mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #421
Mtoa mada acha upotoshaji waxing ni moja ya hair removal techniques . Na watoa huduma wanafanya kazi yao vizuri tu
Na nywele zinachelewa kukua ndio sababu watu wanaipenda zaidi though it is painful especially bikini waxing
Huko spa ulishasikia wananyolewa kwa kusuguliwa???
Binafsi i prefer waxing na ninafanya underarms , bikini , full arms and full legs
Inawezekana unaongea kwa kile kidogo unachokijua
Ila jitahidi kuyajua yale mengi usiyoyajua
Cc Uchira 1 Ulweso