Muhenga mwenzangu wewe ni bonge la mtumishi, kama hatakusiliza baasi hakuna msaada mwingineKinachotuumiza katika mapendo ni kutaka kuona ama kuamua mapendo yatoke wapi. Angalia waliokuzunguka, umezungukwa na upendo mwingi wa kutosha. Isitoshe Yuko Mungu anaesema kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia alikujua. Yaani akishakupenda Yeye Haijalishi kama mama anakupenda ama la. msamehe mama yako, ana matatizo yake ambayo Wewe hujahusika Nayo. Halafu mhurumie ili auone upendo wa agape ulio ndani yako, usio na sababu wala mipaka. Msaidie amuone Mungu kupitia Wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhenga mwenzangu wewe ni bonge la mtumishi, kama hatakusiliza baasi hakuna msaada mwingine
Hehehe mwenzio nimegoma kuwa Mhenga. Nna miaka 17 ya umri hapa. Najipenda, napendwa na nina penda kama hakuna kesho.
Uwe na siku yenye Furaha, Amani na upendo.
Why not 15???
![]()
![]()
![]()
![]()
Why no 15???
Asante kwa hizo baraka za siku, ninaamini dada huyu atazingatia ushauri.
Barikiwa sana
Sana wanafiki wa kiwango cha lamimtanzania halisi, wanafiki sana watanzania
Huwa nachukia sana mtu anapo sema eti mama au baba ni Mungu wa pili, hivi unaanzaje kumpa binadamu nafasi ya pili baada ya Mungu ???Mama si mungu na hawezi kuwa mungu wala mzazi yeyote hawezi pata nafasi ya umungu kwa namna yoyote
hekima ya mungu haipimiki hata kidogo na mungu hawezi fanya makosa ya dhihaka namna hiyo, mungu hafikiriki
mama yako ana makosa sana na imeniuma kwa kweli
Mama wa hivyo hawezi kuwa Mungu wa pili hata siku moja, yaani mama anawatoto wawili tu mmoja ndo huyo ametwaliwa badala ya kuona amebakiwa na mmoja ambaye atakuwa mfariji ndo aongee maneno magumu hayo? tena sio bahati mbaya kwa kudhamilia?Mama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.
Wahenga wakisema: mpe mchawi akulelee mwanao...
OverMama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.
Wahenga wakisema: mpe mchawi akulelee mwanao...
Not to that extent.Wazazi wanauzi sana mkuu,
Msamehe tuu, lakini pia wewe ulimudhi sana kuanzia ulipokuwa mtoto mpaka hapo ulipofikia.