Hili ni funzo jamani

Hili ni funzo jamani

siku zote kupata usichotaka ni rahisi mapenzi hayana mwenyewe
 
Mie ilishanitokea pia wakati niko kigori haswaaa. ... sikumkataa jamaa kwasababu hakuwa na mbele wala nyuma laah bali nilimkataa kwa sababu ya inheritance disease kwenye uko wao. Thank God alikuwa mawazo sana maana aliniambia kila kitu yeye mwenyewe.... jamaa alinizimikia sana pamoja na mengine mengi nyingine ya sababu ya kumwaga ni kuwa na mahusiano ya urafiki wa wadada wengi wazi wazi akijitetea just friends hamna kitu na mie ndo namba one wake........ Wivu ulinishinda nikaona siwezi mitaala mapema hii. Pia alikuwa mtu wa kabila ambao kwao wanavalue sana kuoana wao kwa wao. Mie akaniambia wewe hakuna atayekugusa wewe ni mimi na mimi ni wewe. Ila akaniwarn kuwa mama yake mzazi anaweza asipende pamoja na dada yake..... nikaona cha kuanza stress kabla ya mahusiano nini..... nikamwambia I just want to be among your friends tuu nothing else.

Maskini jamaa hakuamini. .... hadi mwaka juzi alikuwa hajaoa sijui kwa miaka 2 hii sijasikia habari zake.

A friend in deed and a friend in need with no string attached!!

Kasie.


vp chupi alikuvua?
 
Mie ilishanitokea pia wakati niko kigori haswaaa. ... sikumkataa jamaa kwasababu hakuwa na mbele wala nyuma laah bali nilimkataa kwa sababu ya inheritance disease kwenye uko wao. Thank God alikuwa mawazo sana maana aliniambia kila kitu yeye mwenyewe.... jamaa alinizimikia sana pamoja na mengine mengi nyingine ya sababu ya kumwaga ni kuwa na mahusiano ya urafiki wa wadada wengi wazi wazi akijitetea just friends hamna kitu na mie ndo namba one wake........ Wivu ulinishinda nikaona siwezi mitaala mapema hii. Pia alikuwa mtu wa kabila ambao kwao wanavalue sana kuoana wao kwa wao. Mie akaniambia wewe hakuna atayekugusa wewe ni mimi na mimi ni wewe. Ila akaniwarn kuwa mama yake mzazi anaweza asipende pamoja na dada yake..... nikaona cha kuanza stress kabla ya mahusiano nini..... nikamwambia I just want to be among your friends tuu nothing else.

Maskini jamaa hakuamini. .... hadi mwaka juzi alikuwa hajaoa sijui kwa miaka 2 hii sijasikia habari zake.

A friend in deed and a friend in need with no string attached!!

Kasie.


na najua ushazeeka hutamaniki
 
Very true achen aliepiga goti na kuomba mungu kamsikia kilio chake
hawa dada zetu wa zile nyumba zenye ukoka mwing na lami kwa.mbele wana maringo sana
Hahahaha etii ukoka mwingi kwa mbelee...wanajionaga malaika eeh
Very true achen aliepiga goti na kuomba mungu kamsikia kilio chake
hawa dada zetu wa zile nyumba zenye ukoka mwing na lami kwa.mbele wana maringo sana
hahahaha eti wenye ukoka mwingi na lami kwa mbele haha ..wanajionaga malaika nin
 
Maisha ni mchezo see saw ukibebwa bebeka, kitu hujulikana thamani yake kinapotoweka.
 
Back
Top Bottom