Gawio kubwa linakujaje?si lazima ununue Hisa?kwann serikali isinunue hisa kwenye hayo mabenki mengine pia?maana benki nyingine pia zina bei nzuri kuliko hata NMB na pia zina perform vizuri..naona umejibu bila kufikiriaUlalamishi umezidi sana,mbona rais ameweka data. Hakuna benki inayipa serikali gawio kubwa kama nmb,kodi walipa kubwa,ajira ya watanzania wengi,benki inayohudumia watz wengi na inapatikana sehemu nyingi kama rtd.
Acha wafaidi bana,na hizi benki nyingine zikaze kwenye uwekezaji sio zinabaki mjini tu.
Huna hoja unasema umevurugwa. Lizaboni wewe ni mropokaji. Benki ambayo serikali inahisa 80%ni benki ya posta. Leo wanaipigia debe NMB ambayo una 30%.Umevurugwa wewe. Wivu unakusumbua
Nahisi weye msukumaMkuu una hoja,nje ya mada- Naantombe Mushi kwa id yako,ke au me? nauliza tu!!
Huku Mwanza Faru John ni jina ambalo wanywaji wa konyagi wameipachika, konyagi kubwa iliyozinduliwa mwaka huu yenye kifuniko cha plastickFaru John
acha uongo wewe CRDB haijawahi kuikopesha serikaliCha ajabu CRDB ndo inaongoza kuikopesha serikali..
Tanzania ina viongozi vilaza sana..
povu.Ningeomba presidential decree ipite mara moja kwenye hili tangazo la kibiashara linalotia hasira na kueneza chuki kwa banking industry nzima.
Mara ya kwanza kutolewa hii kauli, tuliijadili hapa jukwaani na ikaonekana kwamba alichofanya Mh. hakikuwa kitu chenye afya hata kidogo kwa misingi ya kwamba;
1) Bank zote nchini ni za kibinafsi, ikiwa na maana umiliki mkubwa ni wa watu binafsi. Japokuwa kwa bank zilizoenda public, serikali haikuzuiwa kununua share.
2) Bank zote zinahudumia watanzania na zinalipa kodi.
3) Hoja ya kwamba serikali ikipata dividend basi ni faida kwa watanzania ni hoja dhaifu mno mno mno.
Sijui mtizamo wa Rais ulikuwa ni upi lakini ki tafsiri ya haraka ni as if anaona ni raha Tanzania tuwe na NMB peke yake.
So, literally unaweza kusema ni kampeni dhidi kuziangusha benki nyingine. Kwa faida gani tutapata nchi ikiwa na NMB peke yake?
Sijajua pia sheria zanasemaje, kuchukua hotuba ya Rais na kuifanya tangazo. Tangazo lenye dhima ya kuua ushindani wa kibenki.
Halafu sio afya kabisa, sijajua pia italeta taswira gani kwa wafanyakazi wa serikali wanaoomba facilities kwenye benki nyingine.. Naona kama tunatengeneza mazingira magumu pia kwa wafanyakazi wa serikalini.
Sitegemei kulisikia tena hili tangazo redioni. Ni kama vile mtu anakushawishi umchukie Rais.
Fungieni hilo tangazo kwa afya ya ustawi wa banking industry.
Kwani miradi kama ya mtibwa sugar,Kilombero na mingine wametoa wapi mikopo? Embu fuatilia kabla hujakanusha kitu.naona watu mnachanganya siasa na biashara...kuuwa ushindani wa biashara kati ya mabenki its not healthy at all.acha uongo wewe CRDB haijawahi kuikopesha serikali
Ujenzi wa Airport mpya Mkopo umetoka CRDB. Tanesco, National Housing, Halmashauri kibao ...Au serikali kwako ni nini?acha uongo wewe CRDB haijawahi kuikopesha serikali
Ningeomba presidential decree ipite mara moja kwenye hili tangazo la kibiashara linalotia hasira na kueneza chuki kwa banking industry nzima.
Mara ya kwanza kutolewa hii kauli, tuliijadili hapa jukwaani na ikaonekana kwamba alichofanya Mh. hakikuwa kitu chenye afya hata kidogo kwa misingi ya kwamba;
1) Bank zote nchini ni za kibinafsi, ikiwa na maana umiliki mkubwa ni wa watu binafsi. Japokuwa kwa bank zilizoenda public, serikali haikuzuiwa kununua share.
2) Bank zote zinahudumia watanzania na zinalipa kodi.
3) Hoja ya kwamba serikali ikipata dividend basi ni faida kwa watanzania ni hoja dhaifu mno mno mno.
Sijui mtizamo wa Rais ulikuwa ni upi lakini ki tafsiri ya haraka ni as if anaona ni raha Tanzania tuwe na NMB peke yake.
So, literally unaweza kusema ni kampeni dhidi kuziangusha benki nyingine. Kwa faida gani tutapata nchi ikiwa na NMB peke yake?
Sijajua pia sheria zanasemaje, kuchukua hotuba ya Rais na kuifanya tangazo. Tangazo lenye dhima ya kuua ushindani wa kibenki.
Halafu sio afya kabisa, sijajua pia italeta taswira gani kwa wafanyakazi wa serikali wanaoomba facilities kwenye benki nyingine.. Naona kama tunatengeneza mazingira magumu pia kwa wafanyakazi wa serikalini.
Sitegemei kulisikia tena hili tangazo redioni. Ni kama vile mtu anakushawishi umchukie Rais.
Fungieni hilo tangazo kwa afya ya ustawi wa banking industry.
HahahahaNingeomba presidential decree ipite mara moja kwenye hili tangazo la kibiashara linalotia hasira na kueneza chuki kwa banking industry nzima.
Mara ya kwanza kutolewa hii kauli, tuliijadili hapa jukwaani na ikaonekana kwamba alichofanya Mh. hakikuwa kitu chenye afya hata kidogo kwa misingi ya kwamba;
1) Bank zote nchini ni za kibinafsi, ikiwa na maana umiliki mkubwa ni wa watu binafsi. Japokuwa kwa bank zilizoenda public, serikali haikuzuiwa kununua share.
2) Bank zote zinahudumia watanzania na zinalipa kodi.
3) Hoja ya kwamba serikali ikipata dividend basi ni faida kwa watanzania ni hoja dhaifu mno mno mno.
Sijui mtizamo wa Rais ulikuwa ni upi lakini ki tafsiri ya haraka ni as if anaona ni raha Tanzania tuwe na NMB peke yake.
So, literally unaweza kusema ni kampeni dhidi kuziangusha benki nyingine. Kwa faida gani tutapata nchi ikiwa na NMB peke yake?
Sijajua pia sheria zanasemaje, kuchukua hotuba ya Rais na kuifanya tangazo. Tangazo lenye dhima ya kuua ushindani wa kibenki.
Halafu sio afya kabisa, sijajua pia italeta taswira gani kwa wafanyakazi wa serikali wanaoomba facilities kwenye benki nyingine.. Naona kama tunatengeneza mazingira magumu pia kwa wafanyakazi wa serikalini.
Sitegemei kulisikia tena hili tangazo redioni. Ni kama vile mtu anakushawishi umchukie Rais.
Fungieni hilo tangazo kwa afya ya ustawi wa banking industry.
Ningeomba presidential decree ipite mara moja kwenye hili tangazo la kibiashara linalotia hasira na kueneza chuki kwa banking industry nzima.
Mara ya kwanza kutolewa hii kauli, tuliijadili hapa jukwaani na ikaonekana kwamba alichofanya Mh. hakikuwa kitu chenye afya hata kidogo kwa misingi ya kwamba;
1) Bank zote nchini ni za kibinafsi, ikiwa na maana umiliki mkubwa ni wa watu binafsi. Japokuwa kwa bank zilizoenda public, serikali haikuzuiwa kununua share.
2) Bank zote zinahudumia watanzania na zinalipa kodi.
3) Hoja ya kwamba serikali ikipata dividend basi ni faida kwa watanzania ni hoja dhaifu mno mno mno.
Sijui mtizamo wa Rais ulikuwa ni upi lakini ki tafsiri ya haraka ni as if anaona ni raha Tanzania tuwe na NMB peke yake.
So, literally unaweza kusema ni kampeni dhidi kuziangusha benki nyingine. Kwa faida gani tutapata nchi ikiwa na NMB peke yake?
Sijajua pia sheria zanasemaje, kuchukua hotuba ya Rais na kuifanya tangazo. Tangazo lenye dhima ya kuua ushindani wa kibenki.
Halafu sio afya kabisa, sijajua pia italeta taswira gani kwa wafanyakazi wa serikali wanaoomba facilities kwenye benki nyingine.. Naona kama tunatengeneza mazingira magumu pia kwa wafanyakazi wa serikalini.
Sitegemei kulisikia tena hili tangazo redioni. Ni kama vile mtu anakushawishi umchukie Rais.
Fungieni hilo tangazo kwa afya ya ustawi wa banking industry.
tangazo na kumchukia Rais wapi na wapi kilaza mkubwa wa kufikiri weweNingeomba presidential decree ipite mara moja kwenye hili tangazo la kibiashara linalotia hasira na kueneza chuki kwa banking industry nzima.
Mara ya kwanza kutolewa hii kauli, tuliijadili hapa jukwaani na ikaonekana kwamba alichofanya Mh. hakikuwa kitu chenye afya hata kidogo kwa misingi ya kwamba;
1) Bank zote nchini ni za kibinafsi, ikiwa na maana umiliki mkubwa ni wa watu binafsi. Japokuwa kwa bank zilizoenda public, serikali haikuzuiwa kununua share.
2) Bank zote zinahudumia watanzania na zinalipa kodi.
3) Hoja ya kwamba serikali ikipata dividend basi ni faida kwa watanzania ni hoja dhaifu mno mno mno.
Sijui mtizamo wa Rais ulikuwa ni upi lakini ki tafsiri ya haraka ni as if anaona ni raha Tanzania tuwe na NMB peke yake.
So, literally unaweza kusema ni kampeni dhidi kuziangusha benki nyingine. Kwa faida gani tutapata nchi ikiwa na NMB peke yake?
Sijajua pia sheria zanasemaje, kuchukua hotuba ya Rais na kuifanya tangazo. Tangazo lenye dhima ya kuua ushindani wa kibenki.
Halafu sio afya kabisa, sijajua pia italeta taswira gani kwa wafanyakazi wa serikali wanaoomba facilities kwenye benki nyingine.. Naona kama tunatengeneza mazingira magumu pia kwa wafanyakazi wa serikalini.
Sitegemei kulisikia tena hili tangazo redioni. Ni kama vile mtu anakushawishi umchukie Rais.
Fungieni hilo tangazo kwa afya ya ustawi wa banking industry.