Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

Tena mtuache kila siku wakurya wakurya mkome kabisaaa
Makabila yako mengi msikae kutusema sisi kila siku
Mbona wamakonde hamsemi? wagogo? wamasai? Wale wacheza vigodoro wa dasalamu mnawajua vizuri kwenda ndani ndani huko kwa mkwere, kwenda kisarawe , kwenda chole
Aisee mtuache nyie bharisya nabhasaghane
 
Habari zenu wana JF??
Naam kama kawaida Leo mida ya asubukhi nikiwa naelekea mjini nikitokea kivule nimekutana na kundi kubwa la watu kabila la wakurya. Kundi hilo baada ya kufatilia vizur nikagundua kuwa wanatoka katika mila zao za kutaili vijana wa kiume

Kinachonishangaza hapa ni kuwa kwann walishidwa kwenda kufanyia hizo mila zao katika mikoa yao yenye kuona jambo hilo ni kawaida tu.

Manake huku Dsm naona wanaleta usumbufu mkubwa barabarani wanakutisha na mapanga na kukufanyia vioja vingi tu, pia usiku ni usumbufu wakiwa wanampeleka huyo mtu wao kwenda kutailiwa kelele mwanzo mwisho watu hatulali kisa tohara.
We muriasia kwanza umaitairiwa we utukome we msalam makondeko we tohara yetu inakuhusu nini jiangalie murisia we Kwanza mpaka tukukujue wewe mbona vigodoro husemi
 
Washamba sana hawa jamaa, hawatofautiani na wale wenyeji wa ufipa.


Au kwa kuwa wanatokea jirani na mbuga ya Serengeti??
 
Kama Una chuki na wakurya it is your own problem. Kuna sehemu Tz ambapo watu Fulani wanazuiliwa kuishi maisha Yao?
KWANZA MTOA MADA UJUE MWAKANI TUKIJALIWA SALAMA TUNAKUSUDIA KUFUNGUA KESI YA KIKATIBA KATIKA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUPINGA SERIKALI NA ASASI MBALI MBALI KUINGILIA MILA NA DESTURI ZA KUKEKETA WATOTO WA KIKE.
KATIKA MIAKA YA 90 NILIPINGA WATU WALIOKUWA WAKIBEZA TOHARA KWA WATOTO WA KIUME, MUDA SI MREFU WATAALAMU WA AFYA WAMEBAINISHA KUWA TOHARA KWA WANAUME NI MUHIMU SANA KWA AFYA ZA WANAUME NA WAKE/WAPENZI WAO. JE HILI HALIWEZI KUWA HIVYO PIA KWA KUKEKETWA KWA WATOTO WA KIKE?. TUTAENDA MAHAKAMANI.

Acha ulimbukeni unabashiri jambo we vipi
Alafu miafrika tupo radhi kuabudu mila za wazungu sana sasa utasema wakurya hawaelimiki kisa walikua wanakeketa?
Sio wakurya tu wanaokeketa makabila kibao yanakeketa
Na hao unaoamini wameelimika ngoja nikupe link uone kwamba bora wakurya wa Tanzania
Japan's Annual Penis Festival Is As Phallic As You'd Expect (PHOTOS) | The Huffington Post

Sina ulimbukeni wala chuki na mtu isipokuwa nakerwa na hii mila potofu ya ukeketaji ambayo ni ukatili mkubwa wa watoto wa kike hasa ambao wana umri wa miaka chini ya 18 wanaokamatwa kinguvu na kwenda kufanyiwa tohara

Madhara ya Ukeketaji Watoto wa kike:

Ø Kuzimia kutokana na maumivu makali

Ø Kutokwa na Damu nyingi na pengine kusababisha kifo

Ø Kupata uambukizo (Infection)

Ø Kuambukizwa VVU

Ø Kuambukizwa homa ya manjano (Hepatitis B)

Ø Maumivu makali Kidonda kutopona mapema

Ø Kuoza kwa jeraha

Ø Kupata Tetanus

Ø Maumivu ya Kisaikolojia

Ø Kutofurahia tendo la kujamiana kiufasaha

Ø Maumivu wakati wa kukojoa

Ø Kuziba kwa njia ya mkojo

Ø Kuchanika vibaya wakati wa kujifungua

Ø Kuchelewa kujifungua
Ø Vifo wakati wa kujifungua kutokana na uke wa mzazi kushindwa kutanuka kunakosababishwa na makovu yaliachwa baada ya kukeketwa.

Kwa madhara haya inabidi tupige vita kwa nguvu zote ujima huu hasa kwa mji civilized kama Dar
 
Sina ulimbukeni wala chuki na mtu isipokuwa nakerwa na hii mila potofu ya ukeketaji ambayo ni ukatili mkubwa wa watoto wa kike hasa ambao wana umri wa miaka chini ya 18 wanaokamatwa kinguvu na kwenda kufanyiwa tohara

Madhara ya Ukeketaji Watoto wa kike:

Ø Kuzimia kutokana na maumivu makali

Ø Kutokwa na Damu nyingi na pengine kusababisha kifo

Ø Kupata uambukizo (Infection)

Ø Kuambukizwa VVU

Ø Kuambukizwa homa ya manjano (Hepatitis B)

Ø Maumivu makali Kidonda kutopona mapema

Ø Kuoza kwa jeraha

Ø Kupata Tetanus

Ø Maumivu ya Kisaikolojia

Ø Kutofurahia tendo la kujamiana kiufasaha

Ø Maumivu wakati wa kukojoa

Ø Kuziba kwa njia ya mkojo

Ø Kuchanika vibaya wakati wa kujifungua

Ø Kuchelewa kujifungua
Ø Vifo wakati wa kujifungua kutokana na uke wa mzazi kushindwa kutanuka kunakosababishwa na makovu yaliachwa baada ya kukeketwa.

Kwa madhara haya inabidi tupige vita kwa nguvu zote ujima huu hasa kwa mji civilized kama Dar

Ndugu yangu naona umekaririshwa na wazungu juu ya madhara ya kutahiri, lakini "the opposite is true one". Hujawahi kushiriki tendo hilo unawezaje kulishudia ubaya wake kama siyo kukaririshwa. Natamani kujua mila yako ili nikufahamu vizuri ulivyo 'staarabika!'. Wachaga wameishi Kilimanjaro miaka yote lakini tunakaririshwa kuwa mlima umegunduliwa na mzungu....................!
 
Sina ulimbukeni wala chuki na mtu isipokuwa nakerwa na hii mila potofu ya ukeketaji ambayo ni ukatili mkubwa wa watoto wa kike hasa ambao wana umri wa miaka chini ya 18 wanaokamatwa kinguvu na kwenda kufanyiwa tohara

Madhara ya Ukeketaji Watoto wa kike:

Ø Kuzimia kutokana na maumivu makali

Ø Kutokwa na Damu nyingi na pengine kusababisha kifo

Ø Kupata uambukizo (Infection)

Ø Kuambukizwa VVU

Ø Kuambukizwa homa ya manjano (Hepatitis B)

Ø Maumivu makali Kidonda kutopona mapema

Ø Kuoza kwa jeraha

Ø Kupata Tetanus

Ø Maumivu ya Kisaikolojia

Ø Kutofurahia tendo la kujamiana kiufasaha

Ø Maumivu wakati wa kukojoa

Ø Kuziba kwa njia ya mkojo

Ø Kuchanika vibaya wakati wa kujifungua

Ø Kuchelewa kujifungua
Ø Vifo wakati wa kujifungua kutokana na uke wa mzazi kushindwa kutanuka kunakosababishwa na makovu yaliachwa baada ya kukeketwa.

Kwa madhara haya inabidi tupige vita kwa nguvu zote ujima huu hasa kwa mji civilized kama Dar
Umemezeshwa na kuaminishwa kua ni hatari huna unalojua zaidi kusikia stori
 
Ndugu yangu naona umekaririshwa na wazungu juu ya madhara ya kutahiri, lakini "the opposite is true one". Hujawahi kushiriki tendo hilo unawezaje kulishudia ubaya wake kama siyo kukaririshwa. Natamani kujua mila yako ili nikufahamu vizuri ulivyo 'staarabika!'. Wachaga wameishi Kilimanjaro miaka yote lakini tunakaririshwa kuwa mlima umegunduliwa na mzungu....................!
Umemezeshwa na kuaminishwa kua ni hatari huna unalojua zaidi kusikia stori
Nimeishi mkoa wa Mara kwa miaka minne sijamezeshwa na wazungu nafaham kila kitu(hasa makabila yanayokeketa wataturu,waluo na wakurya,waikizu wameanza kuacha hiyo tabia.Waikoma,wajita,wasizaki na wazanaki sina hakika nao kama wanakeketa) na hizo data zina ukweli,kimsingi nyie msiotaka kubadilika ndio mmekaririshwa na wazee wenu wa karne nyingi zilizopita kwamba mwanamke akikeketwa umalaya unapungua.
 
mkuu na imekuwaje wakakusanyika kiasi hicho yani ikafikia wameunda kitongoji na wakaanza kusambaza mila zao, wasilete ukabila kabisa, au wanataka kusambaza mila zao hapa, hivi kama kila Manila likifanya hivyo itakuwaje,, wachaga wote wa dsm wangekusanyika kula.krismas hapa ingekuwaje nanyie fanyeni hivyoo

*wakurya sasa hizo sifaa*
sio kila manila bali ni kila kabila
 
Nimeishi mkoa wa Mara kwa miaka minne sijamezeshwa na wazungu nafaham kila kitu(hasa makabila yanayokeketa wataturu,waluo na wakurya,waikizu wameanza kuacha hiyo tabia.Waikoma,wajita,wasizaki na wazanaki sina hakika nao kama wanakeketa) na hizo data zina ukweli,kimsingi nyie msiotaka kubadilika ndio mmekaririshwa na wazee wenu wa karne nyingi zilizopita kwamba mwanamke akikeketwa umalaya unapungua.
Hamia unakotaka ila usitupangie
Kaungane na wenzio wanaotaka kuonekana wao ndo wana hati miliki ya nchi hii
 
Hio itakuwa zuga yao kufanya tohara kwa vijana wa kiume, hizo zitakuwa sherehe zao za kukeketa watoto wa kike.
Hao jamaa hawaelimiki hata wakija mjini wanaagiza vibibi vyao toka Tarime na Kenya kuwafanyia tohara vitoto vidogo visivyojielewa na hasa kipindi hiki cha likizo kwa wanafunzi.
Wewe ni mtumwa
 
Acha watu wadumishe mila zao popote walipo, bas hat wamasai unawez kuwazuia wasivae mavazi yao kwan hawako dar
 
Acha ulimbukeni unabashiri jambo we vipi
Alafu miafrika tupo radhi kuabudu mila za wazungu sana sasa utasema wakurya hawaelimiki kisa walikua wanakeketa?
Sio wakurya tu wanaokeketa makabila kibao yanakeketa
Na hao unaoamini wameelimika ngoja nikupe link uone kwamba bora wakurya wa Tanzania
Japan's Annual Penis Festival Is As Phallic As You'd Expect (PHOTOS) | The Huffington Post
Nimefurah kusoma Ujumbe wako, tatizo la waafrika na wengi wengi watanzania tukifika dar tunakuwa watumwa, ukweli suala la kukeketa hat ulaya lipo. Acha watu wafanye yao, we chukulia Kama utalii
 
wanaume wa dar waoga wa mapanga..
Nimeishi Serengeti, Tarime na Musoma hawa jamaa ni wakarimu sana unless umtibue na usimuombe msamaha..
 
Do yours....waache wafanye yao.......acha unoko...
 
Wewe ni mtumwa
Acheni mila za kizamani Dunia inabadilika na fikra za binadamu zinabadilika yale mambo na imani za kishamba hasa kuzionyesha kwenye mji civilized kama Dar hayana nafasi.Of ourse nendeni mkafanyie huko vijijini ambapo ni sehemu salama kwa kuficha aibu hii kwa taifa badala ya kufanyia mjini kiasi sasa mnaipaka matope Dar eti kuna wakeketaji.
 
Back
Top Bottom