Hili jambo limeniumiza sana

Hili jambo limeniumiza sana

Kinachotuumiza katika mapendo ni kutaka kuona ama kuamua mapendo yatoke wapi. Angalia waliokuzunguka, umezungukwa na upendo mwingi wa kutosha. Isitoshe Yuko Mungu anaesema kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia alikujua. Yaani akishakupenda Yeye Haijalishi kama mama anakupenda ama la. msamehe mama yako, ana matatizo yake ambayo Wewe hujahusika Nayo. Halafu mhurumie ili auone upendo wa agape ulio ndani yako, usio na sababu wala mipaka. Msaidie amuone Mungu kupitia Wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Muhenga mwenzangu wewe ni bonge la mtumishi, kama hatakusiliza baasi hakuna msaada mwingine
 
Pole sana kwa kadhia hiyo maana hapo hata kama utaishi nae utakua na wasiwasi maana haiwezi kuwa hivyo kwamba bora wewe ufe ,wewe si lolote .

Hiyo ni hatari sana ila pia shukuru kwamba umelijua mapema maana ungekua unapata shida anapofanya maamuzi ambayo hayatokuridhisha ila sasa umeelewa.
 
Daah pole sana mkuu mama kaonesha chuki zake kwako hadharan chamsingi ishi nae kwa tahadhari sana atakuaribia mipango yako mingi
GOD BLEES YOU
 
Chunguza vizuri yawezekana sio mama yako maana Nina amino watoto wote ni sawa kwa mama kama wote amewabeba miez Tisa, nakushauri kaa mbali naye na ujaribu kusahau hayo maneno kiukwel yanaumiza kwa Mimi hata msiba nisingemalima ningesepa na kubadili namba ya simu siku hiyo hiyo wewe ni mvumilivu sana mpaka anakuja na wazee kuomba msamaha kah! Huyo mama anaroho mbaya sana kaa naye mbali
 
Mama si mungu na hawezi kuwa mungu wala mzazi yeyote hawezi pata nafasi ya umungu kwa namna yoyote
hekima ya mungu haipimiki hata kidogo na mungu hawezi fanya makosa ya dhihaka namna hiyo, mungu hafikiriki
mama yako ana makosa sana na imeniuma kwa kweli
Huwa nachukia sana mtu anapo sema eti mama au baba ni Mungu wa pili, hivi unaanzaje kumpa binadamu nafasi ya pili baada ya Mungu ???

Do you have confidence ?
 
Mama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.

Wahenga wakisema: mpe mchawi akulelee mwanao...
Mama wa hivyo hawezi kuwa Mungu wa pili hata siku moja, yaani mama anawatoto wawili tu mmoja ndo huyo ametwaliwa badala ya kuona amebakiwa na mmoja ambaye atakuwa mfariji ndo aongee maneno magumu hayo? tena sio bahati mbaya kwa kudhamilia?
 
Huyo ndio mama yako! Mungu wako wa Dunia,ni kweli yanaumiza! Ni kweli yanakatisha tamaa na kusababisha chuki moyoni lakini ndie mama yako!
Cha kufanya unahitaji muda wa kua peke yako mbali na mama ili wote muuone umuhimu wa kuwa Karibu hapo baadae yaani wewe uuone umuhimu wa mama na mama auone umuhimu wako,nakushauri msamehe lakini yakupasa uende mbali nae kwa muda,kama upo nyumbani hama kwa muda....
Huko utakapoenda usiache kuwasiliana nae na kumtumia fedha za matumizi kwa sababu pamoja na maudhi yake yoote bado ni mama yako ila mnahitaji kupeana tu nafasi.
Pole sana ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.

Wahenga wakisema: mpe mchawi akulelee mwanao...
Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wengine sijui mkoje! ulichoandika ni upumbavu mtupu! na unakeraa, kama ni kweli alikuomba msamaha halafu wewe ukajifanya eti umeumia sana kwa yaliopita, jua mama sio kama mwalimu" mtafute muombe msamaha mama yako! ningekuwa ndo mjomba wako ningekupiga marufuku kufika kwangu mpaka mamaako akuridhie. eti HILI JAMBO LIMENIUMIZA SANA! mangapi we uliomuumiza mamaako!? kama una akili weka mabaya ya mamaako aliokufanyia na mazuri aliokufanyia kwenye mizani sahihi, yapi yanazidi! kitendo cha mamaako kukuomba msamaha haitakiwi uendelee kumsikiliza bali ni kumzuia na badala yake wewe ndo umuombe msamaha yeye! baraka zinkufuata ulipo unazipiga teke!?
 
Wazazi wanauzi sana mkuu,

Msamehe tuu, lakini pia wewe ulimudhi sana kuanzia ulipokuwa mtoto mpaka hapo ulipofikia.
Not to that extent.

Of wishing someone to die instead of someone.

Mie siwezi wish hivyo hata kwa MY ENEMY SEMBUSE NTOTO WA KUMZAA
Huyo mama yako anakuchukia kisawasawa....!! Wazazi wengine huwa wana wish wangeondoja wao


Pole sana jua alichosema kilitoka moyoni na alimaanisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom