Asante kwa jina jipyaHahah we ni mpuuzi sana
Kwa nini unaishia kuhisi? Si utapike tu?Ni bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Maumbo tu ya kawaida wala si wanene. Mimi mwili wangu ni wastani tu si mnene wala mwembamba kimbao.Ndugu zako wa kike wana maumbile gani?dada,mama!
Na kwanini uwe na mwili wastani? Ni huli ukashiba au?Maumbo tu ya kawaida wala si wanene. Mimi mwili wangu ni wastani tu si mnene wala mwembamba kimbao.
Na wewe utakuwa mnene,,,usinijibu maana hali itakuwa tofauti.Na kwanini uwe na mwili wastani? Ni huli ukashiba au?
Heri iwe tofauti tuone unavyojiharishia 😂Na wewe utakuwa mnene,,,usinijibu maana hali itakuwa tofauti.
Nivyema basi ukawa unatapika👊Maumbo tu ya kawaida wala si wanene. Mimi mwili wangu ni wastani tu si mnene wala mwembamba kimbao.
Inategemeana mi nikikutana na demu aliyejichubua ndo nasikia hivyo 🤮 tunatofautianaNi bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Pole sana mkuu. Mimi limekuwa tatizo sana. Nadhani nahitaji kumuona mtaalam wa saikolojia.Inategemeana mi nikikutana na demu aliyejichubua ndo nasikia hivyo 🤮 tunatofautiana
😂😂 Umetisha Sana mkuuUsikute una mimba, halafu unasingizia watu wanene.....
Ni tatizo la kiakili, fanya booking Mirembe haraka sanaNi bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Yaani kabisa na ubaba wangu niote mimba Evelyn,,Usikute una mimba, halafu unasingizia watu wanene.....