Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Usinishauri kufanya wax popote kwenye mwili wangu maana naogopa maumivu mimi

Wangolewaji wakikubali nitawarecord wanavyopakwa na kuganduliwa kwa kung'olewa huku wakigugumia maumivu nikeultee video hapa
Ungekua unaogopa maumivu usingebikiriwa😂
 
Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!

Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia

Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.

Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.

Kusema ukweli tunatengeneza bomu.
Si kweli kama wengi wao wanakwenda huko kunyolewa mavuzi na kuchezewa papuchi......wengi wao wanakwenda kuliwa uroda tu. We mke wa mtu unakwenda kunyolewa mavuzi na mwanamme mwingine usiyemjuwa ili iweje kama si kujitafutia matatizo?
 
Si kweli kama wengi wao wanakwenda huko kunyolewa mavuzi na kuchezewa papuchi......wengi wao wanakwenda kuliwa uroda tu. We mke wa mtu unakwenda kunyolewa mavuzi na mwanamme mwingine usiyemjuwa ili iweje kama si kujitafutia matatizo?
 
Wapo wengi wanaoongelea mengi ambayo hawajawahi kuyafanya
Sio kosa mwanaume kuongelea uchungu wa kuzaa japo hajawahi ingia leba na kuzaa kwa uchungu
Wax inaumiza sana hasa kwa sisi waafica maana tuna nywele ngumu. Hasa za kulee. Sasa unavyo bandua lazma maumivu yawe makubwa sema mtu anavumilia maana wax inaondoa nywele zote na panakuwa peupe sanaa.
Ila huko kwenye waxing n kaburi jingne la ndoa na magonjwa
 
Yanafanyika bongo hii hiii

Kunyoa makwapa kuanzia elfu 20

Kunyoa kipochimanyoya kuanzia elfu 70
wanyonyoaji ni me au Ke? Kama me ni wazima au walihasiwa maana hii sio hali ya kawaida, ikiwa mtu anaona upaja tu hali inakuwa tete sasa huko inakuwaje! Mmmm ila kazi za watu wanaishi kwa kuchezea mbususu za wanawake.
 
wanyonyoaji ni me au Ke? Kama me ni wazima au walihasiwa maana hii sio hali ya kawaida, ikiwa mtu anaona upaja tu hali inakuwa tete sasa huko inakuwaje! Mmmm ila kazi za watu wanaishi kwa kuchezea mbususu za wanawake.
Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni
 
Wax inaumiza sana hasa kwa sisi waafica maana tuna nywele ngumu. Hasa za kulee. Sasa unavyo bandua lazma maumivu yawe makubwa sema mtu anavumilia maana wax inaondoa nywele zote na panakuwa peupe sanaa.
Ila huko kwenye waxing n kaburi jingne la ndoa na magonjwa

Umeona!?
 
Mtoa mada acha upotoshaji waxing ni moja ya hair removal techniques . Na watoa huduma wanafanya kazi yao vizuri tu
Na nywele zinachelewa kukua ndio sababu watu wanaipenda zaidi though it is painful especially bikini waxing

Huko spa ulishasikia wananyolewa kwa kusuguliwa???

Binafsi i prefer waxing na ninafanya underarms , bikini , full arms and full legs
Aisee..
 
Back
Top Bottom