mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,869
watanzania labda wa mitandaoni, huko mitaani ni zilipendwa tu hiyo seduce wala hatuisikiiUmejitahidi kuonyesha uwezo wako unapofikia, mie napenda muziki mzuri napenda nyimbo nzuri alizoimba mond na alikiba. Lakin kwa alichokifanya mond ni cha kuanzisha bifu la kijinga ili alikiba akitoa nyimbo ibume. Kadhihirisha ana roho mbaya na Mungu huwapinga wenye kiburi na kujikweza kweli kaabika vibaya na wale mashabiki ambao yanashabikia hata ujinga sawa tu. Mziki wa kiba Ni level nyingine kabisa umchukie umkubali watanzania wamesema yes.
Sent using Jamii Forums mobile app