Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Umejitahidi kuonyesha uwezo wako unapofikia, mie napenda muziki mzuri napenda nyimbo nzuri alizoimba mond na alikiba. Lakin kwa alichokifanya mond ni cha kuanzisha bifu la kijinga ili alikiba akitoa nyimbo ibume. Kadhihirisha ana roho mbaya na Mungu huwapinga wenye kiburi na kujikweza kweli kaabika vibaya na wale mashabiki ambao yanashabikia hata ujinga sawa tu. Mziki wa kiba Ni level nyingine kabisa umchukie umkubali watanzania wamesema yes.

Sent using Jamii Forums mobile app
watanzania labda wa mitandaoni, huko mitaani ni zilipendwa tu hiyo seduce wala hatuisikii
 
all i can is, he has been here and done that so many times toka apate mafanikio, lakini mwisho wa siku diamond anabaki kuwa diamond.
 
Ww acha ujinga sasa mbona kiba kawa kimya zaid ya mwaka mzima hajatoa wimbo wowote unaanzaje kusema anashindana na mond , afu hata kiba sio wa bei Poa acha umbea.

Mwambie tu diamond kinacho mcost sasa hiv ni dharau zake ( rejea kauli zake za kuhusu tunzo za EATV ) na hizo redio sasa hiv zinasambaa sana mikoan East Africa redio wanasikilizwa mikoa mingi sasa, hivyo hivyo Efm na zingine kama ana wadharau hao lazima coverage ya nyimbo zake iwe kidogo

Japo nimependa ushauri wako 1 awe balanced kwenye media

Kiba anafanya mzik wake na huyo mond Ndiyo anaonesha ni mwenye roho mbaya na uswahili mwingi ( jiulize kwanin alitaka kumharibia kiba kwa kutoa ngoma siku moja na kiba kama ilikuwa ni kupima nani atafanya vizur majibu yamepatikana)

Ishu nyingine ukubal ukatae kuingia bifu na watoto wa kike lazima upoteee tu hao Ndiyo Mara nyingi wanasikiliza sana nyimbo zao hao wasaani na hata kwenye show Ndiyo wadau wazuri ( wanaume huwaga hatuna sana time kufuatilia nyimbo kutokana na majukumu ya kimaisha muda mwingi tupo bize ) sasa bwana mdogo tabia zake za kuwadharau hao wadada Ndiyo shida inaanzia hapo ( hao nasikia wana team zao ambazo zina nguvu sana na kwa umoja wao ni rahis kujenga ushawishi au kuharibu )

Namkubal diamond kama real fighter wa kusaka maisha lakin ukifanikiwa sio uwe jeuri na kuanza kudharau au kejeli kwa wale unaohis umewazidi na ishu ya mwisho inabid amkanyee mkewe apunguzee drama za kipuuz na majibu ya ovyo nazan wengi wanaweza kuwa wanamchukia kisa yule demu kwa kuonesha ana nyodo

Ishu ya muhimu arudi njia alizopita kujenga ushawishi mwanzon ( ishu ya bei ni haki yake kuweka bei kubwa ana team kubwa sasa akiweka bei kidogo atawezaje kuwalipa watu)


Kiufupi hawa wote ni vijana wa kitanzania mafanikio yao ni faida kwetu ila sio ubaya kuona kiba anaendelea kufanya vizur na kusema anamtegemea diamond hiyo ni kumvunjia heshima kiba ameanza kutoa hit song tokea enzi za 2005 had Leo ( rejea, cindelela, my everything n.k) kila mtu ana style yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hakuna public sympathy mkuu, ubora wa kazi unaongea.Tatizo la Diamond anaamini yupo juu na anatakiwa kubakia hapo kwa namna yoyote ile.Anatumia nguvu kubwa kupigana vita na kazi za wasanii wengine ili ionekane kazi nzuri zinazalishwa na record label yake.At first tulidhani anafanya hivi kwa Kiba tu but tuliona nguvu kubwa aliyotumia kujaribu kuizima Muziki ya Darasa but akashindwa.Uhusika wake katika sakata la kupotea kwa ROMA kwa kutoa ngoma ya kutatanisha nayo ilimgharimu pasipo yeye kuliona au pengine ni uchaguzi alioamua kuufanya, upuuzi wa FRESH ndio ikawa kama kuongezea chumvi katika kidonda kibichi.Hii vita anayo ichochea now imemtokea kwani karelease ngoma kwa dhamira ya kuzima ngoma ya mwenzie na sasa ime backfire vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukwel kiufup management ya bwana mdogo wamekuwa hawana mbinu za kisasa za kufanya msaani wao aendelee kuvuma kwa muda mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dai naona amehama katika njia aliyotokea, DAI hakua mtu wa kauli za kujikweza, hakua mtu wa kujibu hata pale magazeti yalimuandika vibaya. Sa sijui kimempata nini masikini ya Mungu. Yani ile sifa ya uwanaume inamponyoka dah, nilikua namuelewa sana pale alipokua anakaushia matusi, lkn leo yeye ndiye mtoa vijembe!
Nazan wameharibiwa na yule mganda wake nyodo na viburi mim binafsi nilikuwa nashangaa hata sallam ameanza hiz tabia za kijinga kupenda madongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma ya Kiba ilipotoka mwanzo wakiidhihaki kwa kuwa bongo ishakuwa nomo kuiga pigo za kinaijeria now days, nlichogundua ni kwamba Kiba hapelekeshwi na soko la muziki bt yeye analipeleka soko anapotaka, na ndo maana mara nyingi huja na ngoma zenye mtindo tofauti na zile ambazo zinakuwa kwenye soko kwa kipind husika na hii ndo sababu pengine hadi leo hatujawah sikia mtu kulalamika kuibiwa wimbo au idea na Kiba, back to diamond n msanii mzur kama utamlinganisha na wasanii wengne tofauti na Kiba,barnaba,Belle 9, katika uimbaji haswa kwa upande wangu coz alichowazid hao jamaa ni pesa tu na siyo uwezo wa kuimba
 
Mkuu hata mie nimeshangaa Mond hakuwa mtu wa kufanya vitu anavyofanya sasa,ila mie binafsi nichogundua ni kuwa hizi nyimbo nne za Mond alizotoa mwanzo hazijafanya vizuri kwa kukosa muamko uliyozoeleka.

Ni wazi hii ndiyo sababu iliwachanganya Wcb wote na kuanza kufanya mambo ya ajabu.
Nahis kuna haja ya kuwa na maproducer pale zaid ya mmoja ili kuongeza radha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo acha kupiga kelele unajua mahusiano ya DIAMOND na CLOUDSMEDIA GROUP AU KELELE TU....Ni hivi wasafi.com ni affiliated company under clouds media hilo liko wazi wala sihitaji tumia nguvu CHIBU PERFUME ni brand ya kusaga...sasa huoni clouds wana mengi ya kugain akiwa juu...ishu ya diamond kutoshiriki ni kwakua yeye anakua sponsored na voda thast all
Waambie wewe naona wa naongea tu afu kwa kuwasadia ni kuwa clouds ndiyo wamekuwa wanapiga vita kiba asirud hewan ( rejea ile tour yake na abdu kiba wakati anarud kwenye game la mziki walimpotezea sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na kiba,diamond anayumba maneno yote hayo uliyoandika yangekuwa ya kumshauri cha kufanya ingekuwa big up sana

Acheni kuwatupia lawama clouds coz wafanyacho sio crime inawezekana diamond akatumia mwanya huo ku move further kama release ya ZILIPENDWA ilivyo promote SEDUCE ME(mange na nyimbo ya zilipendwa wameisukuma seduce me vya kutosha)

Hamtakiwi kulia lia dhidi ya mtu anayetoa nyimbo moja mwaka hadi mwaka wakati mondi na wasafi yake wana release mzigo wa nyimbo ndani ya mwaka sasa stress za mange na clouds inatokea wapi wazee
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story Ilianzia kwenye Fresh pale Cinderela alipotajwa
Ally akaja na Twitter Akajibu na Malikia wa nguvu akatajwa
Naseeb akarud na Verse ya Pili Omari nae akahusishwa
Omari akaona sio Case na Mama Chibu akapostiwa
Ally Akamaliza na Seduce Me Kick ikaanza
Wasafi wakaja na Zilipendwa Bifu likaongezewa
Mwisho wa siku Kiba ana 2M Viewers na Zilipendwa ina 1.3m Viewers
Chibu Ulicheza mchezo wa Ally Bila kutegemea na mwisho wa Siku Ally ameshinda
Next Time Play your Cards well Bro.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom