Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,299
Ulikua ni uchungu tuu ukichanganyika n hasira ya kupoteza akipendacho ndo maana akatamka hayo maneno sio kwamba hakupendi alikua anatafuta jinsi yakujipooza moyo ndo maana amekaa akatafakari na kujuta na akakurudia. Ingekua hakupendi kabsa asingekuja kuomba msamaha. Cha msingi na ww jitafakari umsamehe maana angekua anakuchukia angekutoa toka u mimba, amekulea mpk hivyo ulivyo japo changamoto zipo nyingi. Mwisho majaribu tumeumbiwa binadamu.