Acha wivu, mtaani mnapigwa vigodoro hadi uck sijui kumtoa mwali na mambo mengine ya kipuuzi hamsemi unakomalia wakurya ambao wanatimiza mila zao, halafu umewafuata mwenyewe maeneo hayo coz ndiko waliko wengi, miaka yote yanafanyika hayo lakini hakuna malalamiko, kama unaona kero hamia kimara au tandika au rudi kwenu ambako hakuna mila, kila mtanzania ana haki ya kufanya sherehe za kimila sehemu yyt kwa kufuata taratibu bila kuathiri watu wengine.Habari zenu wana JF??
Naam kama kawaida Leo mida ya asubukhi nikiwa naelekea mjini nikitokea kivule nimekutana na kundi kubwa la watu kabila la wakurya. Kundi hilo baada ya kufatilia vizur nikagundua kuwa wanatoka katika mila zao za kutaili vijana wa kiume. Kinacho nishangaza hapa ni kuwa kwann walishidwa kwenda kufanyia hizo mila zao katika mikoa yao yenye kuona jambo hilo ni kawaida tu. Manake huku Dsm naona wanaleta usumbufu mkubwa barabarani wanakutisha na mapanga na kukufanyia vioja vingi tu, pia usiku ni usumbufu wakiwa wanampeleka huyo mtu wao kwenda kutailiwa kelele mwanzo mwisho watu atulali kisa tohala.
Hahah! watakuwa wanaweka kwenye ubao wanakata na panga..Habari zenu wana JF??
Naam kama kawaida Leo mida ya asubukhi nikiwa naelekea mjini nikitokea kivule nimekutana na kundi kubwa la watu kabila la wakurya. Kundi hilo baada ya kufatilia vizur nikagundua kuwa wanatoka katika mila zao za kutaili vijana wa kiume. Kinacho nishangaza hapa ni kuwa kwann walishidwa kwenda kufanyia hizo mila zao katika mikoa yao yenye kuona jambo hilo ni kawaida tu.
Manake huku Dsm naona wanaleta usumbufu mkubwa barabarani wanakutisha na mapanga na kukufanyia vioja vingi tu, pia usiku ni usumbufu wakiwa wanampeleka huyo mtu wao kwenda kutailiwa kelele mwanzo mwisho watu atulali kisa tohala.
Mwishoni umesema kuwa bila kuathili wengine sasa mbona wanatuathili ss na makelele yao pamoja na fujo zao???Acha wivu, mtaani mnapigwa vigodoro hadi uck sijui kumtoa mwali na mambo mengine ya kipuuzi hamsemi unakomalia wakurya ambao wanatimiza mila zao, halafu umewafuata mwenyewe maeneo hayo coz ndiko waliko wengi, miaka yote yanafanyika hayo lakini hakuna malalamiko, kama unaona kero hamia kimara au tandika au rudi kwenu ambako hakuna mila, kila mtanzania ana haki ya kufanya sherehe za kimila sehemu yyt kwa kufuata taratibu bila kuathiri watu wengine.
Kuleta athari kwa wengine barabaran ndivyo usumbufu wenyewe huo.Acha wivu, mtaani mnapigwa vigodoro hadi uck sijui kumtoa mwali na mambo mengine ya kipuuzi hamsemi unakomalia wakurya ambao wanatimiza mila zao, halafu umewafuata mwenyewe maeneo hayo coz ndiko waliko wengi, miaka yote yanafanyika hayo lakini hakuna malalamiko, kama unaona kero hamia kimara au tandika au rudi kwenu ambako hakuna mila, kila mtanzania ana haki ya kufanya sherehe za kimila sehemu yyt kwa kufuata taratibu bila kuathiri watu wengine.
Acha ulimbukeni unabashiri jambo we vipiHio itakuwa zuga yao kufanya tohara kwa vijana wa kiume, hizo zitakuwa sherehe zao za kukeketa watoto wa kike.
Hao jamaa hawaelimiki hata wakija mjini wanaagiza vibibi vyao toka Tarime na Kenya kuwafanyia tohara vitoto vidogo visivyojielewa na hasa kipindi hiki cha likizo kwa wanafunzi.
sio primitive!! primitive ni wale wanaokaa na magovi!! Hata biblia inasisitiza wanaume kutahiri!! ndio ustaaarabuHahah! watakuwa wanaweka kwenye ubao wanakata na panga..
Aroo hawa jamaa bado ni primitive
Sizani kama ùko sahihi kimawazo,kanga moko mbona hujawaongeleaHabari zenu wana JF??
Naam kama kawaida Leo mida ya asubukhi nikiwa naelekea mjini nikitokea kivule nimekutana na kundi kubwa la watu kabila la wakurya. Kundi hilo baada ya kufatilia vizur nikagundua kuwa wanatoka katika mila zao za kutaili vijana wa kiume
Kinachonishangaza hapa ni kuwa kwann walishidwa kwenda kufanyia hizo mila zao katika mikoa yao yenye kuona jambo hilo ni kawaida tu.
Manake huku Dsm naona wanaleta usumbufu mkubwa barabarani wanakutisha na mapanga na kukufanyia vioja vingi tu, pia usiku ni usumbufu wakiwa wanampeleka huyo mtu wao kwenda kutailiwa kelele mwanzo mwisho watu hatulali kisa tohara.
Hahah! watakuwa wanaweka kwenye ubao wanakata na panga..
Aroo hawa jamaa bado ni primitive
Habari zenu wana JF??
Naam kama kawaida Leo mida ya asubukhi nikiwa naelekea mjini nikitokea kivule nimekutana na kundi kubwa la watu kabila la wakurya. Kundi hilo baada ya kufatilia vizur nikagundua kuwa wanatoka katika mila zao za kutaili vijana wa kiume
Kinachonishangaza hapa ni kuwa kwann walishidwa kwenda kufanyia hizo mila zao katika mikoa yao yenye kuona jambo hilo ni kawaida tu.
Manake huku Dsm naona wanaleta usumbufu mkubwa barabarani wanakutisha na mapanga na kukufanyia vioja vingi tu, pia usiku ni usumbufu wakiwa wanampeleka huyo mtu wao kwenda kutailiwa kelele mwanzo mwisho watu hatulali kisa tohara.