Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,603
15,404
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TZ, Wakurya wako Kenya na Tz, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwanini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..
 
Wana nchi yao ni Rwanda, af fanya yote usimkaribishe mtusi kwako au nchini, hao watu wana tabia ya kuua (host) mwenyeji wao nakutaka kutawala, ona uganda, Burundi, Rwanda mojarity 80% ni wa hutu ila watusi wanata ku dominant, DRC kuna makabila zaidi ya 200 hao watusi hata 1m hawafiki ila ndo wanataka kutawala, ukiona Mtutsi ni wakuua au kutimua mapema, udixoeane nao hao watu ubaguzi na wauuji wa kubwa hata ukae nae miaka 50 akiona mtusi mwenzio watakugeuka au kukuua.
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TX, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwa nini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..
Hao waliingia DRC miaka ya karibuni ,watusi kwao
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TX, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwa nini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..

Mkuu ni kwa sababu hao kina Nelson Jacob Kagame wanasisitiza special treatment hadi kwenye madaraka huko wawe na quarter.

Zingatia eti wao walizaliwa viongozi.
 
Wana nchi yao ni Rwanda, af fanya yote usimkaribishe mtusi kwako au uchini hao watu wanatabia ya kuua (host) mwenyeji wao nakutaka kutawala, ona uganda, Burundi, Rwanda mojarity 80% wa hutu ila wanata ku dominant, DRC kuna makabila zaidi ya 200 hao watusi hata 1m hawafiki ila ndo wanataka kutawala, ukiona Mtutsi ni wakuua au kutimua mapema.
Nelson Jacob Kagame Kuna wito wako huku, mwongozo wako tafadhali.
 
Mkuu ni kwa sababu hao kina Nelson Jacob Kagame wanasisitiza special treatment hadi kwenye madaraka huko wawe na quarter.

Zingatia eti wao walizaliwa viongozi.
Wewe angalia hapa JF wameweza kurubuni uongozi wa Jf na kufungua forum ya kinyarwanda wanatumia lugha ya kinyarwanda ambao wengi hatuijui hao watu ni wabaguzi hatari wanajionaga special sana kwa wengine.
 
Shida ya wanyarwanda ni wabinafsi, ni watu wa kujitenga na jamii nyingine.

Uliza hata Watanzania waliooa wanyarwanda, watoto wao wengi wanajitambulisha zaidi kwenye unyarwanda kuliko Utanzania.

Hata kuoana wanataka waoane wao kwa wao. Ni jamii ambayo ni ngumu kujichanganya na jamii nyingine kwa amani.

Wanyarwanda ni watu walalamishi lalamishi, wako kama waumini wa dini flani.
 
Wewe angalia hapa JF wameweza kurubuni uongozi wa Jf na kufungua forum ya kinyarwanda wanatumia lugha ya kinyarwanda ambao wengi hatuijui hao watu ni wabaguzi hatari wanajionaga special sana kwa wengine.
Nilikuwa sielewi. Naona jamaa wanaandika vilughalugha kumbe ni waTutsi wale mabingwa.
 
Mii nahisi baadhi ya watutsi wana imani wao ndio wamiliki wa njia kuu za uchumi kwenye haya mataifa ya afrika mashariki, kwa mtazamo wao huo lazima wakumbane na hayo matatizo na hawawezi kukubalika,chuki zitaendelea mwishowe ni vita juu ya vita.
 
Back
Top Bottom