Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,194
- 11,589
nakaziaWapi huko? Hakuna Wanaume wa huduma hizo niamini …na kama kuna mwanamke anaenda kufanyiwa na mwanaume huyo anakua kuna kitu anakitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakaziaWapi huko? Hakuna Wanaume wa huduma hizo niamini …na kama kuna mwanamke anaenda kufanyiwa na mwanaume huyo anakua kuna kitu anakitaka
Wapo tele dear. Na wana wateja wa kutosha
U done did that ?.. Dar hii hii ?...wanyoaji wakiume ?...unawezaje mwanaume kuvumilia pussy umeiona ivi unaichezea ?..daah noma..Ila wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.
YaniiNilichogundua unadanganya au unataka tuendelee tu kucomment kwenye uzi wako….la sivyo wewe ni mmoja wa wanawake wanaofanyiwa Wax na hao wanaume
Mimi natakusaidia bure, wateja wakikuzidia niite nikusaidie hela utachukua wewe mimi kazi yangu kunyonyoa mbususuKaribuni nyote kwa huduma ya Waxing!
Kunyoa kwa kutumia Aloevera Wax ni Tsh 15,000 na kwa kutumia Diamond Wax ni Tsh 70,000
Nazungumza kama mmoja wa wanyoaji
Kwamba unatafuta njia za kula kimasihara! Inafikia wakati mbususu unaziona ni za kawaida sana!!Mimi natakusaidia bure, wateja wakikuzidia niite nikusaidie hela utachukua wewe mimi kazi yangu kunyonyoa mbususu
Ni jambo la ovyo sana.Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!
Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia
Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.
Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.
Kusema ukweli tunatengeneza bomu.
Ni uwongoAnayehudumia ni mwanamke Mkuu
Duh sasa kama tunapenda hairty KMtoa mada acha upotoshaji waxing ni moja ya hair removal techniques . Na watoa huduma wanafanya kazi yao vizuri tu
Na nywele zinachelewa kukua ndio sababu watu wanaipenda zaidi though it is painful especially bikini waxing
Huko spa ulishasikia wananyolewa kwa kusuguliwa???
Binafsi i prefer waxing na ninafanya underarms , bikini , full arms and full legs
Duh sasa kama tunapenda hairty K
Weka picha tuone zinavyonyolewa
Tupe link mkuu
Ningeweka, ila account yangu itapigwa ban!
Labda link ya telegram
Tunaupiga mwingi!!