Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,732
- 41,032
Uko sawa kabisa mkuu , tumtakie kila la heri.Siamini sana kuwa wewe, hao wengine wenye mashaka pamoja na mleta Uzi kwamba mko smart sana kuhusu suala la vibali ZAIDI ya taasisi ya urais ya Mama yetu SSH.
Mama SSH pamoja na wasaidizi wake wanajua sana negative risks (threats) katika suala zima la vibali na nini wafanye (Risk Management).
Mama SSH ameongea kwa kifupi sana kuhusu vibali hivi na hajasema kuwa vibali vitolewe kama njugu bali ameitimisha kwa kusema kuwa sheria zifuatwe.