Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Mtoa mada acha upotoshaji waxing ni moja ya hair removal techniques . Na watoa huduma wanafanya kazi yao vizuri tu
Na nywele zinachelewa kukua ndio sababu watu wanaipenda zaidi though it is painful especially bikini waxing

Huko spa ulishasikia wananyolewa kwa kusuguliwa???

Binafsi i prefer waxing na ninafanya underarms , bikini , full arms and full legs

Inawezekana unaongea kwa kile kidogo unachokijua
Ila jitahidi kuyajua yale mengi usiyoyajua
Cc Uchira 1 Ulweso
 
Yanafanyika bongo hii hiii

Kunyoa makwapa kuanzia elfu 20

Kunyoa kipochimanyoya kuanzia elfu 70
Yaani hapo unapata hasara ya kupiteza pesa kipumbavu halafu na kuchunguliwa juu. Ila kama kuna watu wanaenda huko kunyolewa nywele za sehemu za siri, hawana utimamu wa kufikiria
 
Una moyo mimi hiyo ya nta ambayo ubandui na kitambaa siwezi hata kwa hela inauma mnooo.

Hiyo ya kupaka halafu unaibandua na zile karatasi zake ile naona haiumi dakika 20 tu kamaliza
Anayewahudumia anakuwa na junsi kama yako?
 
My Dear kiukweli mimi naweza nisiwe muongo, ni huduma kama huduma zingine.

Kikubwa uwe na mtu mmoja anaekufanyia na awe msafi kwa maana kuvaa gloves N.k nowdays naona imeingiliwa kila mtu anatoa hiyo huduma.

Halafu wanawake wengi wanafanya ndiyo maana sehemu zinazotoa hii huduma zinazidi kuwa nyingi.

Na ukianza hautoacha!!
Vitu vinavyotumiwa havipatikaniki ili ufanye mwenyewe nyumbani kwako?
 
Kwa kuileta hapa tayari ulishafungiwa jiwe
Naogopa hukumu ya kukuingiza kwenye hayo matendo
Marko 9:42

“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini."
 
Unaonekana u mtaalamu sana wa mambo hayo itabidi nije pm
Kila mahali inafanywa kwanzia usoni. Hadi nyusi kwa wale wanaopenda kuzinyoa wachore wenyewe na wanja. Wapeleke wa bebez wako wakapendeze. Wapo wataalamu jinsia za kike wamama kabisa wengine ni wataalamu wa kusomea kabisa.
 
Mkuu tutumie picha tuone
Mimi ambazo zimekufa kabisa ni vinyweleo vya mikononi na miguuni(maana nilikuwa na mavinyweleo hadi vikawa vinanikera) na hizi zinazopanda kama tumboni hivi (wenyewe wanaita love garden) na hizi za bikin line nimezi dhibiti kabisa hazioti tena.

Kwapa na pengine bado, ila zikiota zinaota lainii kama vinyweleo vile yaani kama vile ndio mtu anaanza kuvunja ungo.

Nafanya mwenyewe sasa hivi maana nishakuwa fundi.
 
Back
Top Bottom