Hili la wanajeshi kutumia ilani ya chama imekaaje?

Hata wakiamua majeshi yote magwanda yao yawe ya rangi ya kijani, na vinembo vya siem, hata wasitambuliwe namba au majina yao. Wawewanaitwa fisiem 1, MP fisiem 11, III fisiem kuisoma namba kutabaki pale pale.
 
Wanatekeleza Ilani ya CCM kisheria wala hakuna jipya hapo kila kitu kimeanishwa ndani ya Ilani ya CCM namna gani Serikali itafanya kazi za utekelezaji baada ya uchaguzi....kama ambavyo CHADEMA nayo kama ingeshinda Serikali ingetekeleza Ilani ya CHADEMA yakiwemo na hayo Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

UTAPATA TAABU SANAAAAAA
Umeandika ukiwa unaelewa unachokiandika ukilinganisha na mada?
 
Wanatekeleza Ilani ya CCM kisheria wala hakuna jipya hapo kila kitu kimeanishwa ndani ya Ilani ya CCM namna gani Serikali itafanya kazi za utekelezaji baada ya uchaguzi....kama ambavyo CHADEMA nayo kama ingeshinda Serikali ingetekeleza Ilani ya CHADEMA yakiwemo na hayo Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

UTAPATA TAABU SANAAAAAA

Nchi inaongozwa na SERA. Ilani hutumika kutengeneza sera.

Nchi hii inaongozwa na watu WASHAMBA kama wewe
 
Wanatekeleza Ilani ya CCM kisheria wala hakuna jipya hapo kila kitu kimeanishwa ndani ya Ilani ya CCM namna gani Serikali itafanya kazi za utekelezaji baada ya uchaguzi....kama ambavyo CHADEMA nayo kama ingeshinda Serikali ingetekeleza Ilani ya CHADEMA yakiwemo na hayo Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

UTAPATA TAABU SANAAAAAA
Well said
 
Naona unatumia nguvu nyingi kupinga taratibu na sheria za nchi....Serikali iliyopo madarakani inatekeleza ilani ya CCM baada ya uchaguzi wa mwaka 2015....sasa sijui unaongea nini na unapinga nini.

Kwa mfano Kamishna wa uhamiaji au Magereza au ma afisa wao wanarejea kwanza kwenye ilani ili watimize majukumu yao ya kila siku?.....Kwa akili yako ilani uliyoitumia kuombea kura ikishakubalika na wapiga kura, unaenda kuitekeleza kwa kurejea nyenzo gani?..ukisema utakomesha ufisadi kwenye ilani, unadhani utaanza kukamata tu watu mitaani au kuna sheria na taratibu utazifuata? .Ilani si MAISHA ,ni ahadi ya NAMNA bora zaidi ya kuishi!
 
Juzi wakati Mheshimiwa Waziri wa ndani akihutubia maafisa wa juu wa vyombo vya ulinzi aliwauliza ni wangapi wana ilani ya chama na wanyooshe juu.

Wakabaki kutazamana tu kila mtu anamuangalia mwenzake.

Hivi jamani Afisa wa polisi, magereza, uhamiaji au zimamoto anatakiwa kutembea na Ilani ya chama?

Maana kwa mujibu wa katiba wao wanatumia sheria ya kulinda serikali na wananchi bila kufuata ilani yoyote.

Je, huyu waziri anajua majukumu ya jeshi au ndio utaratibu Mpya?

Alloooo!!!!!!!
Yah, ni lazima waitumie ilani ya chama kwa kuwa kwenye ilani ya ccm kuna kipengele cha kulinda amani na usalama wa taifa na wenye jukumu la kufanya hivyo ni maafisa wa vyombo vya ulinzi. kwa hiyo, wako sahihi kutumia ilani ya chama.
 
Kwa mfano Kamishna wa uhamiaji au Magereza au ma afisa wao wanarejea kwanza kwenye ilani ili watimize majukumu yao ya kila siku?.....Kwa akili yako ilani uliyoitumia kuombea kura ikishakubalika na wapiga kura, unaenda kuitekeleza kwa kurejea nyenzo gani?..ukisema utakomesha ufisadi kwenye ilani, unadhani utaanza kukamata tu watu mitaani au kuna sheria na taratibu utazifuata? .Ilani si MAISHA ,ni ahadi ya NAMNA bora zaidi ya kuishi!
Unongea nini na unakanusha nini.....Serikali inatekeleza Ilani ya CCM unataka au hutaki na kila mtumishi anawajibika kwa hiyo Ilani kwa namna moja au nyingine
 
Wanatekeleza Ilani ya CCM kisheria wala hakuna jipya hapo kila kitu kimeanishwa ndani ya Ilani ya CCM namna gani Serikali itafanya kazi za utekelezaji baada ya uchaguzi....kama ambavyo CHADEMA nayo kama ingeshinda Serikali ingetekeleza Ilani ya CHADEMA yakiwemo na hayo Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

UTAPATA TAABU SANAAAAAA
Daaaaaaah we mbona unaongea ka hauna akili vile, ushabiki utatuua watanzania.
Vyombo vya ulizi vinatumia sheria zilizotungwa na bunge kutekeleza majukumu yake. Au unataka kuniambia Ilani ya ccm ndo sheria.
Mana sijawai ona hata siku moja police wakimkamata mtuhumiwa wanamwambia unashtakiwa kwa mujibu wa Ilani ya ccm.
 
Hivi kwa nini watanzania sisi ni wanafiki sana.
Yaani tupo tayri kuupotosha umma ili tu mabosi waliotuteua tuwaridhishe.
Juzi hapa uingereza wazira wa mambo ya nje amejiuzulu kwa sababu anaona anachokiamini akiendani na anachokiamini aliyemteua. Uku Tanzania mtu amekuteua afu anakuambia nitawavunja shangazi zako afu unaenda kwenye majukwaa unamsifia.
Daaaaaaah watanzania kwa unafiki mmenishinda
Kwa staili hii nchi kuja kuendelea ni vigumu sana.
 
Daaaaaaah we mbona unaongea ka hauna akili vile, ushabiki utatuua watanzania.
Vyombo vya ulizi vinatumia sheria zilizotungwa na bunge kutekeleza majukumu yake. Au unataka kuniambia Ilani ya ccm ndo sheria.
Mana sijawai ona hata siku moja police wakimkamata mtuhumiwa wanamwambia unashtakiwa kwa mujibu wa Ilani ya ccm.
nadhani hujui serikali inafanyaje kazi zake baada ya uchaguzi...sio kosa lako ni elimu uliyokuwa nayo.....
 
Hivi kwa nini watanzania sisi ni wanafiki sana.
Yaani tupo tayri kuupotosha umma ili tu mabosi waliotuteua tuwaridhishe.
Juzi hapa uingereza wazira wa mambo ya nje amejiuzulu kwa sababu anaona anachokiamini akiendani na anachokiamini aliyemteua. Uku Tanzania mtu amekuteua afu anakuambia nitawavunja shangazi zako afu unaenda kwenye majukwaa unamsifia.
Daaaaaaah watanzania kwa unafiki mmenishinda
Kwa staili hii nchi kuja kuendelea ni vigumu sana.
Sasa shangazi yako akileta fujo huko kusini kama wakati wa gesi unataka Serikali imchekee tu...........atapata tabu sanaaaaa au kipigo cha mbwa koko.....
 
nadhani hujui serikali inafanyaje kazi zake baada ya uchaguzi...sio kosa lako ni elimu uliyokuwa nayo.....
Ukweli unaujua ila umeamua utetee tumbo lako na si vizazi vyako pole sana. Ndo nyie mnazaa watoto afu unatoa kafara. Wewe unadhani unayoyatetea hapa hayatawathiri watoto wako.
Asubuhi njema.
 
Unongea nini na unakanusha nini.....Serikali inatekeleza Ilani ya CCM unataka au hutaki na kila mtumishi anawajibika kwa hiyo Ilani kwa namna moja au nyingine

Hakuna anayebisha kuhusu utekelezwaji wa ilani, kwa sababu ccm ndiyo 'walioshinda' tenda ya kutufanyia kazi kwa miaka mitano. Kitu ambacho wewe unatakiwa kuelewa ni kwamba, utekelezwaji huo ni sehemu ya maisha ambayo tayari yanaendelea kwa utaratibu mama ambao ni KATIBA. Kwa akili yako mhandisi akishinda tenda ya kujenga madaraja, watu wake site watatumia/watakuwa wanarejea kwenye andiko la mradi kila wanapotaka kuchanganya zege au watatumia maelekezo ya taaluma ya uinjinia?. Fikiria hiyo mifano mepesi alafu, jijibu kama unachokishupalia kinawapa matumaini au kuwasikitisha unaowatetea!
 
Ni kweli sie wafanyakazi wa serikali (hata wa sekta binafsi) tunatekeleza ilani ya chama kilichoshinda uchaguzi. Ilani ya chama inakuwa incorporated katika sera, mipango na mikakati ya wizara, idara, mashirika na wakala wa serikali lakini sio Ilani ya chama directly. Mfano: ilani ikisema "tutafufua majosho 132 ya kuogeshea mifugo nchi nzima kati ya 2015-2020" basi wizara ya mifugo inapopanga bajeti yake inajiwekea lengo kila mwaka ifufue majosho mangapi ili ikifika mwaka 2020 idadi hiyo ya majosho iwe imefufuliwa. Kwa maantiki hii hakuna haja ya kulazimisha watumishi kutembea na ilani ya chama cha kisiasa. Huo ni ujuha na ulevi wa madaraka. Ni umbumbumbu wa kutojua mpaka wa serikali na chama katika utekelezaji wa majukumu yao.
 
Back
Top Bottom