Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,207
- 7,241
Wataalamu mtusaidie kwa seniority ya Kijeshi hapa! Je ni sawa naibu DG wa Takukuru ambaye ni Brigedia Jenarali halafu juu yake yupo Kamishna wa Polisi, je kiheshima ya kijeshi nani ni juu ya mwenzie?
au ni bora liende tuu! ina maana Brig Gen anampigia saluti CP?
Wataalamu mtujuze hapa
au ni bora liende tuu! ina maana Brig Gen anampigia saluti CP?
Wataalamu mtujuze hapa