Hili nalo neno...!

Hili nalo neno...!

"hizo pesa sio za watanzania, hizo pesa ni za tanzania"
"sasa kila mtanzania atakula kwa jasho lake"
 
Kweli tuna viongonzi mambumbumbuu!hatuna viongozi kabisa,wantia kichefuchefu
 
Woi iruva mbee najuta kusoma hii thread kwa sababu siamini mimi kama mtanzania nimeambiwa maneno yote haya,hivi ni nini?duuh,hivi viongozi we2 ni wehu?
 
Hata mkigoma...Bei ya Umeme Haipungui hata senti tano''
 
CCM kushinda lazima, Wafanyakazi mkiandamana tuu rungu zitawahusu na MOI Ma doctor watakuwa bize na mkitoka hapo wote kazi hamna..Watanzania ni walalamikaji sio wawajibikaji, Mafisadi sio watu wa kuchezea wana nguvu sana nchi hii BY gAmBa kUu
 
Msikubali mrithi wangu awe na umri wangu....ndio kukiri mapungufu au udhaifu? mweee
 
Unless wewe ni mtoto mdogo au si mfuatiliaji wa mambo huwezi kutoelewa kilichosemwa
yawezekana nikawa mtoto lkn wewe ukawa na akili za kitoto. Unaweza niambia ni nani alisema SAGENI MAHINDI MHIFADHI PUMBA, ZITAWASAIDIA WAKATI WA NJAA? Maana ya kukoment vile si kila mtu kila wakati anang'aa macho luningani au magazetini. So taarifa iwe kamili. Si kwa kuwa we wajua basi kila mtu anajua, SAWA?
 
'Kwaiyo ieleweke tu kuwa hizi posho waheshimiwa wabunge wala haziwasaidii wao.Wakitokanazo nje tu hapo wanawagawia wananchi wao'
 
Haya mashati ya vitenge uwa navaa nilinunua Bukinafaso! Ingiwa kuna fundi pale magomeni eti anasema uwa ananishonea muachane aseme!Jk, kasema haya siku alipotembelea Saba Saba
 
yaani hizo kauli ni kama zimetolewa na walevi vilabuni!!
 
''Afrika ni Maskini kwa kuwa hatuna Hela" JK in Malasyia, May 2011
 
"nani aliyewambia mteue wagombea urais wenye sura mbaya" by mkapa......reply ya mrema sasa "wewe mkapa ingekuwa watu wanachagua sura basi usingekuwa rais 1995 coz mimi nini sura nzuri kukuzidi"
Hahahahahahaha Lohhhhh No way ...Nimecheka dahhhUnavituko sana
 
yawezekana nikawa mtoto lkn wewe ukawa na akili za kitoto. Unaweza niambia ni nani alisema SAGENI MAHINDI MHIFADHI PUMBA, ZITAWASAIDIA WAKATI WA NJAA? Maana ya kukoment vile si kila mtu kila wakati anang'aa macho luningani au magazetini. So taarifa iwe kamili. Si kwa kuwa we wajua basi kila mtu anajua, SAWA?
SI SAWA HATA KIDOGO!! Kama kauli hiyo ILIZUA MJADALA MUDA MREFU bungeni na.jamii kwa ujumla halafu niwe sijaisikia basi ama nitakuwa mtoto au sifuatilii mambo. Sidhani (kwa mfano) kuna mtu ambae hajawahi kusikia mjadala juu ya kununuliwa ndege ya rais ambae ni mfuatiliaji na si mtoto. Hoja ya kujua kila kitu hapa haina mantiki. Tukianza kurudia kila kitu posts zitalazimika kuwa na kurasa kadhaa kwa urefu.
 
yawezekana nikawa mtoto lkn wewe ukawa na akili za kitoto. Unaweza niambia ni nani alisema SAGENI MAHINDI MHIFADHI PUMBA, ZITAWASAIDIA WAKATI WA NJAA? Maana ya kukoment vile si kila mtu kila wakati anang'aa macho luningani au magazetini. So taarifa iwe kamili. Si kwa kuwa we wajua basi kila mtu anajua, SAWA?
...huyo lazima utakuwa unamfahamu! kwa sababu kama watu wanakula mafupa ya samaki na kufanya sherehe kuna tofauti gani na kauli ya kuhifadhi pumba ili zifae katika jaa hii!! Yawezekana si wao watoao kauli hizo bali ni ninyi mnaosababisha wazitoe!!!

Laiti kama wangelizitoa na wananchi kwa sauti kuu wakazipinga ingelikuwaje?

Kauli hizo maana yake wameshaona upeo wetu unapokomea...
wanaujua udhaifu wetu ulipo...

sishangai unaposema huelewi au hufahamu....
sababu za kutoelewa mada hii na kutoifahau ndizo zilizotufikisha hapa tulipo leo...
Kama ni gari na magurudumu wameshamng'oa sasa liko juu ya mapipa...
wanasubiri kugawana mabati na vipuri vilivyobaki...
vikiisha "TUTAAMBIWA NENOJIPYA NA LINALOZIDI YOOTE TULIYOWAHI KUAMBIWA!!"
Sitoshangaa hata kwa NENO hilo tukicheka na KUPIGA MAKOFI NA VIGELEGELE!!
NASI ITAKUWA NI "KIHEREHERE CHETU!!"
 
...huyo lazima utakuwa unamfahamu! kwa sababu kama watu wanakula mafupa ya samaki na kufanya sherehe kuna tofauti gani na kauli ya kuhifadhi pumba ili zifae katika jaa hii!! Yawezekana si wao watoao kauli hizo bali ni ninyi mnaosababisha wazitoe!!!

Laiti kama wangelizitoa na wananchi kwa sauti kuu wakazipinga ingelikuwaje?

Kauli hizo maana yake wameshaona upeo wetu unapokomea...
wanaujua udhaifu wetu ulipo...

sishangai unaposema huelewi au hufahamu....
sababu za kutoelewa mada hii na kutoifahau ndizo zilizotufikisha hapa tulipo leo...
Kama ni gari na magurudumu wameshamng'oa sasa liko juu ya mapipa...
wanasubiri kugawana mabati na vipuri vilivyobaki...
vikiisha "TUTAAMBIWA NENOJIPYA NA LINALOZIDI YOOTE TULIYOWAHI KUAMBIWA!!"
Sitoshangaa hata kwa NENO hilo tukicheka na KUPIGA MAKOFI NA VIGELEGELE!!
NASI ITAKUWA NI "KIHEREHERE CHETU!!"
na aliyeitoa hiyo kauli na huyuhuyu Cigwiyemici aka jumanne. Tafuteni vyanzo vya habari enzi zake. sasa ni wangapi wanalijua hili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom