mtoto mdogo sana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 460
- 1,337
Habarini ndugu zangu.
Aidha nitoe angalizo kuwa nia yangu sio kukosoa tamaduni za kabila hili. Ila topic ya ndoa ya aina hii kidogo inanipa tabu kidogo kuelewa.
Nimeona jambo hili linafanyika sana kwa jamii karibu zote za kikurya na category zake (Maana hawa wenzetu kidogo wamejigawanya katika sub-categories za kikabila. Kwa mfano kwa wenyeji wa wilaya ya Serengeti Kuna Waisenye, Wanatta, Wangurimi, wakurya wenyewe, wairamba n.k. japokuwa mimi binafsi naona wote ni wakurya tu. Mniwie radhi kwa kuwa sijakusudia insult.
Sasa kwa category zote hizo kuna aina hii ya ndoa ambayo mwanamke anaweza kuamua kwenda kutafuta binti, akamtolea posa, akamleta kwaake kisha akawa anampa huduma zote za kimaslahi kisha here and there, mwanamke anapata mimba anazaa watoto.
Sasa watoto hao yule mwanamke ambaye sasa ndio tuseme 'mume' ndio ana jukumu la kuwatunza na kuwapa huduma wale watoto n.k
sasa jambo nisiloelewa ndugu zangu. Si wale watoto wwanakuwa na baba zao kabisa Biological? huwa haileyi shida huko mbele ya baba ku claim damu yake? au pengine, si inaweza kuleta changamoto ya heshima kwa muoaji kwa kuwa 'mume' kazi yake ni kuhudumia, kisha wataalamu usiku wanakuja kuvizia kitonga cha ut3lezi?
Au ndugu zangu huwa kuna utaratibu wa 'mume' kumchagulia mke wanaume gani azae nao?
Nimetazama hii namna hasa kwenye jamii zinazoishi kaskazini mashariki mwa serengeti hasa hasa maeneo yaa kuzunguka mto Mara sijaelewa.
naombeni wazawa wa huku mnipe ufafanuuzi.
Maana pia huwa nakutana na watu wana middle name za majina ya kike kama Matinde, Bhoke, Ghati nk, japokuwa mengine nimeambiwa yanatumika kote.
ila naombeni kidogo muongozo.
Aidha nitoe angalizo kuwa nia yangu sio kukosoa tamaduni za kabila hili. Ila topic ya ndoa ya aina hii kidogo inanipa tabu kidogo kuelewa.
Nimeona jambo hili linafanyika sana kwa jamii karibu zote za kikurya na category zake (Maana hawa wenzetu kidogo wamejigawanya katika sub-categories za kikabila. Kwa mfano kwa wenyeji wa wilaya ya Serengeti Kuna Waisenye, Wanatta, Wangurimi, wakurya wenyewe, wairamba n.k. japokuwa mimi binafsi naona wote ni wakurya tu. Mniwie radhi kwa kuwa sijakusudia insult.
Sasa kwa category zote hizo kuna aina hii ya ndoa ambayo mwanamke anaweza kuamua kwenda kutafuta binti, akamtolea posa, akamleta kwaake kisha akawa anampa huduma zote za kimaslahi kisha here and there, mwanamke anapata mimba anazaa watoto.
Sasa watoto hao yule mwanamke ambaye sasa ndio tuseme 'mume' ndio ana jukumu la kuwatunza na kuwapa huduma wale watoto n.k
sasa jambo nisiloelewa ndugu zangu. Si wale watoto wwanakuwa na baba zao kabisa Biological? huwa haileyi shida huko mbele ya baba ku claim damu yake? au pengine, si inaweza kuleta changamoto ya heshima kwa muoaji kwa kuwa 'mume' kazi yake ni kuhudumia, kisha wataalamu usiku wanakuja kuvizia kitonga cha ut3lezi?
Au ndugu zangu huwa kuna utaratibu wa 'mume' kumchagulia mke wanaume gani azae nao?
Nimetazama hii namna hasa kwenye jamii zinazoishi kaskazini mashariki mwa serengeti hasa hasa maeneo yaa kuzunguka mto Mara sijaelewa.
naombeni wazawa wa huku mnipe ufafanuuzi.
Maana pia huwa nakutana na watu wana middle name za majina ya kike kama Matinde, Bhoke, Ghati nk, japokuwa mengine nimeambiwa yanatumika kote.
ila naombeni kidogo muongozo.