na Afya Water punguzeni midomo(kipenyo) ya chupa zenu za maji.

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Kuna haya maji mapya ya Hill water na haya ya Afya water, chupa za maji yao zina midomo(vipenyo) mikubwa sana. Hiyo midomo ni mipana sana, wengine hatuna hiyo midomo kama simtanki.

Mbona kampuni nyingine za maji zina midomo midogo, Kilimanjaro, Uhai wana midomo midogo pamoja na kwamba kilimanjaro inanyweka sana huko Moshi ambapo watu wana midomo mikubwa kama mabakuli.

Punguzeni kipenyo cha maji yenu.
 
Hiyo midomo ya chupa na watu uliowatukana wanamahusiano gani na hii mada yako? Sijaona kama umetumia busara kuelezea yanayokusibu kwa kufananisha midomo ya watu na hizo chupa zako.
 
Maneno maneno bila picha ni sawa na Kim bila kufyatua makombora.
 
Kuna haya maji mapya ya Hill water na haya ya Afya water, chupa za maji yao zina midomo(vipenyo) mikubwa sana. Hiyo midomo ni mipana sana, wengine hatuna hiyo midomo kama simtanki.

Mbona kampuni nyingine za maji zina midomo midogo, Kilimanjaro, Uhai wana midomo midogo pamoja na kwamba kilimanjaro inanyweka sana huko Moshi ambapo watu wana midomo mikubwa kama mabakuli.

Punguzeni kipenyo cha maji yenu.
ww ni wa wapi hakimu mfawidhi ?
 
Kuna haya maji mapya ya Hill water na haya ya Afya water, chupa za maji yao zina midomo(vipenyo) mikubwa sana. Hiyo midomo ni mipana sana, wengine hatuna hiyo midomo kama simtanki.

Mbona kampuni nyingine za maji zina midomo midogo, Kilimanjaro, Uhai wana midomo midogo pamoja na kwamba kilimanjaro inanyweka sana huko Moshi ambapo watu wana midomo mikubwa kama mabakuli.

Punguzeni kipenyo cha maji yenu.
Una uhakika Afya bottle ina kipenyo kikubwa kuliko Kilimanjaro bottle?!
 
Mkuu, una mdomo kama nukta nini yaani chupa za maji zinakupa shida duuh , mimi naweza kunywa hill water chupa 2 Kwa wakati mmoja bila shida kabisa
 
Kuna haya maji mapya ya Hill water na haya ya Afya water, chupa za maji yao zina midomo(vipenyo) mikubwa sana. Hiyo midomo ni mipana sana, wengine hatuna hiyo midomo kama simtanki.

Mbona kampuni nyingine za maji zina midomo midogo, Kilimanjaro, Uhai wana midomo midogo pamoja na kwamba kilimanjaro inanyweka sana huko Moshi ambapo watu wana midomo mikubwa kama mabakuli.

Punguzeni kipenyo cha maji yenu.
Midomo ya kupigia deki mnayo ila ya kunywea maji mnalalama.
 
Back
Top Bottom