Masharti ya ulaji......usile moja tu.......usimeze punje...tamu ni zile unazolia juu ya mzambarau
Napenda JUICE yake
Zambarau! dah.....nadhani kisutu sokoni zitkauwepo! nilikuwa nanunua hapo kipindi fulani...............
Govindar Kumar na matunda wapi na wapi?
Mbon safo Palooooo
Namlindia bikra yake bana.... kabanaje??weee unadhani bila matunda hii ngozi ingeng'aa hivi!!!!
mbony shafooo asproooooo bibi kakuachia?
Namlindia bikra yake bana.... kabanaje??
Hahahahaha... mmegoma kujifungua ngoja niwaangalie hawa machalii. Misuba imeshika kasi LOL
Location : Psychiatric Ward
Singida tumeyala sana haya.yanapatikana sana hasa pale uwanja wa maji uteminiWanyiramba wa singida wanayaita (MAGONA KUUNZI) Ikimaanisha kwa kiswahili MALALA NJE