Hili la DG TAKUKURU kuwa na Naibu Brigedia Jenerali naona lina ukakasi kiitifaki

kwa hiyo kwa kuwa na elimu nzuri ma uzoefu hata angekuwa superintendent wa polisi angewekwa juu ya brigedia jenerali! acha ishabiki kwa kuwa wewe ni polisi! tufuate heshima ya kijeshi! INGEKUWA Diwani ni mstaafu sawa! angebebwa na huo u DG, sasa itakuwaje tena CP apigiwe saluti na watu level ya ujenerali?

NAKUPA MFANO MMOJA! huwezi kukuta mwanajeshi chini ya GENERAL wa nyota nne kwa tanzania kuongoza wizara ya ulinzi kama katibu mkuu! lakini kwa wizara ya mambo ya ndani ni sawa kabisa
hapo ndo utaelewa kuwa hivi nyeo na heshima zake kiitifaki
Ujawahi kuona mkuu wa kitengo cha farasi au mbwa wa Dar es salaam ana nyota mbili ili hali kuna watu wana rank zaidi wameachwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu mtusaidie kwa seniority ya Kijeshi hapa! Je ni sawa naibu DG wa Takukuru ambaye ni Brigedia Jenarali halafu juu yake yupo Kamishna wa Polisi, je kiheshima ya kijeshi nani ni juu ya mwenzie?
au ni bora liende tuu! ina maana Brig Gen anampigia saluti CP?

Wataalamu mtujuze hapa
Brigedia generali katika JWTZ ni equivalent to SACP katika Polisi, yaani ni mdogo kwa CP kwa vyeo viwili. Kumbuka chini ya CP kuna DCP ambaye chini yake ndio kuna SACP.
Kwa hiyo kiitifaki, Brig Gen ni mdogo kwa CP na anapaswa kumpigia saluti.
 
Kwa kiprotokali..Brigedia Generali yupo Chini ya Kamishina wa Polisi/Zimamoto/Uhamiaji/Magereza. Bregidia ni cheo sawa na Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi/Magereza au Zimamoto (SACP). Meja Generali ni sawa Deputy Commissioner au DCP, Luteni Generali ni sawa na Commissioner wa Magereza au Polisi..IGP na CGP hawa wako sawa ila wako cheo chini ya Mkuu wa Majeshi kiutendaji na protokali. Ukitaka kunielewa sawa kama hautaki basii..😊😊😊

Uko sahihi na ninakuunga mkono kwa hoja hii
 
Kwa mtiririko wa kanuni na heshima za kijeshi pamoja na vyeo vyao kijeshi Kamshna wa polisi ni mkubwa kwa Brigedia jenerali hivyo salamu za kijeshi hapo zitachanganya na uboss wa kitengo chao narudi nyumbani Bombambili
 
mnavopenda kujikweza! kwenye mambo ya kijeshi kuna kozi na mapitio mengi ambayo Polisi hawapitii!
hiv unafahamu kuwa nyota moja ya JW (luteni usu) ni kamisheni ya raisi? haya nyota moja ya polisi anapewa na nani?



Huo ni utaratibu tu ila nikuulize swali kdg Polisi mwenye Nyota mbili akikutana na Mwanajeshi mwenye nyota moja nani atampigia saluti mwenzie?
 
Kamishna wa Jeshi la Polisi kwa Rank Za Majeshi Ni Mkubwa Na anapigiwa Salute Na Bregadier Generali!

Kamishna Kwenye Muundo wa Jeshi la Polisi Ni cheo Cha juu kabisa Na Cha Mwisho unabaki unasubiri Uteuzi tu lakin Bregadier Generali sio Cha Mwisho

Mf. Luteni Generali Jeshini anampigia Salute IGP lakin Generali wa Jeshi la Wananchi anapigiwa salute Na IGP depend on seniority
3 Star General hawezi kumpigia salute IGP.

Hivi unajua 2 Star General kwa sasa ndio anawasimamia IGP, Commissioner General wa Uhamiaji, Fire na Magereza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napita tu


IMG_20190329_084602_075.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hasa tatizo lako nini hasa. Swali lako la sita unalotaka kujibiwa ni nini. Linakupa nini na je katika matatizo ya Takukuru wewe ndo hiyo changamoto ya kwanza . Watanzania hatutaendelea maneno ni mengi sana na tunapenda kuishi above our means
kwa hiyo kwa kuwa na elimu nzuri ma uzoefu hata angekuwa superintendent wa polisi angewekwa juu ya brigedia jenerali! acha ishabiki kwa kuwa wewe ni polisi! tufuate heshima ya kijeshi! INGEKUWA Diwani ni mstaafu sawa! angebebwa na huo u DG, sasa itakuwaje tena CP apigiwe saluti na watu level ya ujenerali?

NAKUPA MFANO MMOJA! huwezi kukuta mwanajeshi chini ya GENERAL wa nyota nne kwa tanzania kuongoza wizara ya ulinzi kama katibu mkuu! lakini kwa wizara ya mambo ya ndani ni sawa kabisa
hapo ndo utaelewa kuwa hivi nyeo na heshima zake kiitifaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sioni shida hapo!
Kwani TAKUKURU ni kambi ya geshi?
Ndio hapo sasa?

Watu wa dizaini hii mambo ya nyumbani wanataka ku practice ofisini,kama mtoto anaadhibiwa kwa bakora nyumbani basi ofisini anataka ku apply.

Mambo ya jeshi utapelekaje PCCB wakati jeshini ukikosea kichura chura na adhabu nyingine ngumu zinakuhusu lakini PCCB hamna adhabu za kijeshi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mnafananisha vyeo vya JWTZ na polisi, magereza au zimamoto!? Polisi na wengine hao in raia tu mbele ya majeda. CP wa polisi anaweza kuongoza hata platoon moja ya wapiganaji vitani? Polisi ni raia waliopata Mafunzo ya ulinzi na sio wanajeshi. Kuanza na neno Askari ('askari polisi, askari magereza, askari jeshi) hakuwafanyi polisi au magereza au zimamoto kuwa sawa na wapiganaji.
 
Kwa taarifa tu kijeshi,

Major General wa JWTZ yuko juu ya IGP ndio maana Katibu Mkuu wa W/Mambo ya Ndani ni Mwanajeshi (Maj. Gen) na anawasimamia IGP, Commissioner Generals wa Magereza, Uhamiaji na Zimamoto.

Wakati huo, IGP yupo juu kidogo ya Brig. General wa JWTZ.

Aidha, Commissioner wa Polisi yuko rank ya CHINI KIDOGOOO kuendana na Brig. Gen. wa JWTZ

NB: Awamu hii Protocol zinavunjwa muda wowote kadri tunavyoenda mbele ya safari.
Si kweli. Ona ulinganisho kwenye jedwali hapo chini:
1553843328796.png
 
Watu mnafananisha vyeo vya JWTZ na polisi, magereza au zimamoto!? Polisi na wengine hao in raia tu mbele ya majeda. CP wa polisi anaweza kuongoza hata platoon moja ya wapiganaji vitani? Polisi ni raia waliopata Mafunzo ya ulinzi na sio wanajeshi. Kuanza na neno Askari ('askari polisi, askari magereza, askari jeshi) hakuwafanyi polisi au magereza au zimamoto kuwa sawa na wapiganaji.

Hata Mgambo vitani wanakwenda. Polisi pia, Magereza, na Zimamoto ni Askari wewe ndiyo unawabagua kwa majukumu yao
 
Kwan pale ni jeshin .??Na hayo mambo ya saluti yanaingiaje watu mpo kazi za kuchunguza rushwa??!
 
Back
Top Bottom