Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 562
Mkuu wa mkoa wa kagera ni mdogo kicheo ila ulishawahi kujiuliza Afande Mabeyo akienda Kagera nn hutokea?Wataalamu mtusaidie kwa seniority ya Kijeshi hapa! Je ni sawa naibu DG wa Takukuru ambaye ni Brigedia Jenarali halafu juu yake yupo Kamishna wa Polisi, je kiheshima ya kijeshi nani ni juu ya mwenzie?
au ni bora liende tuu! ina maana Brig Gen anampigia saluti CP?
Wataalamu mtujuze hapa
Sent using Jamii Forums mobile app