Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
TANZANIA YA MIAKA IPATAYO KUMI NA SITA SASA IMEJAALIWA KUWA NA VIONGOZI, WANASIASA NA WATAWALA MAJEURI!!!
Wanajibu watakavyo kana kwamba wale wanaojibiwa sio waliowaweka madarakani pindi wakihojiwa...
Nitawakumbusha baadhi ya kauli zao:
"HATA MKILA NYASI NDEGE ITANUNULIWA..."
"WAPUUZI WAKUBWA NA WANA WIVU WA KIJINGA!"
"ULITAKA POSHO AICHUKUE BABA YAKO!"
"NYIE VIPI? HAYO SI MASWALI YA KUNIULIZA NI MAMBO YANGU BINAFSI!"
"NIMESEMA SINA MAJIBU NENDENI KOKOTE!"
Mnaweza kukumbuka zinginezo na tujiulize kwanini hawa viongozi na wanasiasa zetu wana viburi na jeuri hizi?
Wanajibu watakavyo kana kwamba wale wanaojibiwa sio waliowaweka madarakani pindi wakihojiwa...
Nitawakumbusha baadhi ya kauli zao:
"HATA MKILA NYASI NDEGE ITANUNULIWA..."
"WAPUUZI WAKUBWA NA WANA WIVU WA KIJINGA!"
"ULITAKA POSHO AICHUKUE BABA YAKO!"
"NYIE VIPI? HAYO SI MASWALI YA KUNIULIZA NI MAMBO YANGU BINAFSI!"
"NIMESEMA SINA MAJIBU NENDENI KOKOTE!"
Mnaweza kukumbuka zinginezo na tujiulize kwanini hawa viongozi na wanasiasa zetu wana viburi na jeuri hizi?