Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,428
- 40,416
Ninashangaa sana, wanaume wengi wa mitaa mingi niliozunguka, wako kwenye mahusiano na pisi za kawaida sana; wengine wana uchumi wa kati, lakini wako kwenye mahusiano na pisi ambazo hata huwezi kutegemea.
Pamoja na Dunia hii kuwa na warembo wengi, lakini bado wanakuwa kwenye mahusiano na pisi za kawaida.
Je, tatizo linaweza kuwa nini; ubahili, uoga, hofu au ni madomo zege?.
Pamoja na Dunia hii kuwa na warembo wengi, lakini bado wanakuwa kwenye mahusiano na pisi za kawaida.
Je, tatizo linaweza kuwa nini; ubahili, uoga, hofu au ni madomo zege?.